Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Nlichogundua wasanii ni waongo sana nakumbuka zamani kwenye interview zake Ali kua anasema yeye ni form six olevel ana A ya kuswahili na Alevel ana A ya Kiswahili Ndo mana tungo zake ni konk kiasi hicho [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ingawaje sina hakika kama chuo kilichompa masters ni chuo halisi au ni kati ya vyuo vyenye kugawa masters na Ph.D. kama njugu, napena kusema kuwa inawezekana kupata master degree bila kuwa na bachelors degree. Napenda ikumbukwe kuwa advanced diploma zilizokuwa zinatolewa na vyuo kama Mzumbe, IFM, Ustawi na vinginevyo, diploma zake zilikuwa zinatambulika kulinana na bachelors degree katika vyuo vya USA, Australia, Uingereza, n.k. Wanafunzi wangu wengi waliyopata advanced diploma walienda USA, UK., na kwingneko na kupata masters na Ph.D. hata kabla yangu. Kwa hiyo mheshimiwa siyo wa kwanza kupata masters bila bachelors degree.

Je ulikua ukitoka certificate unakwenda moja kwa moja Advance diploma na sio Ordinary diploma kwanza ?
 
"Masters ni digrii"[emoji116][emoji116]
Inawezekana kupata digrii ya Masters bila digrii ya bachelor kwa;
1. Kuingia moja kwa moja katika programu ya Masters ukiwa na uzoefu wa kazi na sifa za kitaaluma.
2. Vyuo vingine huchanganya digrii za bachelor na masters katika programu moja.
Wachana na blablabla, kama kasoma IFM au IDM au IAA ni bora kuliko Havard. It is more than enough.

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Kawaida huwa hakuna diploma ya miaka mitatu; diploma huwa ni miaka miwili tu. Hicho kilichoandikwa hapo juu kama diploma si diploma plane bali ni Advanced Diploma; na hiyo ndiyo ilipelekea asome Masters degree kwa sababu kawaida Advanced Diploma huwa ni equivaent na First Degree.

Ni msomi mzuri nimempenda na ninampongeza sana kwa kuweza ku-diversify kwa namna hii kwenye qualificatons zake. Hakika mamlaka za uteuzi zilimuona kwa jicho lililo sahihi kabisa
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Sjui atakua anasomaje ripori na kuzielewa
 
Hivi kiwango cha elimu ili mtu awe waziri ni kipi?
Waziri ni mtumishi kama walivyo watumishi wengine wa serikali ikiwa tu mtendaji wa mtaa ni lazima awe na angalao kuanzia diploma je waziri inatakiwa awe na elimu ya kiwango gani? maana waziri ni mshauri wa Rais moja kwa moja
 
Huyu pamoja na Ay na wasanii kadhaa nadhani ikiwemo ali kiba sijui walisoma chuo fulani cha IT kikijulikana kama Learn IT kiko pale lumumba kabla ya crdb ghorofani 3nzi hizo kikitoa ICDL za mambo ya IT kutoka UK nadhani walsoma kitu inatwa Internationl Diploma na kuna baadhi ya watu waliowahi waliisajili TCU ikawa inasound kama degree.

Kilikuwa na branch Oysterbay hotel area pia watoto wengi wa kipemba na kiarabu wamesoma chuo hichi.

Hichi chuo walisoma wasanii wengi sana wenhine hawakumaliza. Wakati ithibati bado inayumba ya kuthaminisha mitaala.
 
Huyu pamoja na Ay na wasanii kadhaa nadhani ikiwemo ali kiba sijui walisoma chuo fulani cha IT kikijulikana kama Learn IT kiko pale lumumba kabla ya crdb ghorofani 3nzi hizo kikitoa ICDL za mambo ya IT kutoka UK nadhani walsoma kitu inatwa Internationl Diploma na kuna baadhi ya watu waliowahi waliisajili TCU ikawa inasound kama degree.

Kilikuwa na branch Oysterbay hotel area pia watoto wengi wa kipemba na kiarabu wamesoma chuo hichi.

Hichi chuo walisoma wasanii wengi sana wenhine hawakumaliza. Wakati ithibati bado inayumba ya kuthaminisha mitaala.
Madini kama haya ndio tunayataka Mkuu. Nimekuelewa kwa kiasi fulani
 
Huyu pamoja na Ay na wasanii kadhaa nadhani ikiwemo ali kiba sijui walisoma chuo fulani cha IT kikijulikana kama Learn IT kiko pale lumumba kabla ya crdb ghorofani 3nzi hizo kikitoa ICDL za mambo ya IT kutoka UK nadhani walsoma kitu inatwa Internationl Diploma na kuna baadhi ya watu waliowahi waliisajili TCU ikawa inasound kama degree.

Kilikuwa na branch Oysterbay hotel area pia watoto wengi wa kipemba na kiarabu wamesoma chuo hichi.

Hichi chuo walisoma wasanii wengi sana wenhine hawakumaliza. Wakati ithibati bado inayumba ya kuthaminisha mitaala.
MwanaFA=Mediocre
 
Sifa ya waziri inatokana na sifa ya ubunge, kujua kusoma na kuandika! Na huko wanafanya kazi za kusoma na kuandika tu
 
Waziri ni mtumishi kama walivyo watumishi wengine wa serikali ikiwa tu mtendaji wa mtaa ni lazima awe na angalao kuanzia diploma je waziri inatakiwa awe na elimu ya kiwango gani? maana waziri ni mshauri wa Rais moja kwa moja
Huwezi kua Waziri bila ya kua Mbunge! Hayo mengine yote mbwembwe tu!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom