Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Tupo pamoja nitakuwepo
 
Haha... Waliokuwa wanaishi kiwiziwizi walikuwa na hali mbaya sana kipindi cha Magufuli. Ni haki wameshindwa ku-move on... Na bado.
Wazazi wa Ben Saanane ilikuwa inaishi kiwiziwizi? Wata move on vipi mwanao hajulikani alipo?
Mke wa Lissu kila anapomuangalia mumewe yale mavyuma yaliomjaa mwili mzima na makovu yale ata move on vipi kirahisirahisi?
Je familia ya Azory Gwanda wanaweza ku move on kirahisi?
Lile li Magu lilikuwa ni shetani flani.
 
Hata wewe umefaidika
1)hospital
2)mashule na madawati
3) elimu bure
4)alitoa vehicle na stiker za nenda kwa usalama
5)machinga na mama lishe
6)mbolea bei chini
7)SGR
8)bwawa la nyerere ambalo linapigwa zengwe
9)na mengine ongezea mwenyewe

HIvyo vyote nimevipata hata kabla hajawa rais. Nimezaliwa na kukulia hapa Dar hizo huduma zote zipo tena nazipata kwa kulipia.
 
Watoto wa mwangosi wanateseka hawana baba alikufa kifo cha kinyama utumbo nje kama si binadamu ,Dr ulimboka alipata maumivu makali kung'olewa meno bila gazi,wale waliomzomea malaika wenu mbeya hawajulikani walipo.Hilo hamlioni unaona ya JPM tu acha bias naye atakuwa wapi?
 
HIvyo vyote nimevipata hata kabla hajawa rais. Nimezaliwa na kukulia hapa Dar hizo huduma zote zipo tena nazipata kwa kulipia.
Vilikuwepo kwa uchache yeye kaviongeza,miundo mbinu yote Dar ukigusa lazima ukute sahihi ya JPM kwenye mkataba karibu 90℅ sasa hapo utasemaje?.najuwa unamkubali kiani hutaki kukiri hadharani
 
Ile takataka hata mimi ikirudi naitandika risasi

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Acha kutetea kutetea ujinga, hayo pia unaweza kuyafungulia uzi na tutachangia vilevile.
Matukio yale yalikuwa ni mabaya na hayafai, yanapaswa kukemewa pia lakini hilo halisafishi ukatili na uuaji uliofanywa wakati wa utawala wa Magu.
 
Hakika wengi tuliumizwa na kifo cha Magufuli.
 
Tukiwaambia mtupe uthibitisho kuwa Magufuli alimuua Ben Saanane, alimpiga risasi Tundu Lissu na alimpoteza/kumuua Azory Gwanda mnaingia mitini. Hebu tuthibitishie hizi tuhuma.
 
Vilikuwepo kwa uchache yeye kaviongeza,miundo mbinu yote Dar ukigusa lazima ukute sahihi ya JPM kwenye mkataba karibu 90℅ sasa hapo utasemaje?.najuwa unamkubali kiani hutaki kukiri hadharani

Dar hapa miundombinu ilikuwepo kwa uchache miaka 6 iliyopita? Labda hujui unaongea nini Boss
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe kila siku unalia na wizi wa kula!

Sikia mkuu pamoja na kwamba hayupo ila hata 2025 utakuja na ngonjera hii hii ya wizi wa kura!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app

Kwa hiyo nikilia hiyo 2025 itafuta huu wizi wake?
 
Tukiwaambia mtupe uthibitisho kuwa Magufuli alimuua Ben Saanane, alimpiga risasi Tundu Lissu na alimpoteza/kumuua Azory Gwanda mnaingia mitini. Hebu tuthibitishie hizi tuhuma.

Udhibitishiwe ww kama nani? Huyo ndio ukweli na hakuna chombo cha kukubali kudhibitisha hilo hapa nchini. Lakini kikija chombo huru toka nje, ndani ya nusu ushahidi wote utakaa hadharani.
 
Udhibitishiwe ww kama nani? Huyo ndio ukweli na hakuna chombo cha kukubali kudhibitisha hilo hapa nchini. Lakini kikija chombo huru toka nje, ndani ya nusu ushahidi wote utakaa hadharani.
Hamna uthibitisho kwa kuwa ni stori za kutunga za mafisadi, mabeberu na vibaraka wao.
 
Hamna uthibitisho kwa kuwa ni stori za kutunga za mafisadi, mabeberu na vibaraka wao.

Udhibitisho upelekwe wapi wakati mamlaka za kudhibitisha zina hofu na hayo madaraka. Au unadhani ukisema tulete ushahidi ndio inaondoa ukweli? We kesha hapa, shinda hapa huo ndio ukweli ambao huwezi kuubadili kwa mahaba yako kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…