Mwaka mmoja bila Magufuli: Wasiokuwa wazalendo waendelea kuweweseka

Mwili ndio ubaki udongoni,nafsi na roho yako uenda paradiso au kuzimu tegemeana na matendo yako.
Hii kwa mujibu wa maandiko Quran tukufu na Biblia takatifu pia kwa Shuhuda za walioenda na kurudi.
Jamaa na yeye anasema huwa anakufa na kufufuka. 😁
 
Magaidi wote wapi hapa, hizo siasa za kizee ndio bado mnaleta miaka hii? Hapa tulipo tunajiandaa kesho kula 🦆 baada ya dhalimu kuelekea motoni.
Mama anaupiga mwingi sana. Tuendeleeni kufanya siasa za kistaarabu. 😂
 
Wewe ni mtoto wa JPM? Maana unamuabudu mpaka unatia kinyaa!!!
 
Aende panapostahili
 
Mama anaupiga mwingi sana. Tuendeleeni kufanya siasa za kistaarabu. 😂

Anaupiga mwingi kwenye nini boss, au na ww hilo neno kuupiga mwingi umeliparamia ili uonekane unaenda na wakati?
 
Anaupiga mwingi kwenye nini boss, au na ww hilo neno kuupiga mwingi umeliparamia ili uonekane unaenda na wakati?
Tumeachana na madai ya Katiba Mpya, sasa hivi tunafanya siasa za kistaarabu.
 
Mwili ndio ubaki udongoni,nafsi na roho yako uenda paradiso au kuzimu tegemeana na matendo yako.
Hii kwa mujibu wa maandiko Quran tukufu na Biblia takatifu pia kwa Shuhuda za walioenda na kurudi.

Rudi kasome vizuri hivyo vitabu.
 
Mi nakumbuka tu "Iiiiiiiiiiii"

Jiwe angekuwa Rais bora Sana angekuwa na subira ya kutamka kinywani na angekubali kukosolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…