Mwalimu Nyerere aliona mbali madhara kuruhusu kabila kubwa kushika madaraka ya Urais

Mwalimu Nyerere aliona mbali madhara kuruhusu kabila kubwa kushika madaraka ya Urais

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Kati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.

Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.

Logout.
 
Sawa kaka kwani makabila makubwa ni yap ndo Maana nasema hii hoja ni mtambuka sana
 
Kati ya vitu ambavyo nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano

Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamta rudia tena makosa mliyo yafanya miaka mitano iliyo pita kwa sababu madhara yaliyo tokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa serikali ya awamu ya sita , nadhan wenye uelewa mzuri wameelewa.

Logout.
Mrundi anakuwaje kabila kubwa-alisha kosoa Membe
 
Kabila kubwa Tanzania ni wasukuma, there is no way ukawaondoa kwenye mfumo wa uongozi wa nchi hii, wako kila mahala.

Wasuluma ni karibu robo ama theluthi ya watanzania wote maana wanakaa mikoa ya Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Tabora, Katavi, Kagera, Kigoma, Singida na kwenda hadi huko Mbeya.

Hao tu peke yao wakiamua wanaweza ku-influence siasa za nchi hii.

Sisi ambao sio wasukuma tukubali tu kwamba hakuna namna ya hao jamaa kua wengi serikalini hata kama rais asingekua Magufuli.

Wewe kwako Nyerere angesema upigwe miti ungekubali kisa kasema Nyerere, yani wewe Nyerere ni kila kitu, chochote alichokisema ni asilimia mia. Halafu hayo Nyerere aliyasema wapi?
 
Kati ya vitu ambavyo nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano

Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamta rudia tena makosa mliyo yafanya miaka mitano iliyo pita kwa sababu madhara yaliyo tokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa serikali ya awamu ya sita , nadhan wenye uelewa mzuri wameelewa.

Logout.
mvua ilisepa na Magufuli mtu wa Mungu. Huu muda ungeutumia kwenda kutubu.
 
Acheni upumbavu kwani sifa ya kugombea nafasi ya Rais, inasema kabila fulani ndio wenye sifa za kugombea nafasi ya Rais?
 
Acheni upumbavu kwani sifa ya kugombea nafasi ya Rais, inasema kabila fulani ndio wenye sifa za kugombea nafasi ya Rais?
Hawakatazwi kugombea ila kutokana na mindset tuliyoaminishwa hatuwezi kuwapa kura

Anyway Nyerere naye alikuwa mkabila ingawa alipinga vikali triberism
 
Sawa kaka kwani makabila makubwa ni yap ndo Maana nasema hii hoja ni mtambuka sana
Makabila makubwa si tatizo ikiwa katiba inakidhi vigezo.
Katiba iliyopo inampa rais ubabe na anaweza kujaza kabila lake kwenye utawala.
Chama kina nafasi kubwa kuliko wananchi na ujinga ni zaidi kuliko werevu
Haya ndo matatizo makubwa na si makabila.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kati ya vitu ambavyo nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano

Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamta rudia tena makosa mliyo yafanya miaka mitano iliyo pita kwa sababu madhara yaliyo tokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa serikali ya awamu ya sita , nadhan wenye uelewa mzuri wameelewa.

Logout.
Sukuma gang
 
Kweli aisee. Kipindi cha mwendazake ghafla Wa-push wote wakawa wanaccm. Unajua nilishangaa sana.
Hata hapa jf jaribu kufuatilia kuanzia mwaka 2015 angalia walio jiunga na njoo kwenye post zao ndiyo uraamini
 
Back
Top Bottom