Mwalimu aliyetoweka Simiyu akutwa amefariki Musoma

Waambie walimu sio mm
 
Yeah ni mwalimu namjuwa tupo nae kitaa hapa
Asipokuwa makini atachizi.
 
Waambie walimu sio mm
Hacha kuwaza sana hata ivyo na wewe nashukuru matatizo yako furaha yangu mkeo kasha niambia kila kitu now ata show akupi anasema umekuwa mchafu sikuhizi uogi so now nagonga tu mpaka tigo duh tamu hiyo na vile mweupe bonge ya tako[emoji39]

Ongera kwa kuwa na mke mzuri ila wewe usipo badilika na mke anakuacha.

Tumia akili.
 
Uyu bwana mdogo alikuwa mwalimu akaacha Ili kufanya biashara, kapata hasara na mtaji kukata.
 
Nikupe pole tena nakupa pole, pesa ninayo ingiza hapa Kariakoo kwenye biashara yangu ya makapeti na mapazia ya nyumbani ni zaidi ya million saba Kwa mwezi hiyo sio profit ni NET PROFIT
Acha kutupiga kamba wewe ni mwalimuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Either:
1. Umefukuzwa kazi
2. Umekosa ajira
3. Kuna ticha kakuchapia.
Hakuna mfanyabiashara aneweza pata muda wa kuandika mambo ambayo hayamjengi kibiashara. Na hakuna mfanfanya biashara anaweza kujua mambo ya walimu mara sijui halmashauri anapata muda saa ngapi??

Bob punguza stress km Kuna ticha kakuchapia huku JF katuletea kisanga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yani iko hivi, angevamiwa na wezi ningetoa hata pesa ya jeneza ila JITU lililokufa Kwa kutafuta uchawi tena jalimu mm siwez huzunika, usimwache mchawi akaishi
Alienda kutafuta uchawi au vyovyote vile ili afanikiwe, hiyo sio sababu ya kumcheka mtu aliyeuwawa na majambazi na kuporea, maana hakwemda kudhuru mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…