Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamiliki wa gazeti hili wajiandae kufungiwaLakadiriwa kufikia takribani Trilioni 104
Ni ongezeko la zaidi ya bilioni 600 kwa mwezi
Kila Mtanzania anadaiwa karibu milioni 1.7
View attachment 2779419
Wanatokea chama nduguWamiliki wa gazeti hili wajiandae kufungiwa
......Kwa kutakiwa kuthibitisha, na pia wataambiwa deni hilo ni HIMILIVU !!!Wamiliki wa gazeti hili wajiandae kufungiwa
Hawa watu watatuuza na sisi. Sasawamehamia Kwa Kanjubhahi BombayLakadiriwa kufikia takribani Trilioni 104
Ni ongezeko la zaidi ya bilioni 600 kwa mwezi
Kila Mtanzania anadaiwa karibu milioni 1.7
View attachment 2779419
Ilaaniwe sana.......pesa wanazokopa wanalipana na akina Steve😆😆CCM ni mashetani wakubwa.
Yaani iwe jua au mvua hilo deni haliwezi kulipika milele, litazidi kuongezeka maradufu na lazima rasimali zetu ziwekwe rehani kuweza kufidia. Kwa kifupi sana watanzania tumeuzwa kiujumla jumla.
CCM ilaaniwe.
Mradi hatujavuka viwango vya kukopeshwa ni pesa ndogo sana kwa uchumi unavyokuwa kwa kasi.Lakadiriwa kufikia takribani Trilioni 104
Ni ongezeko la zaidi ya bilioni 600 kwa mwezi
Kila Mtanzania anadaiwa karibu milioni 1.7
View attachment 2779419
Alikuwa na makando kando yake ingawa alisema ukweli.Ndugai alipoonya serikali juu ya kuchukua mikopo kila kukicha, mlimtemesha uspika wake. Hangaikeni na deni hilo sasa
Juzi ametembea Swedeni hadi Spain Dr Madelu itakua aliambulia patupu sasa wameenda Kubahatisha Bombay.Mradi hatujavuka viwango vya kukopeshwa ni pesa ndogo sana kwa uchumi unavyokuwa kwa kasi.
Kumbe mama ana power. Sikufahamu kama ana uwezo wa kumtemesha mtu uspika.Ndugai alipoonya serikali juu ya kuchukua mikopo kila kukicha, mlimtemesha uspika wake. Hangaikeni na deni hilo sasa
Kubahatisha nini Bombay wakati Bombay kaenda kwa mwaliko wa Kitaifa na mizinga 21 kapigiwa?Juzi ametembea Swedeni hadi Spain Dr Madelu itakua aliambulia patupu sasa wameenda Kubahatisha Bombay.
Nimeanza kulisoma gazeti hili nikiwa shule ya sekondari na kujifunza kitu:Lakadiriwa kufikia takribani Trilioni 104
Ni ongezeko la zaidi ya bilioni 600 kwa mwezi
Kila Mtanzania anadaiwa karibu milioni 1.7
View attachment 2779419
Ni deni himilivu kabisa..........Kwa kutakiwa kuthibitisha, na pia wataambiwa deni hilo ni HIMILIVU !!!