Mwana FA atakuwa Naibu Waziri mbovu kuwahi kutokea Tanzania. Hatatoa msaada kwa wasanii zaidi ya kuwagawa

Mwana FA atakuwa Naibu Waziri mbovu kuwahi kutokea Tanzania. Hatatoa msaada kwa wasanii zaidi ya kuwagawa

Nikikumbuka alivoshirikiana na Ruge kumharibia JIDE nakosa imani nae kabisa.Kaandaa show kwa makusudi the same day na jide,ila Jide alipambana fresh.

Pia kipindi kile anamgeuka GK ,hadi gk akaonekama chizi tu na ndo aliyemleta mjini
 
Huyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.

Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaaribia wenzake asowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.

Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.

Mwana FA kuwa waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Niki wa Pili au Joketi wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho alafu wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
Kwanza una chuki
Pili umefeli Kwa kulinganisha KM dr Abbasi na naibu waziri FA kwenye majukumu yao
Tatu unalalamika anaringa - hata ningekua mimi Kwa wivu na husda ulizonazo lazima ningekupiga kando

Dogo ana akili, busara na kipawa cha kutambua nani hamfai kwenye safari yake ya maisha
 
Huyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.
he mumeanza kumpiga majungu hata hajaanza kazi. Watz mumezidi tena.

Kwani aliwahi kupewa post kubwa mukamuona ana roho mbaya hivyo?
 
Acha kuongea watu usiowajua kwa maneno ya Instagram Babu Tale hajaishia darasa la saba.

Huyo Mwana FA ndio kasoma masters Coventry ila siku akikuonyesha cheti chake cha masters nakupa million 5 on the spot
Babu tale form 4 aliishia sema hakumaliza form 4 yenyewe

Ova
 
Hiyo milioni 5 kama unayo wewe chawa si ukasaidie familia yako? Wewe ni mkaguzi wa vyeti vya watu? MwanaFA kasoma Tanga Tech.. unajua ufaulu wa darasa la saba hadi uweze kuingia Tanga Tech? WCB mna vipaji vya muziki na uchawa ila kwenye ishu yoyote inayohusiana na elimu tafadhali sana kaeni kimya.
Wasanii wako chuo cha sanaa bagamoyo huko
Nashanga nchi hii wanaotaka kuonekana,kusikilizwa ni bongo fleva bongo movie tu

Ova
 
Kazi za kupeana hizi usitegemee ufanisi. Rais wa Tanzania kwenye Katiba lazima adhibitiwe mamlaka ya kuteua. Katiba ya leo inatupatia Rais ambaye ni zaidi ya Mfalme hata wa Uingeleza.
 
Huyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.

Kwa tunaomjua Mwana FA hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.

Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.

Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaharibia wenzake asiowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.

Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.

Mwana FA kuwa Waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Nikki wa Pili au Jokate wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho na wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
Kwani wasanii wenyewe wanasaidiwaje na wizara zaidi ya kuwa wapiga zumari tu wakati wa kampeni?
 
ni Naibu Waziri , halafu mbona unajifanya much know sana kuliko hata Rais na Washauri wake?
Ukiwa Rais ndio unakuwa unajua kila kitu, au washauri wako ndio wanajua kila kitu!? Huu ujinga unaoendelea, ni maamuzi ya Rais au ushauri wa washauri wake!?
 
FA mtu wa majungu sana chanzo cha East Coast kuvujika ni huyu dogo, ni mjivuni sana kuna kipindi Sugu alimu blast live , enzi zile JK ametoa msaada wa studio kwa wasanii Ruge aka hijack deal haka kajamaa kalitumika kuwasaliti wenzake, hata show ya Lady JD kalitumika ila Mungu ni fundi show yake ilibuma
 
Jinsi alivyo muaribia stivu ake ugali wake kmmk nilimchukia had kumtumia msg dm kuwa unachomfanyia stivu ake syo sawa muache ale maisha ,mbona wee ubunge wako ulimpokonya umemuibia adad rajabu aliyeongoza kwenye kura za maoni na wee umepata kura chache umepita umekuwa mmbuge lkn Leo unamsibia stivu ake fursa ya yey kuwa tetea wasanii hata kwamuda tu [emoji41]

Nimemchukia mno kwa unafiki ule na ujuaji

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
We nawe lofa kweli..
 
Acha kuongea watu usiowajua kwa maneno ya Instagram Babu Tale hajaishia darasa la saba.

Huyo Mwana FA ndio kasoma masters Coventry ila siku akikuonyesha cheti chake cha masters nakupa million 5 on the spot
Kabla hatujakuekea cheti chake ebu tuonyeshe bank statement yako yenye million 5, alafu na mods wawe hapa usipotuma 5m ulimwe ban ya maisha!
 
Hiyo milioni 5 kama unayo wewe chawa si ukasaidie familia yako? Wewe ni mkaguzi wa vyeti vya watu? MwanaFA kasoma Tanga Tech.. unajua ufaulu wa darasa la saba hadi uweze kuingia Tanga Tech? WCB mna vipaji vya muziki na uchawa ila kwenye ishu yoyote inayohusiana na elimu tafadhali sana kaeni kimya.
WCB ni muunganiko wa failures. Hakuna aliyefanya mtihani wa form four ukimtoa Zuchu. Kwakifupi Zuchu ndiye msomi zaidi pale WCB
 
FA mtu wa majungu sana chanzo cha East Coast kuvujika ni huyu dogo, ni mjivuni sana kuna kipindi Sugu alimu blast live , enzi zile JK ametoa msaada wa studio kwa wasanii Ruge aka hijack deal haka kajamaa kalitumika kuwasaliti wenzake, hata show ya Lady JD kalitumika ila Mungu ni fundi show yake ilibuma
Ila Mungu fundi zaidi yeye sasahivi ni Naibu Waziri alafu hao wengine wako kama walivyo
 
Back
Top Bottom