Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIla mtanzania ana roho mbaya .tumetofautiana hulka tu za roho zetu , ndio maana kuna watu wanakereka sana kuteuliwa kwa mwana FaMwana FA ndio msanii anaeongoza kwa roho mbaya hapa Tanzania akifatiwa na Chege Chigunda.
Kwanza una chukiHuyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.
Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaaribia wenzake asowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.
Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.
Mwana FA kuwa waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Niki wa Pili au Joketi wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho alafu wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
he mumeanza kumpiga majungu hata hajaanza kazi. Watz mumezidi tena.Huyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.
Babu tale form 4 aliishia sema hakumaliza form 4 yenyeweAcha kuongea watu usiowajua kwa maneno ya Instagram Babu Tale hajaishia darasa la saba.
Huyo Mwana FA ndio kasoma masters Coventry ila siku akikuonyesha cheti chake cha masters nakupa million 5 on the spot
Wasanii wako chuo cha sanaa bagamoyo hukoHiyo milioni 5 kama unayo wewe chawa si ukasaidie familia yako? Wewe ni mkaguzi wa vyeti vya watu? MwanaFA kasoma Tanga Tech.. unajua ufaulu wa darasa la saba hadi uweze kuingia Tanga Tech? WCB mna vipaji vya muziki na uchawa ila kwenye ishu yoyote inayohusiana na elimu tafadhali sana kaeni kimya.
Kwani wasanii wenyewe wanasaidiwaje na wizara zaidi ya kuwa wapiga zumari tu wakati wa kampeni?Huyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjua Mwana FA hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.
Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaharibia wenzake asiowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.
Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.
Mwana FA kuwa Waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Nikki wa Pili au Jokate wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho na wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
Dr. Hamisi Taletale😂.Ulitaka ateuliwe babu tale!
Huyu dada keshagombana na watu wengi sanaLady Jay Dee sijui atamuambia Nini sasa hivi Mheshimiwa.
Muacha akale na familia yake maana hata hao wengine hawajafanya kitu chochote kileMimi nasema hakuna jipya atakalofanya na wewe unakubaliana na mimi kuwa hana jipya atafanya. Then unaniona mimi mchawi
WalishaelewanagaLady Jay Dee sijui atamuambia Nini sasa hivi Mheshimiwa.
Ukiwa Rais ndio unakuwa unajua kila kitu, au washauri wako ndio wanajua kila kitu!? Huu ujinga unaoendelea, ni maamuzi ya Rais au ushauri wa washauri wake!?ni Naibu Waziri , halafu mbona unajifanya much know sana kuliko hata Rais na Washauri wake?
We nawe lofa kweli..Jinsi alivyo muaribia stivu ake ugali wake kmmk nilimchukia had kumtumia msg dm kuwa unachomfanyia stivu ake syo sawa muache ale maisha ,mbona wee ubunge wako ulimpokonya umemuibia adad rajabu aliyeongoza kwenye kura za maoni na wee umepata kura chache umepita umekuwa mmbuge lkn Leo unamsibia stivu ake fursa ya yey kuwa tetea wasanii hata kwamuda tu [emoji41]
Nimemchukia mno kwa unafiki ule na ujuaji
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kabla hatujakuekea cheti chake ebu tuonyeshe bank statement yako yenye million 5, alafu na mods wawe hapa usipotuma 5m ulimwe ban ya maisha!Acha kuongea watu usiowajua kwa maneno ya Instagram Babu Tale hajaishia darasa la saba.
Huyo Mwana FA ndio kasoma masters Coventry ila siku akikuonyesha cheti chake cha masters nakupa million 5 on the spot
WCB ni muunganiko wa failures. Hakuna aliyefanya mtihani wa form four ukimtoa Zuchu. Kwakifupi Zuchu ndiye msomi zaidi pale WCBHiyo milioni 5 kama unayo wewe chawa si ukasaidie familia yako? Wewe ni mkaguzi wa vyeti vya watu? MwanaFA kasoma Tanga Tech.. unajua ufaulu wa darasa la saba hadi uweze kuingia Tanga Tech? WCB mna vipaji vya muziki na uchawa ila kwenye ishu yoyote inayohusiana na elimu tafadhali sana kaeni kimya.
Ila Mungu fundi zaidi yeye sasahivi ni Naibu Waziri alafu hao wengine wako kama walivyoFA mtu wa majungu sana chanzo cha East Coast kuvujika ni huyu dogo, ni mjivuni sana kuna kipindi Sugu alimu blast live , enzi zile JK ametoa msaada wa studio kwa wasanii Ruge aka hijack deal haka kajamaa kalitumika kuwasaliti wenzake, hata show ya Lady JD kalitumika ila Mungu ni fundi show yake ilibuma