Apostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea
Nawatakia maandalizi mema ya SabatoIla kwa anavyopigia debe sadaka nashindwas
Ila kwa anavyopigia debe sadaka, anafanya nishindwe kumuamini😆Apostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea...
So kweli umesoma, hujaelewa
Nimesoma uzi wote na napenda kukuthibitishia kwamba dhumuni kuu la uzi huu ni kumtukuza mtu na sio MUNGU.
Nimeona vijana wake wakishuka nyuki kuhoji utimamu wangu, nawathibitishia kwamba nina akili kuliko vile wanavyoweza kufikiri.
Kama wewe ni Mkristo unayeamini kuwa MUNGU yupo na hujaona shida kuanzia katika kichwa cha uzi basi acha kumuabudu MUNGU na ufanye mambo mengine.
Soma kichwa cha uzi na uniambie kuna tofauti gani na zile sms za "Ninae babu yangu ni mganga wa Sumbawanga na ana nguvu hakuna linalomshinda"
Wapumbavu tu ndo wanaenda si aende hospital wako serious ....Nilijua huna akili tu kufuata maigizo danganya wajinga wenzio wa huko kwenuKaribu jpl hii ukanyage mafuta na upate uponyaji....kupinga kazi ya Mungu ni moja ya dalili ya mapepo njoo utolewe mapepo katika Jina la Yesu..ufungamanishwe na madhabahu ya mwamposa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nina jamaa asikii vizuri alienda huko kwa mwamposa pesa kapigwa hajapona mpaka kesho🤣🤣🤣Kwanini Mkuu? Mshikaji wangu alipata matatizo tukampeleka kwa shekhe pale buguruni akasomewa dua na akapona kabisa maradhi yaliyompata, kwanini iliwezekana
Aliambiwa atoe pesa atibiwe Mkuu?Nina jamaa asikii vizuri alienda huko kwa mwamposa pesa kapigwa hajapona mpaka kesho🤣🤣🤣
HUYO HAKUA NA IMANI KWA MUNGU ALIENDA KUMUAMINI MWAMPOSANina jamaa asikii vizuri alienda huko kwa mwamposa pesa kapigwa hajapona mpaka kesho🤣🤣🤣
No yule Ni mfuazi mzuri Sana wa mwamposa hata akipataga watot anakuja kwa mwamposa kushukuruSometimes Mungu aweza kukuponya kwa kukuonea huruma unavyosumbuka na makanisa.
Ref, mkuu wa mkoa aliyepigwa chini akakumbukwa majuzi, alikuwa anaimba kwaya huko huko kwa Mwamposa
Kanunua mafuta mzee na aliombea sana hasikii ilikuwa ghafla tu tatizo lilimpata mwaka wa 3 sasaAliambiwa atoe pesa atibiwe Mkuu?
Inawezekana na hawa viwete si angewabeba woteHUYO HAKUA NA IMANI KWA MUNGU ALIENDA KUMUAMINI MWAMPOSA
Hapo kwenye sadaka sasa, naweza kusema jamaa anazo nguvu kweli alizo zitafuta kwa kusali saaana, sasa anachokifanya ni kupiga hela kutokana na imani yakeIla kwa anavyopigia debe sadaka, anafanya nishindwe kumuamini😆
Pole sana mwambia aombe saana asisahau kuamka na usiku wa saa 8 kusaliKanunua mafuta mzee na aliombea sana hasikii ilikuwa ghafla tu tatizo lilimpata mwaka wa 3 sasa
😆 Shida kaweka sadaka nyingi, Nadhani wachungaji wengi kama sio pesa za sadaka wasingekua wachungajiHapo kwenye sadaka sasa, naweza kusema jamaa anazo nguvu kweli alizo zitafuta kwa kusali saaana, sasa anachokifanya ni kupiga hela kutokana na imani yake
Siyo hvyo Babu imani haijaribiwi hvyo hata ktk bibilia hkn sehem tumeona mitume imekwrnda hospital kwenda kuwsponja watuKamata mwamposa peleka muhimbi akiweza ondoa wagonjwa wote ICU basi ibada zake ni za kweli na Mungu wake anatenda
Tena fanya upesi sanaKwa hiyo unataka utuaminishe tukaabudu kwa mwamposa ?
maji ya Canadian ameshaacha ,sasa hivi ana kampuni yake ya maji inaitwa Arise and Shine water ,anauza maji yake mwenyewe.Kwa7babu nyinyi ni "WASHIRIKINA" "USHENZI WENU" umechupa mipaka mnacho kifanya hapa kawe Kila j.pili ni kufanya biashara zenu. MAFUTA na MAJI YA CANADIAN.
Ni mtu wa dini sana mno yaani kwa ninavyomjuaPole sana mwambia aombe saana asisahau kuamka na usiku wa saa 8 kusali
Bwana parakatumba mm binafs naendaga Sana kwa buldozer na Wala sijawai kujutia kwenda ingawa mm Ni mkkkt senior kbsaMkuu mimi hata kwa mwamposa sijawahi kufika, na hata wewe hakuna haja ya kwenda kwa buldoza kua na imani mambo yako yataenda