Munguwetu
Member
- Dec 13, 2022
- 87
- 80
Hapa umeongeza tangazoSiwapi wakafie mbele huko.... Mi mwenyewe kuna dawa najua tengeneza ila kwa mademu tu wakali wenye msambwanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa umeongeza tangazoSiwapi wakafie mbele huko.... Mi mwenyewe kuna dawa najua tengeneza ila kwa mademu tu wakali wenye msambwanda.
Ni kuchomekea auUnyakyusa mwingi🤣🤣
Du wewe jamaa ni mshirikina.Huyu jamaa alifika kazini akawa anajiona yeye ndo yeye... Kazi anaipenda sana kuliko sisi wengine. Basi ikawa kila mfano mzuri boss anamsema yeye. Kila jambo jema mfano yeye...
Jamaa akaanza kupewa pewa safaris nyingi sana. Akawa anapewa bonus kila mara...yaani kiufupi jamaa alianza kupendeza. Akawa anapiga tie, mara suits, anachomekea na siku hizi mnaita Unyakyusa mwingi sana. Nikaliona hili nalo likafikiriwe. Nikawaita wadau kamati ya roho mbaya.
Tukakaa wenyeji...tukajadiliana kuwa huyu dogo mbona kama sisi wenyeji anakosa heshima kwetu. Kaja tunamwona hivi hivi...jamaa mmoja akasema anabonga naye. Akaenda mshtua dogo akajibu yeye si mtu wa majungu kaja kufanya kazi.
Tukarudishiwa taarifa. Basi jamaa mmoja akasema tumpatie pesa flani atashughulika naye. Akaenda Bagamoyo tu hapo. Wala si mbali.
Yule dogo akaanza kuwa kazini mara haji, akawa anagida sana pombe.anaweza akapotea siku mbili analewa analala bar. Akawa mkorofi kinyama kazini. Mpaka boss anamsemea mbovu. Anasema kwani hii nayo kazi? Basi tu ila yeye si wa kufanya kazi sehemu kama ile.
Tukamwekezea na majungu kinyama...akaharibu ile mbaya pale job. Wakamtimua. Aiseee tulifurahi sana. Tukampongeza fundi wetu kiungo mchezeshaji. Tukabaki wenyewe tu job kwa starehe zetu.
Hizi kazi umekuja umeikuta utaiacha. Usilete kujua saaaaana.watu tumekaa zanzibar, tumekaa tanga...tunajua kuishi na watu. Usitake jifanya we ndo unafaaanya sana kazi. Mwishowe kazi nayo itakufanya. Muwe mnaheshimu wakubwa. Tunaweza kukufanya kama tulivyomfanya Mashaka Gobwe.huyu hawezi kutusahau milele... Ishini na watu vizuri.....shauri zenu.
😅😅😅😅Utakufa mhundu juu.
Muda unaharibu maisha ya mtoto wa wa mwenzio basi wako atafanyiwa unyama.
Upendo ni tunda la rohoni mtu akiwa na upendo amebarikiwa.
Hii ndo bongo bhana[emoji23]Kuna Rais mmoja alijifanya nchi xa babake mnoko sana akafanyiwa zengwe akafa,wati tunaendelea kula nchi
tena wanaume wazima na wanawake wafanyenyeMkishakosa wa kumloga mtaanza kulogana nyinyi kwa nyinyi
Hawa wameshindwa kukaza mkuutena wanaume wazima na wanawake wafanyenye
Upumbavu! Haya hamieni na kwangu niko hapa ninawakaribisha; wajinga nyieHizi kazi umekuja umeikuta utaiacha. Usilete kujua saaaaana.watu tumekaa Zanzibar, tumekaa Tanga... tunajua kuishi na watu. Usitake jifanya wewe ndio unafaaanya sana kazi. Mwishowe kazi nayo itakufanya. Muwe mnaheshimu wakubwa. Tunaweza kukufanya kama tulivyomfanya Mashaka Gobwe. Huyu hawezi kutusahau milele... Ishini na watu vizuri.....shauri zenu.
