Mwanachama humu amenikumbusha nilivyomfanyia jamaa mmoja aliyekuwa anajiona kafika kazini

Karma is a bitch Leo ana m flirt huyu next its you
 
Kama huyo mtu alikuwa anatimiza wajibu wake hapo ofisini kwenu, Basi Nafikiri wewe na hao wenzio ndo wenye shida.
 
Sasa si ndo maana mliwekewa Mirembe? Huku huwezi pumzika hata kidogo. Tutakutibua mpaka urudishwe tena Mirembe. Umekunywa Dawa
Nyiee watu wa pemba nimewanyooshea mikono🙌🏼🤣 mtu anajiita chizi ntawezana nae wapi mimi
 
Mleta Uzi,acha ushrikina.....watz asilimia kubwa wanapenda Pesa ila ni wavivu sana wa kazi...ila majungu,fitina na umbea kama wewe ndiyo vitu mnapenda...kampuni nyingi zinakufa nchini kwasababu ya watu kama wewe.......hufai kabisa kwenye jamii
Kwa vile wanatumikia washirikina , huwa hawana maendeleo yoyote zaidi ya kutumika kuwatajirisha "mafundi".

Cha ajabu huwa wanakufa vifo asivyovitarajia.
 
Nyiee watu wa pemba nimewanyooshea mikono🙌🏼🤣 mtu anajiita chizi ntawezana nae wapi mimi
Yule Jamaa yenu ametupaka sana matope...sisi utajiri wetu wa majini?nimeumizwa sana. Ila hamna shida. Dogo ameanza kuota mapembe. Nasubiria aseme ambacho alifanywa na Mpemba Ami Ally Mahmoud
 
yaani watumwa wa mwajiri mnamroga mtumwa mwenzenu afukuzwe kazi. Huko aliko fikra za kitumwa zikimuondoka akaamua kuanzisha chake na akajua mlichomfanyia kisha ukaenda kuomba kazi kwa kampuni yake?
 
yaani watumwa wa mwajiri mnamroga mtumwa mwenzenu afukuzwe kazi. Huko aliko fikra za kitumwa zikimuondoka akaamua kuanzisha chake na akajua mlichomfanyia kisha ukaenda kuomba kazi kwa kampuni yake?
Chake alichoanzisha mpaka sasa ni kukamua tu mademu wa bei cheee... Mi hapo siwezi omba kazi. Sisi kazini hadi Maboss huwa tunaweza watimua kazi.
 
Kwa roho yako hiyo, mafanikio yako yatabaki kwenye keyboard ⌨ tu
 
Kwa vile wanatumikia washirikina , huwa hawana maendeleo yoyote zaidi ya kutumika kuwatajirisha "mafundi".

Cha ajabu huwa wanakufa vifo asivyovitarajia.
Hawawezi kuwa na maendeleo yoyote kwasababu hata akijikwaa tu bahati mbaya anakimbilia Kwa mganga badala ya kununua tofali...... yaani anakuwa mtumwa wa Mganga
 
Yule Jamaa yenu ametupaka sana matope...sisi utajiri wetu wa majini?nimeumizwa sana. Ila hamna shida. Dogo ameanza kuota mapembe. Nasubiria aseme ambacho alifanywa na Mpemba Ami Ally Mahmoud
Nikuletee nyuzi zako unazosema ulikua unawatengeneza watu kwa waganga? Au utazikana saizi. Mi nna majirani zangu wa pemba nnayoyaona siri yangu. Nimeishi zanzibar miaka mingi tu niliyojifunza nimenyoosha mikono. We kama sio mshirikina kwanini upanic? Kwani wenzio hawafanyi kweli?
 
Haya yapo.Mwaka 2014 nikiwa na boss wangu mpya kazi inachapwa vizuri Kila mara ninaitwa kupewa maelekezo nikayafanyie kazi.Kilichotokea siwezi sahau.Palikuwa na kakikundi kalikokuwa kanafaidika na boss Wa wazamani aisee iliwauma na walisema waziwazi kamati ya fitina na majungu hapa lazima tukae tumfanyie kazi huyu jamaa.Duh huo mfarakano uliotokea kati yangu na boss watu walishangaa na wengine wakifurahia.
 
Ndio maana Africa haiwezi kuendelea, yani kosa lake ilikuwa kupenda kazi sana.
 
Aisee anahitaji maombi,maana si kwa uchungu huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…