mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
mganga wa ccm sio tapeli.Niambie ni mwana siasa Yupi zaidi ya Rais Samia mwenye uwezo wa kuvuta watu kiasi hicho? Ni nani huyo? Mtaje hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mganga wa ccm sio tapeli.Niambie ni mwana siasa Yupi zaidi ya Rais Samia mwenye uwezo wa kuvuta watu kiasi hicho? Ni nani huyo? Mtaje hapa.
CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.ndio bima ya watanzania kwa kila tatizo kero.ndio maana inaaminika sana kwa watanzaniamganga wa ccm sio tapeli.
Pia inaiba kura.CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.ndio bima ya watanzania kwa kila tatizo kero.ndio maana inaaminika sana kwa watanzania
Kwan we unaishi nchi gani, watu wanazuiliwa ata kufanya vikao vya ndani vya chama kwa kigezo cha usalama.Kwani ni nani kazuiliwa kufanya mikutano ya hadhara ndugu yangu?
Mbona unaweweseka kiasi hicho? Naona sasa mmeanza kutetemeka na mafuriko ya watu wanaomiminika kwa wingi kama mchanga wa baharini kumlaki Rais wetu MpendwaMwambie aende bila wasanii
Acha uongo wako hapa.kwani huwaoni Namna Act Wazalendo wanavyozunguka Nchi nzima wakifanya mikutano ya hadhara? CHADEMA wanashindwa kufanya maana ndani ya chama hakuna umoja wala maelewano wala pesa za kufanyia mikutano.Kwan we unaishi nchi gani, watu wanazuiliwa ata kufanya vikao vya ndani vya chama kwa kigezo cha usalama.
CCM hupita na kushinda Uchaguzi kihalali na kwa haki kabisa. Ndio maana wananchi huyapokea matokeo kwa mikono miwili kabisaPia inaiba kura.
Sasa hayo matumaini ni yapi.wakati hamuwezi kuingia madarakani bila wizi
Sasa hao ACT unawazungumzia apa mkutano wao wa hadhara wa tarehe 21 kyela mjini ulizuiliwa kwa kigezo cha usalamaAcha uongo wako hapa.kwani huwaoni Namna Act Wazalendo wanavyozunguka Nchi nzima wakifanya mikutano ya hadhara? CHADEMA wanashindwa kufanya maana ndani ya chama hakuna umoja wala maelewano wala pesa za kufanyia mikutano.
Walifanya maeneo mengi mengi sana ndani ya mkoa wa Mbeya,Songwe na kwinginekoSasa hao ACT unawazungumzia apa mkutano wao wa hadhara wa tarehe 21 kyela mjini ulizuiliwa kwa kigezo cha usalama
Una uhakika?CCM hupita na kushinda Uchaguzi kihalali na kwa haki kabisa. Ndio maana wananchi huyapokea matokeo kwa mikono miwili kabisa
Ndugu zangu Watanzania,
Huu ni Zaidi ya Upendo ndugu zanguni Watanzania.Haijawahi kutokea hapa Nchini pengine hata ndani ya Bara zima la Afrika kwa Mwanasiasa kupendwa ,kukubalika,kuungwa mkono,kusikilizwa ,kufuatwa ,kubeba na kukusanya watu Wengi kiasi hiki Utafikiri watu wanavutwa kwa sumaku kutoka majumbani Mwao.
Embu niambieni ni Mwanasiasa yupi hapa Nchini kwenye uwezo na ushawishi wa kuwaleta pamoja watu kumsikiliza yeye kwa wingi kiasi hicho? Nani mwenye uwezo huu? Nani mwenye ubavu,nani mwenye nguvu za aina hiyo? Nani anapendwa Nchi hii kumzidi huyu Mama mwenye moyo wa upendo, ukarimu, uzalendo,unyenyekevu na upole?
Nani anaweza kuwafanya watu wengi kiasi hiki wakaacha shughuli zao kwa ajili ya kwenda kumsikiliza yeye tu? Zaidi ya Rais Samia ni Nani mwingine anaweza wafanya watu wakimbie mbio kuwahi nafasi viwanjani na kufurika mpaka kukosa nafasi ya kupita sisiminzii ili tu wamsikilize?
Rais Samia kwa hakika siyo mtu wa kawaida ,ni mtu na nusu ,ni nyota kwelikweli,ni nuru popote pawapo na giza.ni tumaini popote pawapo na kukata tamaa. Ni vipi unaweza mzuia Mama huyu kugombea Urais? Ni vipi unaweza mshinda mama huyu kushinda kwa kishindo? Utamzuia kupitia nini? Kwa njia ipi? Kwa sera zipi? Kwa kigezo kipi unaweza mzuia Mama huyu Chaguo la Mungu kurejea ikulu kwa awamu ya pili hapo Mwakani? Ni vipi unaweza kata jina la huyu Mama kwenye Urais ndani ya CCM? Nani atakuelewa? Nani atakukubalia na kunyamaza? Huoni itasababisha machafuko na vurugu Nchini?
Hivi bado hamjatambua ya kuwa huyu Mama ni Chaguo la Mungu Mwenyewe? Hamjatambua bado kuwa kainuliwa na mkono wa Mungu na hata sasa anaongoza Nchi kwa kibali cha Mungu Mwenyewe? Mnataka mpewe ishara gani mpate kuamini?muoneshwe nini na kitu gani na picha zipi mpate kuamini enyi watanzania?View attachment 3109807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndo maana yake wameenda kuwaona wasanii tu hata ukiwauliza rais kasema Nini hawajui kitu.Sasa huyo si Rais?
Unataka kumlinganisha na nani?
