Kajinyonge basi tuone kama umekasirikaLwaitama is rigid has no idea
Ni mjinga tu MSOMI KAMA HUYO UNAZEEKA HALAFU UNAANZA SIASA
UKIWA KIJANA NDIO FANYA HIVYO
UKIMSIKILIZA LWAITAMA UTAKUWA HUNA AKILI
Mkuu sidhani kama unaelewa ulichokiandika.Kasome majukumu ya Rais ni yapi mkuu na mipaka yake ya kufanya kazi.Pia tambua kuwa kesi ikiwa mahakamani Rais hawezi fanya chochote kile.Kuna wakati mtu hata akiandka upuuzi, lakini akaandika kwa Kiingereza, basi huwa anaamini ameandika hoja ya msingi.
Kwa ufupi, siku zote amayemshtaki mtu yeyote, ana uwezo wa kuachana na krsi. Anachofanya ni kuitaarifu tu mahakama.
Samia ndiye aliyemkamatabowe, ndiye aliyembbikizia mashtaka, na ndiye anayemshtaki. Akisema hayaki kuendelea na hayo mashtaka aloyombambikia, hakuna atakayeendelea nayo.
Mbowe yupo mdani anateseka kwa sababu ya matakwa ya Samia.
Mkuu sidhani kama unaelewa ulichokiandika.Kasome majukumu ya Rais ni yapi mkuu na mipaka yake ya kufanya kazi.Pia tambua kuwa kesi ikiwa mahakamani Rais hawezi fanya chochote kile.
Mr. Freeman Mbowe, ana tuhuma za ugaidi ambazo ni lazima mahakama ijiridhishe kwamba ni kweli au la!
Ingawa kupitia ushahidi wa cautioned statement iliyotolewa na Adamoo kule Polisi alikiri kuwa walikuwa wametumwa na mbowe ili kufanya kosa la Ugaidi. Hivyo huyo Mbowe wenu kuchomoka ni ngumu sana.
Labda sio size yako.Magonjwa Mtambuka Mwalimu Lwaitama siyo size yako ...
Manashauri raisi avunje sheria, aamulie mahakama sio?, kwa kuwa ni mbowe mtu wenu?Msomi Nguli Mwalimu Lwaitama amefunguka yenye kujenga, kwake Mheshimiwa Rais:
View attachment 1984686
Yawezekana kuganga yajayo kwani yaliyopita si ndwele.
Hoja ya Mwalimu Lwaitama ina mashiko.
Hoja ya Mwalimu Lwaitama ni yenye kuzingatia katiba ya sasa na hasa uwepo wa ule mhimili uliojichimbia zaidi.
Habari za tashwishi ya afya au hali ya mheshimiwa Mbowe kwa ujumla gerezani ambako hakuweza kuonwa leo, zimfungue macho Mheshimiwa Rais.
Hala hala kabla ya hatari.
Mola ampishilie mbali pepo mbaya.
Niliwaambia hili, wanauliza maswali hayana maana kabisa[emoji16]wakasema mimi sina ilimu, nikawambia sawa na LY yangu lakini nimegundua hawa mawakili wanapiteza mda bure tu,,1) Kaka mawakili wenu ndiyo waliozingua kwa sababu walipinga cautioned Statement ya Adamoo ambayo hata haikuletwa mahakamani. Badala ya kupinga iliyochukuliwa pale Central police wao wanapinga kitu ambacho hakipo mahakamani.
2) Mngeshinda ile kesi ndogo msingeongea kuhusu katiba mpya wala nini.
3) Hii kesi watu wenu watafungwa siyo kwa sababu ya kutokuwa na katiba mpya bali Mawakili wenu wanajifanya wajuaji sana wakati hawajui. Badala ya kushughulika na vitu vya msingi katika kesi wao wanauliza maswali ambayo hayaibui mashaka mfano "Adamoo alipewa chakula, alikula nini akiwa kule Moshi na alishushia soda gani" mara ohh mke wake alinyimwa kumuona Adamoo. What the hell they wanted to establish there? Ujinga mtupu.
Mahakama ambayo muundo wake siyo wa haki, itawezaje kutenda haki?Mbowe ana kiburi na dharau sana. Iacheni mahakama itrnde haki.
