Kabila kubwa Tanzania ni wasukuma, there is no way ukawaondoa kwenye mfumo wa uongozi wa nchi hii, wako kila mahala.
Wasuluma ni karibu robo ama theluthi ya watanzania wote maana wanakaa mikoa ya Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Tabora, Katavi, Kagera, Kigoma, Singida na kwenda hadi huko Mbeya.
Hao tu peke yao wakiamua wanaweza ku-influence siasa za nchi hii.
Sisi ambao sio wasukuma tukubali tu kwamba hakuna namna ya hao jamaa kua wengi serikalini hata kama rais asingekua Magufuli.
Wewe kwako Nyerere angesema upigwe miti ungekubali kisa kasema Nyerere, yani wewe Nyerere ni kila kitu, chochote alichokisema ni asilimia mia. Halafu hayo Nyerere aliyasema wapi?