Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Tumwombee kama tunavyowaombea wakosefu wengine, lakini siyo kwa sababu alikuwa kiongozi mzuri.

Kiuongpzi, marehemu alikuwa kiongozi mbaya kuliko yeyote ambaye tuliwahi kuwa naye. Alikuwa kiongozi katili kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa, mdhulumaji, aliyejaa chuki na upendeleo, n.k.

Tunapomwombea huruma ya Mungu, tusisahau kuliombea Taifa letu ili isitokee wakati Mungu wetu akaruhusu Taifa lipate kiongozi mbaya wa kiwango cha marehemu, kiongozi muuaji, mtesaji, mdhulumaji, asiyejali haki wala uhuru wa binadamu wenzake.

Mungu azidi kuwajalia moyo subira, unyenyekevu wale wote waliopotelewa na ndugu zao (Ben Sanane, Azory Gwanda, Kinguye, n.k.). Mungu azidi kuwajalia moyo wa msamaha wale waliopatwa na madhira makubwa yaliyosababishwa na marehemu (Lisu, Rugemarila, Deo, na wengine wengi waliorundikwa ndani kwa kesi za kutengeneza ili kuwakomoa).
Hayati alikuwa Rais bora kuwahi kutokea. Alikuwa mzalendo wa kweli na aliyewapenda Watanzania kwa dhati. Alifanya makubwa mengi sana ndani ya muda mfupi kuliko Rais mwingine awaye yote.
 
Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea pumziko la milele mbinguni Hayati John Pombe Joseph Magufuli.

Misa hii takatifu itafanyika Jumapili ya Machi 20 katika viwanja vya madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo kuanzia saa nne kamili asubuhi. Aidha, Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande anatukumbusha kumuenzi Hayati Magufuli kwa kuwa Wazalendo wa kweli, kudumisha amani, undugu na maendeleo ya taifa kwa ujumla.

Hayati Magufuli apumzike kwa amani mbinguni.

View attachment 2147385
Badala ya kuiombea nchi na wananchi tuombee mfu? Ukishadedi umededi unasubiri hukumu.
 
Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea pumziko la milele mbinguni Hayati John Pombe Joseph Magufuli.

Misa hii takatifu itafanyika Jumapili ya Machi 20 katika viwanja vya madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo kuanzia saa nne kamili asubuhi. Aidha, Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande anatukumbusha kumuenzi Hayati Magufuli kwa kuwa Wazalendo wa kweli, kudumisha amani, undugu na maendeleo ya taifa kwa ujumla.

Hayati Magufuli apumzike kwa amani mbinguni.

View attachment 2147385
Ni jambo jema kumuombea Marehemu.

Habari muhimu ni kuwa Magufuli, alikuwa kiongozi 1.MKATILI
2.WATU WAMEUWAWA NA KUPOTEA KATIKA UTAWALA WAKE
3.ALIVURUGA UCHUMI WA NCHI BIASHARA.

4.AMELETA OMBWE LA AJIRA KWA KUTOAJILI MUDA MREFU.
5.ALIKUWA NI MTU MWENYE VISASI KWA WALIOMKOSOA
Kumkumbuka ni vema ili asamehewe UNYAMA ALUOUFANYA wakati wa Uhai wake.

Sioni fahari,yoyote kwa mwaka mmoja baada ya kifo chake.

Ni UJINGA uliovunja REKODI YA DUNIA Kumshangilia na kumtukuza kiongozi aliyekuwa mkatili namna ile.
 
Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea pumziko la milele mbinguni Hayati John Pombe Joseph Magufuli.

Misa hii takatifu itafanyika Jumapili ya Machi 20 katika viwanja vya madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo kuanzia saa nne kamili asubuhi. Aidha, Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande anatukumbusha kumuenzi Hayati Magufuli kwa kuwa Wazalendo wa kweli, kudumisha amani, undugu na maendeleo ya taifa kwa ujumla.

Hayati Magufuli apumzike kwa amani mbinguni.

View attachment 2147385
Kwa hiyo alikuwa anamkubali kwa vitendo vyake? Amesahau alivyomdhalilisha Askofu mwenzake kwa kumuweka katika kundi la wahamiaji haramu? Amesahau yaliyompata Tundu Lisu?
 
Acheni kuamini upuuzi, yesu hajawahi kumfufua mtu
Yesu Mwenyewe alitenda mbele yao wakaona kwa macho yao na wakambishia. Naye akaawambia nendeni kwa babayenu maana yupo. Kwahiyo kupingwa leo kwenye ulimwengu huu sio ajabu hata kidogo. Wewe si wa kwanza.
Ila kwa binadamu iko siku yake atauona ukweli. Muhimu ni kuomba Neema kuutambua Ukweli kwenye muda sahihi. Pokea.
 
Hilo jizi halistahili kuombewa, ni la kuchomwa moto wa milele! Alituletea wahuni akina Bashite, Sabaya na akawalinda kwa nguvu zote! akawafanyia unyama wapinzani as if siyo watanzania, hafai, hafai, na hastahili kuombewa
Bashite na sabaya walianza uongozi kipindi cha nani
 
Hakuna Mungu na upuuzi kama huo, enjoy life, ukifa ndiyo mwisho wako, unarudisha protons na electrons kwa universe
Ishi ukitambua vita unayopigana kwa misuli yote ilishashindwa kabla ya uzao wako uliokuleta Duniani haujazaliwa. Pokea.
 
Sikupenda kabisa alivyofananishwa au kuitwa Yesu hadharani, bungeni na yule Waziri wa ajabu ajabu na hakukemea popote.
Hao ni chawa.

Binafsi JPM hakuwahi kujilinganisha na Mungu.

Actually he was the most God-fearing president among them all.
 
Hao ni chawa.

Binafsi JPM hakuwahi kujilinganisha na Mungu.

Actually he was the most God-fearing president among them all.
He did not rebuke them in public. He should have done that. Mungu ampe pumziko la Amani.
 
Ukimzungumzia magufuli unagusa watu wengi sana.kifupi mpera mpera wake nilikuwa naupenda sana nchi ilichangamka.
Uchumi wa nchi ulikua kwa kasi sana.

Sasa hivi tunakopa, tunaomba misaada na wameongeza kodi na tozo za kutosha...

Lakini hakuna mradi mkubwa unaoendelea vizuri, hakuna ajira, hakuna nidhamu maofisini, n.k.

Mpaka unajiuliza kama tuna uongozi.
 
Simchukii jpm, wala simhukumu. Ila kuhusu kuombea, ni chukizo kwa mungu, baada ya kifo ni hukumu hakuna kutengeneza maisha. Hakuna mstari kwenye biblia unasema tuombee wafu.

Hata ukisema rip mtu kama hakuishi maisha matakatifu huwezi kumtakasa akiwa ameshakufa, yeye ndio anatakiwa kutubu kwa mungu angali hai asamehewe, ni kitu kati ya mungu na mtu, na sio watu waende kumuombea mtu kwa mungu, the only advocate we still have is jesus, naye anasimama kama daraja kati yetu sisi na mungu kwamba tukitenda dhambi tupitie kwake ili mungu atusamehe kwasababu yeye alimwaga damu kwa ajili ya hilo. Ila sisi wanadamu tukiombea mfu tunapoteza muda na ni chukizo kwa mungu.
Haikuhusu tuachie sisi
 
Ni makosa makubwa kufikiri unaweza kuombewa baada kufa huku ukiwa umetenda midhambi kibao.

Mtu kauwa,kaamuru watu watandikwe risasi,kuteka.,........ halafu unaombewa !.
Tuthibitishie.
 
Back
Top Bottom