Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

Bora wamekili kusuka njama. Sasa lungu au msamaha vinafuata. Mission impossible and failed before take off.
 
Uovu ni uovu na kamwe sijawahi kuutetea! Kutumia uovu kwa sababu yoyote ile daima ina mwisho mbaya.
Ni kweli katika awamu hii uovu umetamalaki nchini na mpaka hapo tunakubaliana ingawa kuna maswali yanayojitokeza; Je;
  • Katiba kuvunjwa ni sawa tu mradi nia ni kuleta maendeleo?
  • Msingi kubomolewa ni sawa tu mradi paa inapendeza?
Ukishavunja Katiba, umeufungulia mlango uovu...hakuna amani tena, ni utekaji, utesaji na mauaji kama tunavyoshuhudia. Ukishavunja msingi nyumba haiwi salama tena...ni vilio na maombolezo kwa wanaoishi humo.

Halafu pia fikiria...Je;
  • Watanzania kuokotwa kwenye viroba ni sawa tu mradi Chato Airport inajengwa?
  • Mbunge kumiminiwa risasi mchana kweupe ni sawa tu mradi ndege zinanunuliwa?
 
TCRA inafata maelekezo kutoka "JUU" kwa "FUTURE PRISONER"
 

Kwan hili Vodacom wameteleza Sana. Lakini Ni heri wamesema ukweli watu wajue nn kinaendelea....
 
Kumbe kakamatwa mbona mlitudanganya kuwa ametekwa?? Yaani siku hizi JF limekuwa jukwaa za uongo uongo!!
alikuwa ametekwa.
tulipoanza kelele "wasiojulikana" wakajishitukia na kujitokeza.
na sasa it's official - the previously so called "wasiojulikana" sasa wanajulikana!
 
Nina Iman na Uimara wa majeshi yetu, haiwezekani watu wasiojulikana hawajajulikana mpka leo.
"If you can't defeat them, join them"
Au ndio wamewajoini?
Unaamini ktk nadharia ya uwepo wa wasiojulikana?
 
Tangu lini polisi wakamchukua mtu kwa style hiyo?
 
alikuwa ametekwa.
tulipoanza kelele "wasiojulikana" wakajishitukia na kujitokeza.
na sasa it's official - the previously so called "wasiojulikana" sasa wanajulikana!
Acha uongo kama mpaka wananchi walikuwapo na kiongozi wa mtaa kama ulivyosema hapo juu kweli utasema wasiojulikana kweli
 
Acha uongo kama mpaka wananchi walikuwapo na kiongozi wa mtaa kama ulivyosema hapo juu kweli utasema wasiojulikana kweli
habari ndiyo hiyo.
soma heading ya thread neno "polisi" lilivyowekwa - kama huna akili kama za wakolomije utaelewa dhana yake!
 
Tz ya John (ila sidhan kama ndo yuleeee John the Baptist)
So sad..
Hadi aibu kuimba wimbo wa taifa
 
Yaani Siku hizi hata MTU akikamatwa kikawaida bado mtasema katekwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…