Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,265
- 2,252
Hapa umeongea ukweli mtupu.Kati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.
Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.
Logout.
Tengeneza katiba nzuri tuache kubahatishaKati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.
Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.
Logout.
Yule naweza doubt kwa calibre yakeWasukuma tunajifahamu kwa ukarimu na upole.
Sasa niambie kama yule jamaa alikuwa msukuma.
Tulilishwa za porini!
Tatizo la nchi yetu ni kuwapa urais watu wasio na maono, watu wenye akili za ngoma za kienyeji, hii inatugharimu sana.Kabila kubwa Tanzania ni wasukuma, there is no way ukawaondoa kwenye mfumo wa uongozi wa nchi hii, wako kila mahala.
Wasuluma ni karibu robo ama theluthi ya watanzania wote maana wanakaa mikoa ya Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Tabora, Katavi, Kagera, Kigoma, Singida na kwenda hadi huko Mbeya.
Hao tu peke yao wakiamua wanaweza ku-influence siasa za nchi hii.
Sisi ambao sio wasukuma tukubali tu kwamba hakuna namna ya hao jamaa kua wengi serikalini hata kama rais asingekua Magufuli.
Wewe kwako Nyerere angesema upigwe miti ungekubali kisa kasema Nyerere, yani wewe Nyerere ni kila kitu, chochote alichokisema ni asilimia mia. Halafu hayo Nyerere aliyasema wapi?
Wasukuma wote tunaamini alikuwa ni msukuma hata particular zake amekuwa akiandika yy ni Msukuma siasa za kishenzi pelekeni kaskaziniMrundi anakuwaje kabila kubwa-alisha kosoa Membe
Wasuka wakija dukani kwako,omba mmoja anunue,wote watanunua hichohicho,rangi huyohuyo,na siku nyingine watakuja wengine kwako kununua kilekile,waarabu wanawajua vizuri,wakija wanawapa kwanza chai ya maziwa au coca,wanapga nao story kwa kisukuma,hapo watanunua vitu hata vya laki na zaidi,na watawaambia wenzaoAisee mpaka leo sijajua sababu ilikuwa nini.
Msukuma si mshenzi kama sliyeua watu na tabia za ukatili, choyo, wivu, kujipendelea kwao, ukabila wa kupindukia.Wasukuma wote tunaamini alikuwa ni msukuma hata particular zake amekuwa akiandika yy ni Msukuma siasa za kishenzi pelekeni kaskazini
Nyerere alikosea sana hapo.Kati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.
Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.
Logout.
π π π π wale jamaa haya wasome waende ulaya ushamba unabaki palepale.Wasuka wakija dukani kwako,omba mmoja anunue,wote watanunua hichohicho,rangi huyohuyo,na siku nyingine watakuja wengine kwako kununua kilekile,waarabu wanawajua vizuri,wakija wanawapa kwanza chai ya maziwa au coca,wanapga nao story kwa kisukuma,hapo watanunua vitu hata vya laki na zaidi,na watawaambia wenzao
Hata jiwe alipewa kwa uwezo factor iliyomwathiri ni ukabila.Nyerere alikosea sana hapo.
Watu wapewe madaraka kwa uwezo wao siyo makabila yao.
Hauishiπ π π π wale jamaa haya wasome waende ulaya ushamba unabaki palepale.
Ukabila gani? Nendeni Kenya mkajifunze ukabila. Hii nchi ikiwa ya kikabila kila siku Rais angetoka kanda ya ziwa kwenye idadi wengi ya watu. JPM kafariki usikii mtaani wasukumu au watu wa kanda ya ziwa wakiongolea ukabila wala ukanda ambavyo ni viashiri vya ukabila. Wengi wame move on.Hata jiwe alipewa kwa uwezo factor iliyomwathiri ni ukabila.
sema mmemuvu oni.Ukabila gani? Nendeni Kenya mkajifunze ukabila. Hii nchi ikiwa ya kikabila kila siku Rais angetoka kanda ya ziwa kwenye idadi wengi ya watu. JPM kafariki usikii mtaani wasukumu au watu wa kanda ya ziwa wakiongolea ukabila wala ukanda ambavyo ni viashiri vya ukabila. Wengi wame move on.
1.WasukumaSawa kaka kwani makabila makubwa ni yap ndo Maana nasema hii hoja ni mtambuka sana
Nasema ni upumbavu kumnyima mtanzania uongozi kwasababu ya kabila lake hata kama alisema Nyerere.se
sema mmemuvu oni.
Tabia za watu hujengwa na mila na desturi za jamii husika.Shida siyo kabila shida ni mtu ambaye alipewa