nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Wabongo bhana..Ndiye alipewa sumu kumlisha marehemu, alilipwa 25m advance payment 25m baada ya kuthibisha kifo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo bhana..Ndiye alipewa sumu kumlisha marehemu, alilipwa 25m advance payment 25m baada ya kuthibisha kifo.
😥😥, Duh Hatari SanaChukua chako mapema wamemchukua
Wabongo bhana..Ndiye alipewa sumu kumlisha marehemu, alilipwa 25m advance payment 25m baada ya kuthibisha kifo.
Wamefanyaje tena?Wabongo bhana..
Huyo Ole Mushi alikuwa threat kwenye nini mpaka pesa zote hizo zitumike na kiwekewa simu?Ndiye alipewa sumu kumlisha marehemu, alilipwa 25m advance payment 25m baada ya kuthibisha kifo.
Chachawangwe🐼wamemKolimba
AmiinSiku za mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni fupi sana, Bwana utupe hekima kuzihesabu siku zetu. Lakini lipo tumaini ng'ambo ya kaburi wale wafu waliokufa ktk Bwana watafufuliwa
Pole sana kwa ndugu, jamaa na marafiki
Rest in peace corps, nilikuwa naye mafunzoni nje alikuwa askar shupavu akihudumu kama MwalimuRIP Thadei Ole Mushi.
Thadei alikuwa mwalimu na mchambuzi mahiri wa siasa pia mwananchama wa CCM.
Alikuwa ni mwandishi mzuri hasa kupitia ukurasa wake wa Facebook.
Thadei pia Alikuwa mmoja wa memba wa Jamiiforum.Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo.
Watu maarufu mbalimbali wameanza kutoa pole kwa familia akiwemo mkuu wa mkoa wa Njombe mh.Antony Mtaka.
Taarifa zaidi zitafuata.
View attachment 2893951
Unawezakuta na wewe umeshiriki!!!Rest in peace corps, nilikuwa naye mafunzoni nje alikuwa askar shupavu akihudumu kama Mwalimu
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app