Acha ukweli usemwe,ngumi za bongo ni magumashi tu kazi kuibiwa watu viingilio vyao na kuwapotezea muda wao tu.Uchawi sio kuwanga usiku.Uchawi pia namna tulivyo.
Niko tarime mtaa wa rebu japo makorola hadi kwa minchi majani mapana kwenda sahare napajua...We si wa mwakizaro au makorora ndo mana
Kapigwa kindezi raundi ya 12............tony rashid bado??
Bora useme wewe maana wa bongo wabishi sana shida yao n kuona mwakinyo akipigwa hahahhhhhhjamaa anarank 40 Duniani si mbaya, na Umaarufu wa Mwakinyo ameupata baada ya kumpiga Eggington, hivyo si kweli kwamba mapambano ya Mwakinyo ni marahisi, Pengine anajua sana.
Wakati mwakinyo 24....kiduku 108, mbabe 111
Tony kapigana sana, hata mm nimesikitika ameshindwa kumalizia dk 3 za mwisho.....la Mwakinyo ni bongo movieAcha ukweli usemwe,ngumi za bongo ni magumashi tu kazi kuibiwa watu viingilio vyao na kuwapotezea muda wao tu.
Pambana la maana lilikuwa ni la Tony, huyu mwingine ni maigizo tu.
Ana mwaka mzima bila pambano, katika mapambano yake manne ya nyuma alipoteza yote.Yawezekana akawa ni bondia mzoefu ila yote hayo uliyoyataja hapo ni historia ambayo si uhalisia wake wa sasa.Pamoja na kumuona Indongo dhaifu lkn sio Kweli.
Indongo amepigana na boxers wenye level za juu sana akiwemo Terence Crowford. Pamoja na kwamba alipigwa lkn alionyesha uwezo mkubwa.
Kwahiyo Mwakinyo amemshinda huyo kwa sababu amesimamia vema mipango yake...Mipango ya Indongo ilikua kuvuta muda lkn mipango ya Mwakinyo ilikua kumaliza ndani ya muda alioukusudia.. Adui mkubwa wa boxers ni muda uliojiwekea kutimiza mipango yako..mpinzani akiweza kukutoa kwenye mipango yako tu umekwisha.
Mkuu ngumi zilikuwa live kila mtu kaona, Mwakinyo kwa namna alivyo anza bila shaka angeshinda bila tatizo ila refa kazinguaBora useme wewe maana wa bongo wabishi sana shida yao n kuona mwakinyo akipigwa hahahhhhhh
Halafu ujue wapo uzito tofautiWakati mwakinyo 24....
Ukiondoa maneno ya shombo mwakinyo yupo vizuri.
Alikuwa anaboa sana aiseeeYou are running to much
Anawapiga ma nyambu huko njeNje ana rekodi nzuri tu,sasa nashangaa,sijui ana zali la kukutanishwa na walevi pia,jamaa ngumi zake hazina nzoso kabisa hadi unashangaa anashindajeshindaje
Hiyo sasahivi hawezi kuleta bondia competitive anaogopa kupigwa, ili aendelee kuvimba anahitaji mabondia wa aina hii ya leoTony kapigana sana, hata mm nimesikitika ameshindwa kumalizia dk 3 za mwisho.....la Mwakinyo ni bongo movie
Mchawi we na huyo mdigo mnaomroga hadi refaSipo huko, nimesikitika sana Tony kupigwa.Na pia Mwakinyo alipaswa apige ili wengi tulio wachawi tufurahie.
Maana tabia za wachawi huwa za namna hiyo.
Hufurahia sana mabaya ya watu pasipo haya.
Wenyewe wanasema ni namba 3 sijui 4 Africa, ila hajacheza muda mrefu......sijui anabakije na rank ya juu wakati hacheziHiyo sasahivi hawezi kuleta bondia competitive anaogopa kupigwa, ili aendelee kuvimba anahitaji mabondia wa aina hii ya leo
Amepiga mleviAmepiga mtu? Sijatazama hilo pambano
Pambano litakalo kuja kuvunja record na kuingiza hela ya maana ni Kati ya Mwakinyo na Twaha, kutakuwa ni pambano competitive sana.Mkuu, hawa kina kiduku ni wa ngapi kwa uzito wao duniani?
Hajacheza muda mrefu,lakini pia mapambano yake manne ya mwisho hakushinda hata moja.Wenyewe wanasema ni namba 3 sijui 4 Africa, ila hajacheza muda mrefu......sijui anabakije na rank ya juu wakati hachezi
Mmesema ukweli mpaka sasa imesadia nini?Acha ukweli usemwe,ngumi za bongo ni magumashi tu kazi kuibiwa watu viingilio vyao na kuwapotezea muda wao tu.
Pambana la maana lilikuwa ni la Tony, huyu mwingine ni maigizo tu.