Statement sio ishu, it is just words angaisnt mbowe's, inatakiwa concrete evidence which will leave no reasonable doubt kwamba mbowe aliwatuma wakafanye ugaidi, na huo ugaidi ulifanywa wapi au kuna vitu gani vilipelekea conclusion kwamba ugaidi ulikuwa ufanywe,,,Mkuu sidhani kama unaelewa ulichokiandika.Kasome majukumu ya Rais ni yapi mkuu na mipaka yake ya kufanya kazi.Pia tambua kuwa kesi ikiwa mahakamani Rais hawezi fanya chochote kile.
Mr. Freeman Mbowe, ana tuhuma za ugaidi ambazo ni lazima mahakama ijiridhishe kwamba ni kweli au la!
Ingawa kupitia ushahidi wa cautioned statement iliyotolewa na Adamoo kule Polisi alikiri kuwa walikuwa wametumwa na mbowe ili kufanya kosa la Ugaidi. Hivyo huyo Mbowe wenu kuchomoka ni ngumu sana.
Manashauri raisi avunje sheria, aamulie mahakama sio?, kwa kuwa ni mbowe mtu wenu?
Angekuwa suo shabiki wenu ila kwa wengine hapana hatakiwi?
Subilieni mahakama imalize kazi kama ni wa kuwa huru atakuwa tu na kama ni gaidi basi ataswekwa ndani lasmi.
Mwambie kibatara aache kufungua vikesi ambavyo havina kichwa wala miguu na kumchelewesha mwenyekiti kusota ndani.
1) Kaka mawakili wenu ndiyo waliozingua kwa sababu walipinga cautioned Statement ya Adamoo ambayo hata haikuletwa mahakamani. Badala ya kupinga iliyochukuliwa pale Central police wao wanapinga kitu ambacho hakipo mahakamani.
2) Mngeshinda ile kesi ndogo msingeongea kuhusu katiba mpya wala nini.
3) Hii kesi watu wenu watafungwa siyo kwa sababu ya kutokuwa na katiba mpya bali Mawakili wenu wanajifanya wajuaji sana wakati hawajui. Badala ya kushughulika na vitu vya msingi katika kesi wao wanauliza maswali ambayo hayaibui mashaka mfano "Adamoo alipewa chakula, alikula nini akiwa kule Moshi na alishushia soda gani" mara ohh mke wake alinyimwa kumuona Adamoo. What the hell they wanted to establish there? Ujinga mtupu.
Hicho kimombo wajameni, kwani umelazimishwa kuandika?First of all, why should be dismissed while there are serious allegations against Freeman Mbowe?
Second of all, Samia has no such a power.
Lastly, time will tell but according to the trial within trial conducted by the Court, I hope that Mr. FREEMAN MBOWE will be convicted & sentenced for what he did. MEANING: He will get what he deserves.
Sijalewa kama umeelewa nimeandika nini na sijaewlewa umeandika nini. Bila shaka utajiita akili kubwa mimi akili ndogo!
Hicho kimombo wajameni, kwani umelazimishwa kuandika?
Lichama lile kuna vichekesho kwa kweli. Eti baadhi yao ndio wanaojipachika kutawala nchi hii.Huyo eti ndiye size za akina Mwalimu Lwaitama. Mwingine Magonjwa Mtambuka ukurutu hadi mgongoni. Eti ndiyo ma tenki ya fikira hayo ππ.
Hiiiii bagosha!
Kwani hiyo mahakama ndiyo ilimshitaki au mhimili wa Serikali? Bila shaka aliyekushitaki anao uwezo wa kuifuta hapo mahakama haijaingiliwaMkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Kwa hiyo Mbowe asipo chomoka ndiyo nchi yetu masikini wa kutupwa itakuwa tajiri namba moja duniani?Mkuu sidhani kama unaelewa ulichokiandika.Kasome majukumu ya Rais ni yapi mkuu na mipaka yake ya kufanya kazi.Pia tambua kuwa kesi ikiwa mahakamani Rais hawezi fanya chochote kile.
Mr. Freeman Mbowe, ana tuhuma za ugaidi ambazo ni lazima mahakama ijiridhishe kwamba ni kweli au la!
Ingawa kupitia ushahidi wa cautioned statement iliyotolewa na Adamoo kule Polisi alikiri kuwa walikuwa wametumwa na mbowe ili kufanya kosa la Ugaidi. Hivyo huyo Mbowe wenu kuchomoka ni ngumu sana.
Bbc ni watu wa bad sana.Huyo mwenye mipaka ndiyo huyu huyu?
Magonjwa mtambuka ni adui wa taifa letuLabda sio size yako.