Mwaka mmoja wa Rais Samia na RC Kafulila ukusanyaji mapato Simiyu sasa ni mara tatu zaidi, maajabu ni Itilima kukusanya TZS 1.4BL

Mwaka mmoja wa Rais Samia na RC Kafulila ukusanyaji mapato Simiyu sasa ni mara tatu zaidi, maajabu ni Itilima kukusanya TZS 1.4BL

Nilipokuja Simiyu kuanza kazi mwaka jana 2021 baada ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT na kuniapisha kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu.

Nilikuta halmashauri zina hali mbaya sana kwenye usimamizi wa mapato.

Maswa ilikuwa imekusanya 39% ya lengo, leo imefika 120%.

Mapato kwa miradi ya maendeleo Bariadi Mji mlitekeleza 30% leo mmefika 99%.

Itilima iliyokuwa kundi la halmashauri duni nchini kwa kukusanya chini ya 1bn, leo imekusanya 1.4bn.

Kesho nitamalizia Busega na Bariadi vijijini tuone CAG anaonesha nini.

Naamini kote kuna mabadiliko makubwa " RC- Kafulila leo Juni27, 2022 baada ya vikao vya hoja za CAG kwa halmashauri za Maswa na Bariadi Mji baada kumaliza vikao hivyo kwa Meatu na Itilima Juni25, 2022.

#Mimi Jabali niko tayari kuhesabiwa siku ya tarehe 23|08|2022,Wewe Je?
Wanafiki wakubwa nyie, mnatutangazia makusanyo makubwa lakini kila siku mnakopa na hali ya maisha inazidi kuwa ngumu, hizo pesa zinafanya kazi gani kama siyo propaganda?
 
Haya mapato yametokana na uchimbaji dhahabu na trickle down effect zake haimaanishi mtaka alishindwa kukusanya.
 
Nyie kila kitu Mbowe, Kafulila mbona alitokea NCCR,
Kichwa kizito baada ya kuzinguana na zito akiwa naibu katibu alimzingua kafulila mchakato wa ndani wa uchaguzi akasepea nccr na akaibuka mshindi ubunge jimboni
 
Nilipokuja Simiyu kuanza kazi mwaka jana 2021 baada ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT na kuniapisha kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu.

Nilikuta halmashauri zina hali mbaya sana kwenye usimamizi wa mapato.

Maswa ilikuwa imekusanya 39% ya lengo, leo imefika 120%.

Mapato kwa miradi ya maendeleo Bariadi Mji mlitekeleza 30% leo mmefika 99%.

Itilima iliyokuwa kundi la halmashauri duni nchini kwa kukusanya chini ya 1bn, leo imekusanya 1.4bn.

Kesho nitamalizia Busega na Bariadi vijijini tuone CAG anaonesha nini.

Naamini kote kuna mabadiliko makubwa " RC- Kafulila leo Juni27, 2022 baada ya vikao vya hoja za CAG kwa halmashauri za Maswa na Bariadi Mji baada kumaliza vikao hivyo kwa Meatu na Itilima Juni25, 2022.

#Mimi Jabali niko tayari kuhesabiwa siku ya tarehe 23|08|2022,Wewe Je?
Wonderful Rais Samia
 
Rais kasema kila mtu ametolewa kwa sababu kadha wa kadha ila wengine waliotolewa kwenye u RC atawatumia kwingine so nadhani Kafulira na Gabriel wanaweza pewa hata ubalozi.
 
Niko simiyu, kafulila Yuko vizuri sana , Ni mtu ambaye ni mchapa kazi , Hana majigambo Kama alivyokuwa mtangulizi wake Bwana mtaka chui aliyejificha kwenye ngozi ya Usabato.

Hongera sana kafulila, uko vizuri sana my brother from another mother!
Mtaka ni chui kvp
 
Yaani 1.4B ni maajabu kwa Halmashauri kukusanya na humo kuna ada za shule na cost sharing za hospitali? shame on them
Halmashauri zinatofautiana wigo wa mapato, kwa halmashauri kama itilima kukusanya above 1bil inastahili pongezi
 
Nilipokuja Simiyu kuanza kazi mwaka jana 2021 baada ya Rais Samia kuapishwa kuwa Rais wa JMT na kuniapisha kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu.

Nilikuta halmashauri zina hali mbaya sana kwenye usimamizi wa mapato.

Maswa ilikuwa imekusanya 39% ya lengo, leo imefika 120%.

Mapato kwa miradi ya maendeleo Bariadi Mji mlitekeleza 30% leo mmefika 99%.

Itilima iliyokuwa kundi la halmashauri duni nchini kwa kukusanya chini ya 1bn, leo imekusanya 1.4bn.

Kesho nitamalizia Busega na Bariadi vijijini tuone CAG anaonesha nini.

Naamini kote kuna mabadiliko makubwa " RC- Kafulila leo Juni27, 2022 baada ya vikao vya hoja za CAG kwa halmashauri za Maswa na Bariadi Mji baada kumaliza vikao hivyo kwa Meatu na Itilima Juni25, 2022.

#Mimi Jabali niko tayari kuhesabiwa siku ya tarehe 23|08|2022,Wewe Je?
Kazi ni nzuri sana Rais Samia, we love you,
 
Back
Top Bottom