Mr Bluetooth
Senior Member
- Aug 23, 2022
- 123
- 230
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadhi ya Watu hawafikiri vizuri,We african we don't have real love.
Yaan kweli unakuja humu kuandika madudu kama haya, hujui kua umeathili afya ya huyo jamaa,kiakili pia ume athiri familia yake na watu walio kuwa wana mtegemea kwa kipato alicho kuwa anapata.
Du mungu anakuona.
Makazini kweli kuna majungu na visilani hasa kwa rika ambalo linaelekea uzeeni.
Nili bahatika kupata nafasi ya kufanya field katika bandari flan kwenye office ya planning department.
Ile office nili enjoy sana kutokana na mkuu wa department alikua poa sana,yaan siku tu ya kuripoti offisin nlipata mapokez mazuri sana ambayo sikuyategemea na kutembezwa baadhi ya office.
Nlitembezwa ofisi ya procurement, accountants, weighbridge, sehemu ya parking za meli na port control.
Baada ya wiki iv bos akawa ananibadilisha ofice leo ofice hii kesho ofisi nyingine ili kujifunza na kujua mambo mengi.
Kumbe ile hali kuna badhi ya wafanya kazi hawa kuipenda wakawa wana mpiga majungu bosi wangu kuwa ameanza kuajiri vijana wenye elimu kubwa kuliko sisi.
Nikiwa naenda kwenye ofisi zao hawanipi ushirikiano,mwishowe bosi aliisikia iyo taarifa akasema nibaki tu kwenye ofisi yake adi nmalize field yangu.
Kwa hiyo majungu makazi hayalet maendelea bali yana tengeneza uadui wa milele nakupotezeana malengo ya maisha.
Majungu yana punguza ufanisi wa mtu kazin,koz ukiwa siliasi na kazi unaonekana unajiona sana.
Let's we be honestly to each other.
Ya baba yako.Mwandiko wa kike huu, hii wewe ni jinsia gani?
Yule rais alijichanganya kuanza kuwatesa wachagga na bureau de change zao walizozositoea kwa miaka.Kuna Rais mmoja alijifanya nchi xa babake mnoko sana akafanyiwa zengwe akafa,wati tunaendelea kula nchi
Ibirisi ❌Yaani kama uliyoyaandika hapa na rohoni ndivyo kupo hivo nachelea kusema wewe ni ibirisi mkuu.
Ndo shida yake ilikuwa hapa.Unyakyusa mwingi🤣🤣
How dya feel now?Yan wewe ni ms**%{€~ yaani unakuja kupost ujinga wa namna hii. Masikini wa akili mkubwa wewe. Ku/&🙂:$;&;&: zak>€|£|£{. Masikini mkubwa kumbafu
Uwovu❌Siku za ubaya wenu zinahesabika kama saa. Yani mtajutia uwovu wenu kwa kilio cha uchungu mkali
😂Ama atakuwa yeye au mkewe. Nimeshangaa hata mimi why atukane hiviShida nini adi utukane au wewe ndo Mashaka Gobwe
Mtu ambaye ni babayo ndo jinsia yake.
Hao watu walikuwa darasa la saba?We african we don't have real love.
Yaan kweli unakuja humu kuandika madudu kama haya, hujui kua umeathili afya ya huyo jamaa,kiakili pia ume athiri familia yake na watu walio kuwa wana mtegemea kwa kipato alicho kuwa anapata.
Du mungu anakuona.
Makazini kweli kuna majungu na visilani hasa kwa rika ambalo linaelekea uzeeni.
Nili bahatika kupata nafasi ya kufanya field katika bandari flan kwenye office ya planning department.
Ile office nili enjoy sana kutokana na mkuu wa department alikua poa sana,yaan siku tu ya kuripoti offisin nlipata mapokez mazuri sana ambayo sikuyategemea na kutembezwa baadhi ya office.
Nlitembezwa ofisi ya procurement, accountants, weighbridge, sehemu ya parking za meli na port control.
Baada ya wiki iv bos akawa ananibadilisha ofice leo ofice hii kesho ofisi nyingine ili kujifunza na kujua mambo mengi.
Kumbe ile hali kuna badhi ya wafanya kazi hawa kuipenda wakawa wana mpiga majungu bosi wangu kuwa ameanza kuajiri vijana wenye elimu kubwa kuliko sisi.
