Mwalimu Sekondari ya Mwilibona awapiga wanafunzi 2 na kuwavimbisha mikono sababu ya kuchelewa kufika shuleni

Mwalimu Sekondari ya Mwilibona awapiga wanafunzi 2 na kuwavimbisha mikono sababu ya kuchelewa kufika shuleni

Jinai ni nini?
Dini imeandikwa na watu kama mimi, the same applies to jinai imeandaliwa na watu kama mie.
Swala la walimu kuwa Failures ni mtazamo wako!
Kwani mwalimu ukifundisha na kuachana na kuadhibu watoto mshahara unapungua ama ni vipi?

Kuna mwalimu ni mshikaji wangu tangu aajiriwe hajui kumuadhibu mwanafunzi yeye anajali job descriptions yake na ni rafiki wa wanafunzi wengi anawazoa kwenye tuition haina kifani.

Siku zote ukiona mwalimu anapenda kutoa adhabu ujie kichwani ni empty hivyo anajificha kwenye ukali aogopwe ili kuficha ukilaz,a wake.
 
Kwani mwalimu ukifundisha na kuachana na kuadhibu watoto mshahara unapungua ama ni vipi?

Kuna mwalimu ni mshikaji wangu tangu aajiriwe hajui kumuadhibu mwanafunzi yeye anajali job descriptions yake na ni rafiki wa wanafunzi wengi anawazoa kwenye tuition haina kifani.

Siku zote ukiona mwalimu anapenda kutoa adhabu ujie kichwani ni empty hivyo anajificha kwenye ukali aogopwe ili kuficha ukilaz,a wake.
Nakubaliana na wewe.
 
Kwa mujibu wa maelezo mwalimu alitaka wanafunzi waje kusaini ofisini kwake kila siku saa moja na nusu, hii inaonesha kuwa hawa wanafunzi ni sugu kwenye utoro na uchelewaji,,,

hii ni kawaida kabisa kwa shule zenye kujielewa na zenye kufuatilia watoto kwa ukaribu.

Lengo la kufanya hili zoezi la baadhi ya wanafunzi kuja kusaini kwa mwalim ni kumfanya mtoto wako awe anatabia ya kuwahi shule na asiwe mtoro bila sababu, kwasababu kadiri wanavyo chelewa wanakosa masomo hasa vipindi vya asubuhi, na huenda ni vipindi vya asubuhi huwa ni basic mathematics au physics, wanavyo chelewa wanashusha ufaulu wa shule,

HUENDA shule hii ni private na tabia hizi za wanafunzi kama hawa wanashusha taaluma ya shule na wanavuruga image ya shule husika.

INAWEZEKANA

mwalim amefanya uchunguzi na kujiridhirisha kuwa sababu za utoro na uchelewaji ni UZEMBE WA MWANAFUNZI TENA KWA MAKUSUDI, na ukisema uwaache tu tabia hii itaota mizizi. ukiwafukuza utalaumiwa na hao hao wazazi tena utatangazwa kila kona ya dunia kuwa mwanangu kafukuzwa shule kwa kosa la kuchelewa, ukimwacha kila siku anakuja shule muda wa vipindi na jamii hii hii itasema shule haina uangalizi, wanachapwa fimbo mbili tatu ila kila siku wanarudia makosa hayo hayo tena kwa makusudi, ukifuatilia zaidi sababu za kuchelewa shule unaweza kuta ni kufuatlia movie na tamthilia hadi usiku wa manane,

MWANAFUNZI AKICHELEWA AKICHAPWA WALIMU WANALAUMIWA

WAKIACHWA ,WALIMU WATALAUMIWA SHULE HAIFATILII WANAFUNZI, SHULE HAIJIELEWI, WATOTO WANADHURURA MUDA WA MASOMO,,,,

MWALIMU AFANYAJE??????


lawama zote kwa walimu, walimu, walimu, walimu walimu

Shule za serikali wameluona hili wameamua kuwaacha watoto wenu wafanye watakavyo, walimu wanachukua mshahara saa 9 wanasepa kufuga kuku na wengine wanaenda shamba, nafikiri ya watoto wenu walio shule za serikali hali mnaiona sasa na tabia za watoto wenu,,huo ni mfano tu, subirini jamii ya kesho mtaiona tu,,,, mmewadharau walimu subiri watoto wenu wa kesho mtaona ushoga na usagaji na mauaji yatakavyo ongezeka kupitia utandawazi huu na hizi filamu, ukweli nikuwa watoto wenu muda mwingi hawapo na wazazi bali wapo na walimu ambao wamekatishwa tamaa na jamii

