Mwambieni CAG, sisi tumeridhika kwa kuwa tumezoea kuibiwa

Mkakati wao wa kumchafua JPM tutaupinga kwa gharama yoyote! Umma upo na chuma [emoji109]
 
Mafisadi wanamchafua JPM! Chuma alipanda mbegu na sasa hatutokubali uhuni ....mnataka kuharibu taswira yake overnight? Hao aliowaamini ambao wameingia woga wa ajabu dhamira zitawasuta daima ...sie wengine tutasimamia maono yake ....
 
Kuna kapoint fulani!
Sawa CAG report imetoka
Ni hatua gani itachukuliwa

Ova
Lengo ni kumchafua JPM tu na sababu ni marehemu wanajua hakuna wa kumtetea! Mmesahau walianza kumchafua hadi Nyerere? Same stupid people wanaoungwa mkono na wanasiasa uchwara ...
 
Kaka ume Sikitisha saana na kuni kumbusha mbaaali sana....!

CAG anajifanya hakuwepo watu walipo sema milion.10 HELA YA MBOGA....?

wakabeba hadi kwenye mmaguni...
 
SISI
Wewe na Nani?

#YNWA
 
Mbona maneno yamekuwa mengi....au kutaka kujua issue iliishaje ni kitu kibaya!
 
Imeridhika usitisemee, eti maendeleo ya Magufuli unayaona, ok ndege unaziona, zimekupa faida gani ? Wakati toka ununuzi wake ni hasara kwa mwaka billion 60, mwaka jana wanafunzi 7,000 wamekosa madarasa mbali walio kosa mkopo wa elimu ya juu, we pumbavu sana.

Unaona maendeleo ya juu tu Yaani Yale madaraja ya Dar es salaam tu ? Jee hizo barabara alijenga nani?

Yaani wizi ulio fanyika miaka hii 5 hata EPA ipo nyuma, kila kona ni wizi na mmetia nchi kwenye madeni kutoka asilimia 8 to 35 .

Hawa wanao sifa wizi ndio wizi wenyewe, na mpaka sasa takukuru hawajachukua hatua.

Nchi ya ajabu hii au ndio mpaka Rais Aseme?
 
Kufa na wewe umfuate basi. Naona unatamani kwenda kumsalimia na kumwambia kuwa "wenzako wanakutukana".
Mmebaki na maneno ya hovyohovyo tu kamahivi.
Naona unatamani kujinyonga ukisikia miradi kama stigle PM akisema lazima ikamilike kwa wakati, na ndio maana ya zege hailali kama hamjui.
Fanyeni kazi mtakufa njaa nchi inaendelea kwa kupiga kazi sio majungumjungu na wivu wa kipuuzi shawishi jiranizako walipekodi kwa wakati tujengenchi.
 
Acheni kulialia hatakama amekopa kwani shidaikowapi, ilimradi tunaona matokeo ya izohela it's just fine, Ok?.

We lipakodi deni lilipwe na ndio tafsiri ya kujenga nche wewe mwenyewe kwa pesa zako.
Nyie watu nani amewashikia akili?.

Swala la kumuunga mkono Rais wetu Mh, Samia Suluhu hiyo inaeleweka na wote tunaungana kwa hilo.
 
Hizi ni story za vijiweni mkuu zenye nia ovu ya kumpaka Magu matope.Lakini mwenye macho haambiwi tazama.Ingekuwa busar na hekima mngetuambia miaka 30 ya Mwinyi,Mkapa na Kikwete hela yetu ilikwenda wapi,maana kwa Magufuli tuliona wazi aliyokuwa anafanya.
 
Mimi ni mtanzania na nina haki ya kutoa mawazo yangu.Nimeridhika na wizi wa Magufuli,kwa kuwa hata kama kaiba,ila nimeona alichofanya,tena kikubwa.Wengine walishibisha matumbo yao,familia zao na kugawa bure mali za Watanzania kwa mabeberu.

Mawazo yako au umecopy na Kupaste..watu wawili mnafanana maandiko.. Majinga kabisa nyie Masukuma.
 
Mawazo yako au umecopy na Kupaste..watu wawili mnafanana maandiko.. Majinga kabisa nyie Masukuma.
Wala mimi sio Msukuma.Na wala ku-copy na ku-paste sio issue,issue ni message.Na swala la usukuma linatoka wapi?Kama kila jambo jema ni la Kisukuma,basi nakubali kuwa Msukuma.
 
Wala mimi sio Msukuma.Na wala ku-copy na ku-paste sio issue,issue ni message.Na swala la usukuma linatoka wapi?Kama kila jambo jema ni la Kisukuma,basi nakubali kuwa Msukuma.
Toa mawazo yako na kile unachokiamini.. Kucopy na Kupaste ni kuonesha udhaifu wako wa kufikiri
 
Toa mawazo yako na kile unachokiamini.. Kucopy na Kupaste ni kuonesha udhaifu wako wa kufikiri
Kwani wewe elimu uliyo nayo ni original,si copied and pasted,acha mtizamo finyu wewe. Na una uhakika gani kwamba nime-copy.Lete na wewe bandiko lako,angalau hata copied and pasted.

Nirudie ku-copy na ku-paste sio issue,issue ni message.Hii sio journal paper,nia ni ku-inform,acha uzuzu.
 
Pumbavu wewe.

Sema umeridhika wewe na mume wako,sisi wenye akili hatuwezi ridhika na upuuzi kama huo.
[emoji23][emoji23][emoji23]kinacho furahisha ni kwamba wakija wenye kusapport wanasema wenye akili wanajua Nini kafanya mwendazake mkija na nyinyi mnasema nyinyi wenye akili hamwezi kukubaliana na aliyofanya [emoji23][emoji23][emoji23]dunia tamu hii Perception ina nguvu Sana
 
Lakini kazi ya mabeberu si unaijua,na hiyo si ndio kazi yao,na wewe ni kifaa chao.Boss wako Lissu si naye unajua ni mtetezi wa mashoga,sasa unaweza kuwa mtetezi na wewe bila kujua hivyo fani.
Boss wangu mama Samia mbwa wewe
 
Kazi ya CAG si kutafuta mazuri yaliyofanywa na serikali,
Ona huyu naye sijui katoka wapi. Kazi yake ni kutoa opinion so yote mabaya na mazuri anatakiwa kuyasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…