Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

Mwaka umeisha unataka kumwambia nani na nini humu JF?

[mention]Kelsea [/mention] me nataka mtoto sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
 
Carleen nakuonaga mpole kweli...hope uko ivo cute❤.... Joannah mtulivu mpaka comments zako zinajionyesha😁
cocastic I know u know that nakufuatafuata sana🙆usinidunde tu but coz I like you cute❤
X-mass njema kwenu wapendwa...ishini sana friends
Jamani kazuri kangu thank you so so much girlie...!!❣️❣️
Have my Love from this side..!!
Mimi ni kapole hasa kama vile ulijua mama..!🙈
 
Mpaka pale mai dia mjukuu atakaponiambia.... SASA YATOSHA

Hivi sasa nalitaka file la Unique Flower . Fanya hima mai dia mjukuu
😂😂😂😂 hakika babu SASA YATOSHA... Unique Flower hapendagi ujinga atakunyoosha,Tena kikao kitawekwa hapa jamvini mbele ya wajukuu zako tutaficha wapi sura zetu sisi,chonde chonde babu tuhurumie sie🙏
 
Salam ziwafikie Hawa kwa leo....
1. Nyamizi mwanaharakati mwenzangu mpambanaji kabisa katika kumuibisha Putin...Slava Ukraine

2. ERoni Glenn napenda busara zenu ,wifi zetu Wana bahati kuwa nanyi

3. Analyse wewe uliniteka tangu nilivyosoma "This is Analyse"niseme tu una kitu za ziada kichwani,

4. mzabzab wewe Ni peponi Firdaus moja kwa moja,maana jitihada zako zimeoneka hapa duniani,hakika unatumia vyema theory ya Use and disuse of organ...

5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona

6. mpwayungu village NAKUPENDA tu,wewe na nyuzi zako zoote😂

7. rikiboy Aisee tukiachana na Masikhara yako kwa jicho la tatu uko tofauti Sana, comment zako Zina akili Sana

8. DeepPond unachangamsha Sana jamvi na Visa vyako na mama J,muishi sana

9. Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr mna heshima zangu nyingi Sana.

10. Extrovert mzee wa ban,jitahidi mwakani tusipigwe ban

I wish you a Merry Xmas and Prosperous new year,mmekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye afya yangu ya akili bila nyinyi kujua,kila nilipohitaji tabasamu na kutoka kwenye mawazo ya tozo niliwatafuta ninyi,na Hamkuniangusha,....Mungu awalinde ili mwakani tuendeleze gurudumu kwa pamoja
 
Salam ziwafikie Hawa kwa leo....
1. Nyamizi mwanaharakati mwenzangu mpambanaji kabisa katika kumuibisha Putin...Slava Ukraine

2. ERoni Glenn napenda busara zenu ,wifi zetu Wana bahati kuwa nanyi

3. Analyse wewe uliniteka tangu nilivyosoma "This is Analyse"niseme tu una kitu za ziada kichwani,

4. mzabzab wewe Ni peponi Firdaus moja kwa moja,maana jitihada zako zimeoneka hapa duniani,hakika unatumia vyema theory ya Use and disuse of organ...

5. Nakadori To yeye Unique Flower nyinyi Ni watu special Sana,hamnaga kufakefake,,mko Real Sana natamani kuwaona

6. mpwayungu village NAKUPENDA tu,wewe na nyuzi zako zoote😂

7. rikiboy Aisee tukiachana na Masikhara yako kwa jicho la tatu uko tofauti Sana, comment zako Zina akili Sana

8. DeepPond unachangamsha Sana jamvi na Visa vyako na mama J,muishi sana

9. Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr mna heshima zangu nyingi Sana.

10. Extrovert mzee wa ban,jitahidi mwakani tusipigwe ban

I wish you a Merry Xmas and Prosperous new year,mmekuwa na mchango mkubwa Sana kwenye afya yangu ya akili bila nyinyi kujua,kila nilipohitaji tabasamu na kutoka kwenye mawazo ya tozo niliwatafuta ninyi,na Hamkuniangusha,....Mungu awalinde ili mwakani tuendeleze gurudumu kwa pamoja

ERoni mwanangu tumekumbukwa tena tumepewa namba 2.
Asante kipenzi Joannah
 
Back
Top Bottom