Wengine hapo wameenda kumuona zuchu
Weka picha za Edward Lowasa za Campaign 2015,hakuna mtu atajeza watu kama Edward lowasa nchi hiiNdugu zangu Watanzania,
Huu ni Zaidi ya Upendo ndugu zanguni Watanzania.Haijawahi kutokea hapa Nchini pengine hata ndani ya Bara zima la Afrika kwa Mwanasiasa kupendwa ,kukubalika,kuungwa mkono,kusikilizwa ,kufuatwa ,kubeba na kukusanya watu Wengi kiasi hiki Utafikiri watu wanavutwa kwa sumaku kutoka majumbani Mwao.
Embu niambieni ni Mwanasiasa yupi hapa Nchini kwenye uwezo na ushawishi wa kuwaleta pamoja watu kumsikiliza yeye kwa wingi kiasi hicho? Nani mwenye uwezo huu? Nani mwenye ubavu,nani mwenye nguvu za aina hiyo? Nani anapendwa Nchi hii kumzidi huyu Mama mwenye moyo wa upendo, ukarimu, uzalendo,unyenyekevu na upole?
Nani anaweza kuwafanya watu wengi kiasi hiki wakaacha shughuli zao kwa ajili ya kwenda kumsikiliza yeye tu? Zaidi ya Rais Samia ni Nani mwingine anaweza wafanya watu wakimbie mbio kuwahi nafasi viwanjani na kufurika mpaka kukosa nafasi ya kupita sisiminzii ili tu wamsikilize?
Rais Samia kwa hakika siyo mtu wa kawaida ,ni mtu na nusu ,ni nyota kwelikweli,ni nuru popote pawapo na giza.ni tumaini popote pawapo na kukata tamaa. Ni vipi unaweza mzuia Mama huyu kugombea Urais? Ni vipi unaweza mshinda mama huyu kushinda kwa kishindo? Utamzuia kupitia nini? Kwa njia ipi? Kwa sera zipi? Kwa kigezo kipi unaweza mzuia Mama huyu Chaguo la Mungu kurejea ikulu kwa awamu ya pili hapo Mwakani? Ni vipi unaweza kata jina la huyu Mama kwenye Urais ndani ya CCM? Nani atakuelewa? Nani atakukubalia na kunyamaza? Huoni itasababisha machafuko na vurugu Nchini?
Hivi bado hamjatambua ya kuwa huyu Mama ni Chaguo la Mungu Mwenyewe? Hamjatambua bado kuwa kainuliwa na mkono wa Mungu na hata sasa anaongoza Nchi kwa kibali cha Mungu Mwenyewe? Mnataka mpewe ishara gani mpate kuamini?muoneshwe nini na kitu gani na picha zipi mpate kuamini enyi watanzania?View attachment 3109807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa nje tuNdugu zangu Watanzania,
Huu ni Zaidi ya Upendo ndugu zanguni Watanzania.Haijawahi kutokea hapa Nchini pengine hata ndani ya Bara zima la Afrika kwa Mwanasiasa kupendwa ,kukubalika,kuungwa mkono,kusikilizwa ,kufuatwa ,kubeba na kukusanya watu Wengi kiasi hiki Utafikiri watu wanavutwa kwa sumaku kutoka majumbani Mwao.
Embu niambieni ni Mwanasiasa yupi hapa Nchini kwenye uwezo na ushawishi wa kuwaleta pamoja watu kumsikiliza yeye kwa wingi kiasi hicho? Nani mwenye uwezo huu? Nani mwenye ubavu,nani mwenye nguvu za aina hiyo? Nani anapendwa Nchi hii kumzidi huyu Mama mwenye moyo wa upendo, ukarimu, uzalendo,unyenyekevu na upole?
Nani anaweza kuwafanya watu wengi kiasi hiki wakaacha shughuli zao kwa ajili ya kwenda kumsikiliza yeye tu? Zaidi ya Rais Samia ni Nani mwingine anaweza wafanya watu wakimbie mbio kuwahi nafasi viwanjani na kufurika mpaka kukosa nafasi ya kupita sisiminzii ili tu wamsikilize?
Rais Samia kwa hakika siyo mtu wa kawaida ,ni mtu na nusu ,ni nyota kwelikweli,ni nuru popote pawapo na giza.ni tumaini popote pawapo na kukata tamaa. Ni vipi unaweza mzuia Mama huyu kugombea Urais? Ni vipi unaweza mshinda mama huyu kushinda kwa kishindo? Utamzuia kupitia nini? Kwa njia ipi? Kwa sera zipi? Kwa kigezo kipi unaweza mzuia Mama huyu Chaguo la Mungu kurejea ikulu kwa awamu ya pili hapo Mwakani? Ni vipi unaweza kata jina la huyu Mama kwenye Urais ndani ya CCM? Nani atakuelewa? Nani atakukubalia na kunyamaza? Huoni itasababisha machafuko na vurugu Nchini?
Hivi bado hamjatambua ya kuwa huyu Mama ni Chaguo la Mungu Mwenyewe? Hamjatambua bado kuwa kainuliwa na mkono wa Mungu na hata sasa anaongoza Nchi kwa kibali cha Mungu Mwenyewe? Mnataka mpewe ishara gani mpate kuamini?muoneshwe nini na kitu gani na picha zipi mpate kuamini enyi watanzania?View attachment 3109807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naona wivu umewashika na tayari mmekubali ukweli kuwa Mama anakubalika sana na watanzaniaSasa huyo si Rais?
Unataka kumlinganisha na nani?
Wengine hapo wameenda kumuona zuchu
Naona wivu umewashika na tayari mmekubali ukweli kuwa Mama anakubalika sana na watanzania