Mwanachama humu amenikumbusha nilivyomfanyia jamaa mmoja aliyekuwa anajiona kafika kazini

Mwanachama humu amenikumbusha nilivyomfanyia jamaa mmoja aliyekuwa anajiona kafika kazini

We african we don't have real love.

Yaan kweli unakuja humu kuandika madudu kama haya, hujui kua umeathili afya ya huyo jamaa,kiakili pia ume athiri familia yake na watu walio kuwa wana mtegemea kwa kipato alicho kuwa anapata.

Du mungu anakuona.

Makazini kweli kuna majungu na visilani hasa kwa rika ambalo linaelekea uzeeni.

Nili bahatika kupata nafasi ya kufanya field katika bandari flan kwenye office ya planning department.

Ile office nili enjoy sana kutokana na mkuu wa department alikua poa sana,yaan siku tu ya kuripoti offisin nlipata mapokez mazuri sana ambayo sikuyategemea na kutembezwa baadhi ya office.

Nlitembezwa ofisi ya procurement, accountants, weighbridge, sehemu ya parking za meli na port control.

Baada ya wiki iv bos akawa ananibadilisha ofice leo ofice hii kesho ofisi nyingine ili kujifunza na kujua mambo mengi.

Kumbe ile hali kuna badhi ya wafanya kazi hawa kuipenda wakawa wana mpiga majungu bosi wangu kuwa ameanza kuajiri vijana wenye elimu kubwa kuliko sisi.

Nikiwa naenda kwenye ofisi zao hawanipi ushirikiano,mwishowe bosi aliisikia iyo taarifa akasema nibaki tu kwenye ofisi yake adi nmalize field yangu.


Kwa hiyo majungu makazi hayalet maendelea bali yana tengeneza uadui wa milele nakupotezeana malengo ya maisha.

Majungu yana punguza ufanisi wa mtu kazin,koz ukiwa siliasi na kazi unaonekana unajiona sana.

Let's we be honestly to each other.
Baadhi ya Watu hawafikiri vizuri,

Unapoharibu maisha ya mtu mmoja,basi tambua kabisa umeharibu maisha ya watu wengi nyuma ya huyo mtu waliokuwa wanamtegemea,ambao kwa hakika ni very innocent,
 
Kuna Rais mmoja alijifanya nchi xa babake mnoko sana akafanyiwa zengwe akafa,wati tunaendelea kula nchi
Yule rais alijichanganya kuanza kuwatesa wachagga na bureau de change zao walizozositoea kwa miaka.
Bado akaanza kuwasumbua wenye CCM yao.p
 
We african we don't have real love.

Yaan kweli unakuja humu kuandika madudu kama haya, hujui kua umeathili afya ya huyo jamaa,kiakili pia ume athiri familia yake na watu walio kuwa wana mtegemea kwa kipato alicho kuwa anapata.

Du mungu anakuona.

Makazini kweli kuna majungu na visilani hasa kwa rika ambalo linaelekea uzeeni.

Nili bahatika kupata nafasi ya kufanya field katika bandari flan kwenye office ya planning department.

Ile office nili enjoy sana kutokana na mkuu wa department alikua poa sana,yaan siku tu ya kuripoti offisin nlipata mapokez mazuri sana ambayo sikuyategemea na kutembezwa baadhi ya office.

Nlitembezwa ofisi ya procurement, accountants, weighbridge, sehemu ya parking za meli na port control.

Baada ya wiki iv bos akawa ananibadilisha ofice leo ofice hii kesho ofisi nyingine ili kujifunza na kujua mambo mengi.

Kumbe ile hali kuna badhi ya wafanya kazi hawa kuipenda wakawa wana mpiga majungu bosi wangu kuwa ameanza kuajiri vijana wenye elimu kubwa kuliko sisi.

Nikiwa naenda kwenye ofisi zao hawanipi ushirikiano,mwishowe bosi aliisikia iyo taarifa akasema nibaki tu kwenye ofisi yake adi nmalize field yangu.


Kwa hiyo majungu makazi hayalet maendelea bali yana tengeneza uadui wa milele nakupotezeana malengo ya maisha.

Majungu yana punguza ufanisi wa mtu kazin,koz ukiwa siliasi na kazi unaonekana unajiona sana.

