Mwamposa ajenga hotel ya kisasa jijini Mbeya

Halafu mjinga mmoja anauliza eti waafrika tumerogwa na nani?

Yaani mtu hajui kwanini ana umasikini wa kutupwa hata 1m hana
 
Hiyo jamii utapata huduma bure?
 
Hio hotel akitaka ijae aweke upako KILA mahali kuanzia chakula, kulala , swimming pool, viti, itajaa mwaka mzima na kupata booking itakusubiri miaka 5 ijayo ndo kupata nafasi.
KILA mtu lazima akalale hapo.
Kisa umasikini na ujinga!
 
sadaka ya kujimaliza,tutafute hela jamani angalia sasa kizazi chake kitaendelea kula matunda ya kazi yake,wanaotoa ya kujimaliza endeleeni kujimaliza
 
Alipaswa ajenge shule na hospitali. Alafu kufungua ka-hoteli ako tu wamekuja wakuu wote wa Mbeya?!
 
Angewekeza Mbinguni ambako hakuna wezi wala kutu.

Kaburini unaenda na Sanda tu.

Ni heri Ngamia apenye katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuuona ufalme wa Mungu.
 
Jesus
 
Kweli wajinga ndiyo waliwao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…