Shule za private sasa wameanza kubadili mfumo, sasa shule zimeanza kuajiri hadi watu wakufanya usafi shuleni,,, tunatengeneza kizazi cha broilers cha hapo mbeleni,,,

WALIMU WANALIPWA MSHAHARA LAKI 3 HADI 5 ,,, hii ndo hali ya walimu nchi hii.

Wanaweza wakakosea kwa msongo wa mawazo ila ndo wanaolea watoto wenu, warekebishwe na sio kupost mitandaoni, mnaharibu taswira ya ualimu,shule na kuwapa Vichwa wanafunzi,
Haitoi justification kuwapiga watoto na kuwaumiza kiasi hiko, kwani hakuna njia nyingine kama kuongea na wazazi?

Ametenda jinai.
Huwezi kumpiga mtoto kiasi hiko hadi sare za shule zinatapakaa damu kiasi hiko huo ni unyama.
 
Mwalimu Kisogi wa shule ya Sekondari Mwilibona awapiga wanafunzi wake 2 na kuvimba mikono na damu kumwagika kisa wamechelewa kufika shule.

Wanafunzi wao wamesema walikuwa wanakwenda kusaini ofisini kwake kwa sababu walikuwa wanakosa shule. Kwahiyo walitakiwa kila siku wasaini saa moja na nusu sasa leo wakiwa wamechelewa baada ya hapo mwalimu huyo akawashushia kipigo kizito wanafunzi hao.

Soma Pia: Mwalimu adaiwa kumpiga ngumi mwanafunzi na kumng'oa jino, eti Kisha kapata alama 29 za Hisabati
Ukiwasikiliza vizuri hawa watoto kuna mahali utajua mambo hayako sawa. Hawana nidhamu kabisa. Ningekuwa mzazi wao ningewaongeza viboko vingine
 
Acheni Mihemko.
Shule ina wanafunzi 800 watoto 2 wahuni wanarekebishwa tabia mnatoa povu. Maaaaaniiiina zenu kama hamtaki shule pelekeni watoto wenu Madrasssa acheni kusumbua walimu.
Damu zimetokea wapi kama siyo uhuni wa kipuuzi ili kuhalalisha uhuni wa hivyo vitoto Vitukutu.
 
Acheni Mihemko.
Shule ina wanafunzi 800 watoto 2 wahuni wanarekebishwa tabia mnatoa povu. Maaaaaniiiina zenu kama hamtaki shule pelekeni watoto wenu Madrasssa acheni kusumbua walimu.
Damu zimetokea wapi kama siyo uhuni wa kipuuzi ili kuhalalisha uhuni wa hivyo vitoto Vitukutu.
😀😁😂😂😃😃😃 Uko sahihi mkuu
 
Kuna shule za Seminari nazo ni mwendo wa vipigo na mateso kwa wanafunzi kwa vigezo vya kusaka div one pekee.


Makanisa yanafunika uovu na unyama unaotendwa dhidi ya wanafunzi

CC: Dkt. Gwajima D
Kwanza from the beginning huwezi kwenda seminary kama ni kilaza na uwezi kuitimu kama ni kilaza.Seminary wako tayali kufuta darasa zima kama ata nidhamu za wanafunzi ni mbovu.
 
Mwalimu wetu kijana baada ya kubabaishwa na wanafunzi wenye vifua,na masister do,alikuja siku moja akatoa TAMKO class kwamba.

Nyie madogo,kila mtu anajua kaja kufata nini hapa shule,sijui umeletwa usome au uje ukue mimi hainihusu,ninachotaka kusema ni hiviii,kama hujisikii kuingia somo langu au nakukera nikija kufundisha,nikiwa naingia tupatane mlangoni ukitoka.nikimaliza rudi uendelee na usela wako humu darasani.

Sikumbuki kama kuna mwanafunzi aliwahi kutoka😁😁,ni jambo gumu sana kulea vijana walio kipindi cha balehe.
 
Back
Top Bottom