TANZIA Mwana JamiiForums Charity Kasubi afariki dunia

Kafariki kutokana na ajali ya barabarani.
 
..pole kwa familia,ndugu, jamaa, na marafiki.

..MUNGU amlaze mahala pema peponi.
 
Mzee si ungeandika tu kiswahili, mambo ya vingereza yaache maana wanasheria wenyewe wamekikimbia kingereza uje kua wewe unlearned buraza
Grammatically, what is wrong with that sentence? Elimu haina mwisho
 
Mungu amweke mahali pema.Pole kwa ndugu kumpoteza mpendwa wao.
 
Mbota tbc wameonyesha caption ya picha yaka tangu juzi, una uhakika amefariki leo?
Ndio maana wengine tulikuwa hatujui,TBC na wengi ni mafuta na maji.hongera kwa kuichagua TBC inabidi uhamie na TTCL
 
Charity amekufa kwa ajali ya gari. [emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…