Nikiwa naenda kwenye ofisi zao hawanipi ushirikiano,mwishowe bosi aliisikia iyo taarifa akasema nibaki tu kwenye ofisi yake adi nmalize field yangu.
Kwa hiyo majungu makazi hayalet maendelea bali yana tengeneza uadui wa milele nakupotezeana malengo ya maisha.
Majungu yana punguza ufanisi wa mtu kazin,koz ukiwa siliasi na kazi unaonekana unajiona sana.
Let's we be honestly to each other.
Daah.... Yaani wewe kweli una mapenzi ya kweli kwa jamaa. Si akuoe tu?maana mi sijamtaja popote na nimemtadhalisha tu ila wewe umemweka moyoni mpaka huku umemletaSema we jamaa umekaa kitapeli sana humu jukwaani na una wivu, nimekuona sana kwenye Uzi wa umughaka unavyotoa povu la kijinga yaani ni dizaini ya watu hawataki kuona maendeleo ya wenzao, pole sana
Shida tu ni pale alipoamua ku deal na vilaza. Wenye vyeti fake hao mpaka leo mtaendelea kumzungumzia.Yule rais alijichanganya kuanza kuwatesa wachagga na bureau de change zao walizozositoea kwa miaka.
Bado akaanza kuwasumbua wenye CCM yao.p
Kabisa....sema watu wa namna hiyo hawakosekani hata mtaani unaweza ona jamaaa anajifanya mjuaji.....Mkishakosa wa kumloga mtaanza kulogana nyinyi kwa nyinyi
Mkatubu na mumrudie MUNGU maana saa yaja!Huyu jamaa alifika kazini akawa anajiona yeye ndo yeye... Kazi anaipenda sana kuliko sisi wengine. Basi ikawa kila mfano mzuri boss anamsema yeye. Kila jambo jema mfano yeye...
Jamaa akaanza kupewa pewa safaris nyingi sana. Akawa anapewa bonus kila mara...yaani kiufupi jamaa alianza kupendeza. Akawa anapiga tie, mara suits, anachomekea na siku hizi mnaita Unyakyusa mwingi sana. Nikaliona hili nalo likafikiriwe. Nikawaita wadau kamati ya roho mbaya.
Tukakaa wenyeji...tukajadiliana kuwa huyu dogo mbona kama sisi wenyeji anakosa heshima kwetu. Kaja tunamwona hivi hivi...jamaa mmoja akasema anabonga naye. Akaenda mshtua dogo akajibu yeye si mtu wa majungu kaja kufanya kazi.
Tukarudishiwa taarifa. Basi jamaa mmoja akasema tumpatie pesa flani atashughulika naye. Akaenda Bagamoyo tu hapo. Wala si mbali.
Yule dogo akaanza kuwa kazini mara haji, akawa anagida sana pombe.anaweza akapotea siku mbili analewa analala bar. Akawa mkorofi kinyama kazini. Mpaka boss anamsemea mbovu. Anasema kwani hii nayo kazi? Basi tu ila yeye si wa kufanya kazi sehemu kama ile.
Tukamwekezea na majungu kinyama...akaharibu ile mbaya pale job. Wakamtimua. Aiseee tulifurahi sana. Tukampongeza fundi wetu kiungo mchezeshaji. Tukabaki wenyewe tu job kwa starehe zetu.
Hizi kazi umekuja umeikuta utaiacha. Usilete kujua saaaaana.watu tumekaa zanzibar, tumekaa tanga...tunajua kuishi na watu. Usitake jifanya we ndo unafaaanya sana kazi. Mwishowe kazi nayo itakufanya. Muwe mnaheshimu wakubwa. Tunaweza kukufanya kama tulivyomfanya Mashaka Gobwe.huyu hawezi kutusahau milele... Ishini na watu vizuri.....shauri zenu.
Dah ...uyu mwamba bhana nkatia hasira kinyama yaniUlikuwa unamlalamikia UMUGHAKA anawachafua wapemba,haijapita hata nusu saa unatusimulia ulozi wako,acha kujisifia uchawi na MAJUNGU hayakufikishi popote.....Kwani alivyofukuzwa kazi mshahara wake mlipewa?