Mwalimu Nyerere aliona mbali madhara kuruhusu kabila kubwa kushika madaraka ya Urais

kweli
 
Sio kila wazo nila kuandika JF.mengine yasio na kichwa wala miiguu kama hili niya kuachana nayo tu.
 
Nadhani kwa wakati ule inawezekana ilikuwa na mantiki, ila binafsi sioni kama lina mashiko eti Rais asiwe Mnyakyusa, Mchaga, Mhehe, Mngoni au kabila lolote kubwa, hayo ni mawazo mgando
Alimaanisha makabila yenye ubinafsi kama wachaga! Wasukuma ni generous sana majority of them na wana misimamo haswaa!
 
Ndiyo wanaondoka mdogomdogo tu mwisho mtajikuta mmebakia kona ya bwiru tu
 
Ni mpumbafu tu, Unguja kuna wasukuma kama wote na wengine wamekuwa viongozi ndani ya serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa wazaliwa na wahamaji.
 
Shida siyo kabila shida ni mtu ambaye alipewa
 
Lete ushahidi wa kauli yako.

Una video yoyote Nyerere akiyasema haya?
 
Yule mtu alivyokuwa muongo muongo sijui kama alikuwa msukuma kweli.
 
Shida siyo kabila shida ni mtu ambaye alipewa
Hivi kwa akili yao hawa unafikiria nchi hii Msukuma asiwe kwenye uongozi wakati amepiga shule vizuri na mchapakazi! Karibia robo ya watanzania wananasaba ya usukuma na unyamwezi unaweza kuwaepuka vipi?
 
Hivi kwa akili yao hawa unafikiria nchi hii Msukuma asiwe kwenye uongozi wakati amepiga shule vizuri na mchapakazi! Karibia robo ya watanzania wananasaba ya usukuma na unyamwezi unaweza kuwaepuka vipi?
Alipewa mtu wa hovyo ndiyo maana watu wanachukia
 
Alipewa mtu wa hovyo ndiyo maana watu wanachukia
Sema wewe na wazazi wako! Usiwasemee watanzania wote! Pia nioneshe nani alishapendwa na watu wote? Hata wewe hapo hupendwi na watu wote kwa hiyo sio ajabu!
 
Kweli aisee. Kipindi cha mwendazake ghafla Wa-push wote wakawa wanaccm. Unajua nilishangaa sana.
Na wakafanikiwa kumfanya mwendazake kuwa mungu wao.


Na mpaka sasa hawaamini kadedi, wanaamini yuko bize anawaongoza malaika
 
Wasukuma tunajifahamu kwa ukarimu na upole.
Sasa niambie kama yule jamaa alikuwa msukuma.
Tulilishwa za porini!
Usikariri ndo maana mnasema hapa wachaga wezi nani alikwambia wachaga wote wezi? Au wahaya wanamisifa nani alikwambia wote wako hivo? Ulishawahi kukaa na wasukuma au unawachukulia poa kwa jinsi wanavyokandamiza wakiwa wanaongea? Kila jamii inaaina mbalimbali ya watu! By the way Magufuli alikiwa mtu mzuri tu kama unatimiza mambo yako kisawasawa!
 
Msukuma ana tabia za kiskuma, mtu asiye msukuma ana tabia zisizo za kisukuma.
Kati kati hapo jaza mwenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…