Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Biblia ya kingereza inasema ni plague numbers 16:46, Sasa Kama hao waliotuletea dini wanaosema ni plague, kwa kiswahili ndo tauniHalafu tauni Ina ambukizwa na panya Kama sijakosea
Na tauni itakuwa nini!Mwalimu Mwakasege amesema wanadamu wanapaswa kujihoji ni wapi tumemkosea Mungu kisha tutubu na kumrudia.
Mwakasege amesisitiza kuwa hii Corona siyo mpya bali ni ile Tauni iliyosemwa katika Biblia takatifu.
Mwalimu Mwakasege amesema hayo wakati wa semina inayoendelea huko Njiro Arusha na kesho ndio siku ya kufunga semina.
Source Upendo tv!
Ok sawa sawa mkuuNaona hukunielewela, mimi niliuliza ili kuelewweshwa kama ulivyofanya hapa ndio nimeelewa
Hii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable
Hiyo ilikuwa ni balaa. Na vijana ndo walikufa zaidi.Una jina la Kikristo ila hujaelewa chochote hata wewe dah.
Hivi hiyo spanish flu nayo ilisimamisha dunia kama hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru, namfuatilia Live UPENDO TVOk sawa sawa mkuu
your welcome,ndo hivyo mkuu.
Hana audience yoyote,..kwa hiyo ule ukumbi ameuweka pale kwa sbabu anafuatiliwa na watu wengi zaidi
Kesho nayo ni siku jaribu kuingia you tube mida ya saa kumi na nusu hiv had kumi na mbili then jaribu kumsearch utamwona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Point yako nimeipenda ukisoma Numbers 16:46, kwa almost version zote za kingereza zinasema wazi plague ambapo kwa kiswahili ni tauni lakin watu wanabisha,Unabishana na Biblia bwashee?!
Kasome Numbers 16:46 utaelewa kwanini anasema korona ni tauniKwangu corona ni pigo sio tauni........na kama alivyosema corona ndo tauni iliyotabiriwa kwenye biblia je ile tauni iliyowatandika kule ulaya na kaskazini mwa afrika na ikaua watu wengi sana zaidi ya hii corona......japo corona mwisho wake haujafika ila pia idadi ya vifo bado haijafikia hata nusu ya tauni ya kipindi kile lile tukio nalo tutasemaje?? kama hii corona ndo huo utabiri wa biblia tauni ya kipindi kile haikua utabiri??? Pia kuna spanish influenza nayo vipi????
Kwahio tauni iliyotabiriwa ni tukio la mara moja au ni tukio la kujirudia kila wakati??Kasome Numbers 16:46 utaelewa kwanini anasema korona ni tauni
Na Kimeta ni nini?Hii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable
Si ndo wanafanya uponyaji? Sa wafanye sasa, wasisubiri mabingwa wanaoumiza vichwa vyao kutafuta ufumbuzi wa tatizo wamefanikiwa halafu wao waje na ule usanii wa wale wanawake zao wanaosemaga "nilipewa kila dawa hospitalini sikupona,ila nikaja hapa kwa mara ya kwanza mwezi wa nne mwanzoni,ukawa unaombea wagonjwa basi na mie kurudi nyumbani siku ile nikakuta mungu wako ametenda muujiza,yaaani (kwa sauti ya kike) nikajikuta nshapona korona.kwenda hospitali kupima wakanambia sina kirusi hata kimoja".Wale ni spiritual hawana dawa,
Nahama leo mkuu.Hama kwenu,, umeshakuwa mkubwa sasa
Kwani Gwajima anasemaje
Huyo mleta mada angetakiwa aweke wazi kuwa sio mkutano!
Linajirudia na ni ugonjwaKwahio tauni iliyotabiriwa ni tukio la mara moja au ni tukio la kujirudia kila wakati??
Kwan wamekulazimisha uwaamin, we Kama umewaona ni matapeli wapotezee kwan utesekeSi ndo wanafanya uponyaji? Sa wafanye sasa, wasisubiri mabingwa wanaoumiza vichwa vyao kutafuta ufumbuzi wa tatizo wamefanikiwa halafu wao waje na ule usanii wa wale wanawake zao wanaosemaga "nilipewa kila dawa hospitalini sikupona,ila nikaja hapa kwa mara ya kwanza mwezi wa nne mwanzoni,ukawa unaombea wagonjwa basi na mie kurudi nyumbani siku ile nikakuta mungu wako ametenda muujiza,yaaani (kwa sauti ya kike) nikajikuta nshapona korona.kwenda hospitali kupima wakanambia sina kirusi hata kimoja".
Nabii anamwuliza: hata kimoja?
Mwanamke anajibu: eeeh hata kimoja.
Kudadadaki.jinga kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Goma bado halijajulikana tutadumu nalo kwa muda gani.Kama hajasoma historia ninamkumbusha tu kuwa dunia kupitia nyakati ngumu haijaanza leo. Yapo magonjwa yaliua 20 millions per year, mengine 50 millions per 5 yrs. Mengine 250 millions per few years.
Corona ndani ya nusu mwaka imeua laki 3 tu licha ya idadi kubwa ya wanadamu kwasasa ukilinganisha na miaka hiyo.