Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Wewe mtu mie wa mwisho umewapanga kiumri au kisifa au kinini mutu wa pande zile ??
 
Kuna hawa viumbe muhimu sana sana
Chakorii
Una moyo mzuri sana mrembo, Mungu akutendee mema

Joannah sina mengi ya kusema..Mungu anaujua moyo wako.
Baraka za Mungu zikufuate kila uendako dada mzuri๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜

I wish siku moja niwaone

Extrovert ...wewe ni bonge la mshikaji, barikiwa sana katika mambo yako.

Kelsea ....sitakusahau kamwe, uliwahi kuwa mwema kwangu, hujui ninavyokuheshimu kwa muda wako na ulivyofanyika baraka kwangu.
Nakutakia maisha mema huko uliko๐Ÿ˜

bro Shimba ya Buyenze
Umekuwa mtu wangu wa nguvu yapata miaka kadhaa na undugu wetu umeendelea kukua siku hadi siku.
Nakutakia mema mkuu unapouanza mwaka mpya 2023
 
Ole wako uwataje mademu zangu....
 
Asante G...endelea kuwa Kaka wa mfano.โค๏ธ
 
Namwambia jamaa yangu secret file aachane na kujenga manyumba mengi ya chini. Ni wakati wake wa kujenga ghorofa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