Let's we be honestly to each other.
Hao watu walikuwa darasa la saba?
 
Sema we jamaa umekaa kitapeli sana humu jukwaani na una wivu, nimekuona sana kwenye Uzi wa umughaka unavyotoa povu la kijinga yaani ni dizaini ya watu hawataki kuona maendeleo ya wenzao, pole sana
Daah.... Yaani wewe kweli una mapenzi ya kweli kwa jamaa. Si akuoe tu?maana mi sijamtaja popote na nimemtadhalisha tu ila wewe umemweka moyoni mpaka huku umemleta
 
Yule rais alijichanganya kuanza kuwatesa wachagga na bureau de change zao walizozositoea kwa miaka.
Bado akaanza kuwasumbua wenye CCM yao.p
Shida tu ni pale alipoamua ku deal na vilaza. Wenye vyeti fake hao mpaka leo mtaendelea kumzungumzia.
 
Tunapomwandama mleta mada na kila aina ya matusi,kejeli na vilaana uchwara,ni fundisho tosha mlioko huko makazini. Acheni unonko,heshimuni wafanyakazi wenzenu.

Dunia INA siri nyingi....mnaotukana humu labda hamjawahi kufanya kazi na MTU 'snitch'. Kazi utaiona chungu....

Refer the following.
1. Usiombe ufanye kazi na 'mkenya' mwenye kutaka sifa.
2. Usiombe ufanye kazi na 'mjaluo' mwenye kutaka sifa na cheo.
 
Huyu jamaa alifika kazini akawa anajiona yeye ndo yeye... Kazi anaipenda sana kuliko sisi wengine. Basi ikawa kila mfano mzuri boss anamsema yeye. Kila jambo jema mfano yeye...

Jamaa akaanza kupewa pewa safaris nyingi sana. Akawa anapewa bonus kila mara...yaani kiufupi jamaa alianza kupendeza. Akawa anapiga tie, mara suits, anachomekea na siku hizi mnaita Unyakyusa mwingi sana. Nikaliona hili nalo likafikiriwe. Nikawaita wadau kamati ya roho mbaya.

Tukakaa wenyeji...tukajadiliana kuwa huyu dogo mbona kama sisi wenyeji anakosa heshima kwetu. Kaja tunamwona hivi hivi...jamaa mmoja akasema anabonga naye. Akaenda mshtua dogo akajibu yeye si mtu wa majungu kaja kufanya kazi.

Tukarudishiwa taarifa. Basi jamaa mmoja akasema tumpatie pesa flani atashughulika naye. Akaenda Bagamoyo tu hapo. Wala si mbali.

Yule dogo akaanza kuwa kazini mara haji, akawa anagida sana pombe.anaweza akapotea siku mbili analewa analala bar. Akawa mkorofi kinyama kazini. Mpaka boss anamsemea mbovu. Anasema kwani hii nayo kazi? Basi tu ila yeye si wa kufanya kazi sehemu kama ile.

Tukamwekezea na majungu kinyama...akaharibu ile mbaya pale job. Wakamtimua. Aiseee tulifurahi sana. Tukampongeza fundi wetu kiungo mchezeshaji. Tukabaki wenyewe tu job kwa starehe zetu.

Hizi kazi umekuja umeikuta utaiacha. Usilete kujua saaaaana.watu tumekaa zanzibar, tumekaa tanga...tunajua kuishi na watu. Usitake jifanya we ndo unafaaanya sana kazi. Mwishowe kazi nayo itakufanya. Muwe mnaheshimu wakubwa. Tunaweza kukufanya kama tulivyomfanya Mashaka Gobwe.huyu hawezi kutusahau milele... Ishini na watu vizuri.....shauri zenu.
Mkatubu na mumrudie MUNGU maana saa yaja!
 
Ulikuwa unamlalamikia UMUGHAKA anawachafua wapemba,haijapita hata nusu saa unatusimulia ulozi wako,acha kujisifia uchawi na MAJUNGU hayakufikishi popote.....Kwani alivyofukuzwa kazi mshahara wake mlipewa?
Dah ...uyu mwamba bhana nkatia hasira kinyama yani
 
Back
Top Bottom