Mleta Uzi,acha ushrikina.....watz asilimia kubwa wanapenda Pesa ila ni wavivu sana wa kazi...ila majungu,fitina na umbea kama wewe ndiyo vitu mnapenda...kampuni nyingi zinakufa nchini kwasababu ya watu kama wewe.......hufai kabisa kwenye jamiiHuyu jamaa alifika kazini akawa anajiona yeye ndo yeye. Kazi anaipenda sana kuliko sisi wengine. Basi ikawa kila mfano mzuri boss anamsema yeye. Kila jambo jema mfano yeye.
Jamaa akaanza kupewa pewa safaris nyingi sana. Akawa anapewa bonus kila mara, yaani kiufupi jamaa alianza kupendeza. Akawa anapiga tie, mara suits, anachomekea na siku hizi mnaita Unyakyusa mwingi sana. Nikaliona hili nalo likafikiriwe. Nikawaita wadau kamati ya roho mbaya.
Tukakaa wenyeji, tukajadiliana kuwa huyu dogo mbona kama sisi wenyeji anakosa heshima kwetu. Kaja tunamwona hivi hivi, jamaa mmoja akasema anabonga naye. Akaenda mshtua dogo akajibu yeye si mtu wa majungu kaja kufanya kazi.
Tukarudishiwa taarifa. Basi jamaa mmoja akasema tumpatie pesa fulani atashughulika naye. Akaenda Bagamoyo tu hapo. Wala si mbali.
Yule dogo akaanza kuwa kazini mara haji, akawa anagida sana pombe, anaweza akapotea siku mbili analewa analala bar. Akawa mkorofi kinyama kazini. Mpaka boss anamsemea mbovu. Anasema kwani hii nayo kazi? Basi tu ila yeye si wa kufanya kazi sehemu kama ile.
Tukamwekezea na majungu kinyama, akaharibu ile mbaya pale job. Wakamtimua. Aiseee tulifurahi sana. Tukampongeza fundi wetu kiungo mchezeshaji. Tukabaki wenyewe tu job kwa starehe zetu.
Hizi kazi umekuja umeikuta utaiacha. Usilete kujua saaaaana.watu tumekaa Zanzibar, tumekaa Tanga... tunajua kuishi na watu. Usitake jifanya wewe ndio unafaaanya sana kazi. Mwishowe kazi nayo itakufanya. Muwe mnaheshimu wakubwa. Tunaweza kukufanya kama tulivyomfanya Mashaka Gobwe. Huyu hawezi kutusahau milele... Ishini na watu vizuri.....shauri zenu.
Atalaaniwa na kizazi chake KabisaAcha roho mbaya...utakufa vibaya.. na mwisho utazikwa vibaya
Roho mbaya tu na ushetaniSijaona kosa la huyo dogo.
Kwa maelezo yako hakuwahi msnitch mtu, hakuwa mtu wa majungu bali alichapa kazi iliyomleta kazi ikaongea.
Sijui kwanini mlimfanyie unyama huo
Sure,malipo ni hapa hapa duniani........Utalipa price one day
Wagonjwa hawana forum yao humu? Tupumzike😂Kachizika huyo [emoji2] anataka kuzima stor ya umugaka
Wanawake mna wivu sana na mihemko. Haya....mimi sina cha kupoteza. Umekalia wapi?Kwa sababu wewe ni mk&;&;&; ku$:$:$/@@& zak:&&:&:
Upo wapi? Tuma jina kamili na gagulo lako moja ambalo umewahi vaa.Upumbavu! Haya hamieni na kwangu niko hapa ninawakaribisha; wajinga nyie
Inatakiwa iwepo kwa kweli tukapumzike huko.... Au nasema uongo?Wagonjwa hawana forum yao humu? Tupumzike😂
Namwonea wivu mademu wote amewachukueni anajigongea mmoja mmoja...mimi naonekana tu chizi....hasa wewe ndo umenifanya noumie kabisa...mtu umenikubalia mpaka nikuoe leo unaanza kutekwa kijinga tu....na pesa zangu umekula sana nyau wewe...Aise we dogo akili huna kabisa...yani umugaka ndio anakufanya unahangaika hivi ? [emoji23] Una wivu kama binti sayuni