Mwalimu Lwaitama: Kesi ya Mbowe: " Rais Samia anayo Mamlaka ya kuifuta"


ID hizi zina things in common 😁😁



Hiiiiii bagosha
 
Wewe umeona tu Rais kuifuta kesi ya Mbowe ni kuingilia mhimili huo wa Mahakama...........

Lakini hujaona mahojiano yale na Kikeke wa BBC kuwa Mbowe ni gaidi, hajaingilia mhimili huo wa Mahakama??
 
Wewe umeona tu Rais kuifuta kesi ya Mbowe ni kuingilia mhimili huo wa Mahakama...........

Lakini hujaona mahojiano yale na Kikeke wa BBC kuwa Mbowe ni gaidi, hajaingilia mhimili huo wa Mahakama??

Labda atakuwa katupia miwani ya mbao
 
Ile kesi mwamba imemkalia vibaya.

Kesi ya kubumba, hukumu ya kubumba, mhimili uliojichimbia zaidi umehodhi mahakama. Hapo kesi ina nini cha kujadili kumkalia nani vipi?

Kwani hata hukuweza kusikia sikia kwa bosi ukatudokeza:

 
Kweli ni aibu na ni kufedhehesha Mahakama. Jaji tena Jaji Kiongozi unatoa hukumu kwa kufuata mawazo yako binafsi na sio vifungu vya sheria??? Nasikitika sijui hata kaingiaje kwenye Mihimili huu wa Mahakama??? Katiba Mpya ni muhimu sana ili Mihimili huu uweze kuwa na watendaji wenye weledi.
 
Acha kufikiri kwa kutumia kichwa cha chini hizo za NIDA na mashehe wa uamsho zilizofutwa juzi juzi zilifikia hukumu?
 
Kwanini aingilie uhuru wa mahakama, mboe anawatu nyuma yake nguvu ya umma
 
Acha ujinga ulichoandika hapo chini sija kielewa hiii Bagosha ndo nini? Sasa

LWAITAMA ALIPOZEEKA NDO SIASA IKAMWINGIA DAMUNI SIO UDWANZI HUO

Hicho ni lugha rasmi ya hawa ndugu 😁😁:



Yuko wapi Moses Lijenje?
 
Kwanini aingilie uhuru wa mahakama, mboe anawatu nyuma yake nguvu ya umma

Kwani ule mhimili si huwa unajichimbia zaidi? Kwani si huwa una bambika kesi na hukumu pia? Kwani huko ni kuingilia uhuru ukiwamo wa mahakama ama?
 
Wala sihitaji kujulikana,impact yangu ndiyo muhimu.Ndiyo maana nipo JF ili niweze-share na wengine what I know.Humanity has been cheated for too long.

Doctor uchwara 😁😁
 
Huu ni ujinga mahakama iko huru ata wao chadema wanajua hilo, alisikika mwana chadema mmoja mahakamani siku ya hukumu ya sabaya akisema "mahakama iko huru sasa tangaia magufuli alipokufa"
 
Huu ni ujinga mahakama iko huru ata wao chadema wanajua hilo, alisikika mwana chadema mmoja mahakamani siku ya hukumu ya sabaya akisema "mahakama iko huru sasa tangaia magufuli alipokufa"

Alisikika mkuu wa mihimili mmoja akisema wake umejichimbia zaidi. Akakiri tena kuwa mhimili wake umekuwa ukibambikizia watu kesi:



Akaendelea kusema mtuhumiwa mmoja alitoroka nchi na wenzake tayari walishahukumiwa.

Akampandisha cheo jaji aliyekuwa atoe uamuzi muhimu ndani ya kesi ali yokwisha itolea tamko.

Kwa hakika ni mtu usiyejulikana tu unaweza kudhani unaweza kumshawishi mtu na uhuru wa mahakama.

Hata CCM wamekiri kuna parallel power.
 
Ni upumbumbavu kuamini mtu kiasi hicho mbowe alikuwa na mahusianao na joyce mukya alishaawahi kukuambia na mlovyoambiwa kama kawaida yenu mkashupaza shingo , mbowe si malaika na kubwa zaidi haulali naye ana privacy zake acha kuabudu watu
 
1) Kaka mawakili wenu ndiyo waliozingua kwa sababu walipinga cautioned Statement ya Adamoo ambayo hata haikuletwa mahakamani. Badala ya kupinga iliyochukuliwa pale Central police wao wanapinga kitu ambacho hakipo mahakamani.

2) Mngeshinda ile kesi ndogo msingeongea kuhusu katiba mpya wala nini.

3) Hii kesi watu wenu watafungwa siyo kwa sababu ya kutokuwa na katiba mpya bali Mawakili wenu wanajifanya wajuaji sana wakati hawajui. Badala ya kushughulika na vitu vya msingi katika kesi wao wanauliza maswali ambayo hayaibui mashaka mfano "Adamoo alipewa chakula, alikula nini akiwa kule Moshi na alishushia soda gani" mara ohh mke wake alinyimwa kumuona Adamoo. What the hell they wanted to establish there? Ujinga mtupu.
 
Mkuu hao wengine ni sawa na njiwa wanvyokuwa wanarukia kwenye mtama au uwere ili kujaza matumbo yao tu.
 
Lakini watu si wanasema Mama hana nguvu ila kuna watu ndio wanaongoza au hayo ni maneno ya vijiweni?
Yeye yuko pale kwenye kiti kirefu kufanya nini wakati anategemea maamuzi ya jirani?
 
Naona unateseka sana baada ya dr Lwaitama kuoa na kuwacha kukulipa wewe posho ya kumfanyia ukuwadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…