Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh ngoja nisiseme zaidiKumwekea sumu mwamba
Ni hatari vijana wadogo tunakwishaaa.Mbona siku hizi watu wanafariki wadogo sana!
Ndani ya miezi miwili hii, nimeshakutana na taarifa za vifo si pungufu ya 10 kwa watu ambao ni 45 kurudi chini...
Umenifanya nimemkumbuka ndugu Sambala Ole Comred, sijui atakuwa yupo wapi kwa sasa.Poleni wafiwa, tulipamban sana kwa hoja enzi za TANURU LA FIKRA facebook,
Dah, may his soul rest in eternal peace 🙏Kuna uzi wa tanzia...
Mwanzoni uliw3kwa, moda wakaufuta, ila sasa upo mwingine hewani...
Huyu ni kichaa Waheed. Muacheni Tu atanijua vizuriHasira za nini kifo hata wewe utakufa tu hata uwe chawa wa 5 star
Huyo ndiye muuaji mwenyeweHizi simblisi Ambazo hata hazijatahiriwa huwa sijibishani nazo, Mimi sio level yako kabisa!!
Anaweweseka kwa uovu alioutendaHuyo ndiye muuaji mwenyewe
Wewe uliekeketwa kwenu huko mara basi unajiona una akili sanaHizi simblisi Ambazo hata hazijatahiriwa huwa sijibishani nazo, Mimi sio level yako kabisa!!