wachaga ni kabila kubwa? au ukubwa unauongelea ni kwa vigezo gani? wachaga hawana hata wilaya zaidi ya 3? hata wanyakyusa, wahehe na wangoni siyo wengi hivyo. labda useme makabila yenye ukabila. ukiniambia wasukuma ni wengi haina ubishi, hawa wamejaza mikoa kadhaa. sasa kabila halijajaza hata mkoa moja eti kabila kubwa? labda uzungumzie umaarufu ktk elimu, biashara na ukabila
hahahaAisee watu mnajua kusengenya bhana..😀
Basi wachaga urais watausikia kupitia redio mariaKweli aisee. Kipindi cha mwendazake ghafla Wa-push wote wakawa wanaccm. Unajua nilishangaa sana.
we si utaje hizo idadi ulizotoa NBS? wachaga siyo wengi kuliko hata wamaasai. Tatizo alilozungumzia Nyerere ni ukabila.Mkuu njoo na fact wachana na hizi porojo. Ukubwa wa kabila ni idadi yao na sio wako mikoa mingapi. Tafuta data za sensa toka NBS itatusaidia kujibu hili kwa usahihi zaidi.
Hivi kwa akili yao hawa unafikiria nchi hii Msukuma asiwe kwenye uongozi wakati amepiga shule vizuri na mchapakazi! Karibia robo ya watanzania wananasaba ya usukuma na unyamwezi unaweza kuwaepuka vipi?
Huwa yana ujinga wa asili.Usishangae.
Alipewa mtu wa hovyo ndiyo maana watu wanachukia
Na wakafanikiwa kumfanya mwendazake kuwa mungu wao.
Na mpaka sasa hawaamini kadedi, wanaamini yuko bize anawaongoza malaika
Umemfanya akaimbie jamviMkuu njoo na fact wachana na hizi porojo. Ukubwa wa kabila ni idadi yao na sio wako mikoa mingapi. Tafuta data za sensa toka NBS itatusaidia kujibu hili kwa usahihi zaidi.
Upo usingizini kama hujui ukubwa wa Wachagawe si utaje hizo idadi ulizotoa NBS? wachaga siyo wengi kuliko hata wamaasai. Tatizo alilozungumzia Nyerere ni ukabila.
Wasukuma hawafai kupewa nchi.Aliona na alikataza lini na wapi?
Miujiza ilitendekaKweli aisee. Kipindi cha mwendazake ghafla Wa-push wote wakawa wanaccm. Unajua nilishangaa sana.
Wala inakuwa haina hasara kama kabila hilo ni dhaifu katika uelewa (hawana shule) wasukuma hawana kitisho chochote maana wao na shule ni maji na mafuta hata walioenda shule wameshindwa kubadilika!!! Tena kabila dogo linaweza kuwa na impact kubwa endapo lina ellites wa kutosha,,,,Makabila makubwa yaliyomtisha Nyerere ni Wahaya na Wachaga alijua moto wao kama wangeshika nchi maana wamekamilika kila Idara.Wasukuma,wamasai nk ni dhaifu sana pamoja na wingi wao
Ni watu wa wapi hao mkuu ?Wamachame