kweliMakabila makubwa si tatizo ikiwa katiba inakidhi vigezo.
Katiba iliyopo inampa rais ubabe na anaweza kujaza kabila lake kwenye utawala.
Chama kina nafasi kubwa kuliko wananchi na ujinga ni zaidi kuliko werevu
Haya ndo matatizo makubwa na si makabila.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Tatizo la mswahili kuamua kumchinjia baharini swahiba wake mkuuAisee mpaka leo sijajua sababu ilikuwa nini.
Alimaanisha makabila yenye ubinafsi kama wachaga! Wasukuma ni generous sana majority of them na wana misimamo haswaa!Nadhani kwa wakati ule inawezekana ilikuwa na mantiki, ila binafsi sioni kama lina mashiko eti Rais asiwe Mnyakyusa, Mchaga, Mhehe, Mngoni au kabila lolote kubwa, hayo ni mawazo mgando
Ndiyo wanaondoka mdogomdogo tu mwisho mtajikuta mmebakia kona ya bwiru tuKabila kubwa Tanzania ni wasukuma, there is no way ukawaondoa kwenye mfumo wa uongozi wa nchi hii, wako kila mahala.
Wasuluma ni karibu robo ama theluthi ya watanzania wote maana wanakaa mikoa ya Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Tabora, Katavi, Kagera, Kigoma, Singida na kwenda hadi huko Mbeya.
Hao tu peke yao wakiamua wanaweza ku-influence siasa za nchi hii.
Sisi ambao sio wasukuma tukubali tu kwamba hakuna namna ya hao jamaa kua wengi serikalini hata kama rais asingekua Magufuli.
Wewe kwako Nyerere angesema upigwe miti ungekubali kisa kasema Nyerere, yani wewe Nyerere ni kila kitu, chochote alichokisema ni asilimia mia. Halafu hayo Nyerere aliyasema wapi?
Tuliza kidonda wewe bhagooshaaaAcheni upumbavu kwani sifa ya kugombea nafasi ya Rais, inasema kabila fulani ndio wenye sifa za kugombea nafasi ya Rais?
Shida siyo kabila shida ni mtu ambaye alipewaKati ya vitu ambavyo nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano
Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamta rudia tena makosa mliyo yafanya miaka mitano iliyo pita kwa sababu madhara yaliyo tokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa serikali ya awamu ya sita , nadhan wenye uelewa mzuri wameelewa.
Logout.
Kweli tupuMakabila makubwa si tatizo ikiwa katiba inakidhi vigezo.
Katiba iliyopo inampa rais ubabe na anaweza kujaza kabila lake kwenye utawala.
Chama kina nafasi kubwa kuliko wananchi na ujinga ni zaidi kuliko werevu
Haya ndo matatizo makubwa na si makabila.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Lete ushahidi wa kauli yako.Kati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.
Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.
Logout.
Hivi kwa akili yao hawa unafikiria nchi hii Msukuma asiwe kwenye uongozi wakati amepiga shule vizuri na mchapakazi! Karibia robo ya watanzania wananasaba ya usukuma na unyamwezi unaweza kuwaepuka vipi?Shida siyo kabila shida ni mtu ambaye alipewa
Alipewa mtu wa hovyo ndiyo maana watu wanachukiaHivi kwa akili yao hawa unafikiria nchi hii Msukuma asiwe kwenye uongozi wakati amepiga shule vizuri na mchapakazi! Karibia robo ya watanzania wananasaba ya usukuma na unyamwezi unaweza kuwaepuka vipi?
Sema wewe na wazazi wako! Usiwasemee watanzania wote! Pia nioneshe nani alishapendwa na watu wote? Hata wewe hapo hupendwi na watu wote kwa hiyo sio ajabu!Alipewa mtu wa hovyo ndiyo maana watu wanachukia
Wasukuma tunajifahamu kwa ukarimu na upole.Alimaanisha makabila yenye ubinafsi kama wachaga! Wasukuma ni generous sana majority of them na wana misimamo haswaa!
Halafu hayo Nyerere aliyasema wapi?
Na wakafanikiwa kumfanya mwendazake kuwa mungu wao.Kweli aisee. Kipindi cha mwendazake ghafla Wa-push wote wakawa wanaccm. Unajua nilishangaa sana.
Umeishiwa hoja umeanza matuzi mazeeHata wewe utakufa na hata bibi yako alishakufa hata charles mbowe pia.
Mbwa wewe
Usikariri ndo maana mnasema hapa wachaga wezi nani alikwambia wachaga wote wezi? Au wahaya wanamisifa nani alikwambia wote wako hivo? Ulishawahi kukaa na wasukuma au unawachukulia poa kwa jinsi wanavyokandamiza wakiwa wanaongea? Kila jamii inaaina mbalimbali ya watu! By the way Magufuli alikiwa mtu mzuri tu kama unatimiza mambo yako kisawasawa!Wasukuma tunajifahamu kwa ukarimu na upole.
Sasa niambie kama yule jamaa alikuwa msukuma.
Tulilishwa za porini!
Msukuma ana tabia za kiskuma, mtu asiye msukuma ana tabia zisizo za kisukuma.Usikariri ndo maana mnasema hapa wachaga wezi nani alikwambia wachaga wote wezi? Au wahaya wanamisifa nani alikwambia wote wako hivo? Ulishawahi kukaa na wasukuma au unawachukulia poa kwa jinsi wanavyokandamiza wakiwa wanaongea? Kila jamii inaaina mbalimbali ya watu! By the way Magufuli alikiwa mtu mzuri tu kama unatimiza mambo yako kisawasawa!