Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais kaenda India na mawazir 9.? Kweli CCM imetuchoka. serIkali yote ipo indiaBado zamu ya vatikano akirudi India.
Mbona kaenda kimasikini sana, serikali zingine mwaliko wa Kiataifa inakwenda cabinet yote.Rais kaenda India na mawazir 9.? Kweli CCM imetuchoka. serIkali yote ipo india
Enzi za magu walikua kimyaaaaaaWamiliki wa gazeti hili wajiandae kufungiwa
Usije kujilani mwenyewe tu....Ilaaniwe sana.......pesa wanazokopa wanalipana na akina Steve[emoji38][emoji38]
Nchi ilianza kukopa kabla ya mh.Ndugai kuwa SPIKA......Ndugai alipoonya serikali juu ya kuchukua mikopo kila kukicha, mlimtemesha uspika wake. Hangaikeni na deni hilo sasa
Mnakopa na kuiba kwa sababu ya uchaguziUsije kujilani mwenyewe tu....
Tunakopa kwa maendeleo ya nchi....kuna mzunguko wa kuusisimua UCHUMI...wewe upo na STEVE NYERERE naye yupo pia [emoji120]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Enzi za magu walikua kimyaaaaaa
Serikali gan masikin inafanya huo upumbavu. Unaifananisha Tanzania na nchi zilizoendelea? Pumbavu kabisa. No Wonder mkaona na Steve nae aende.Mbona kaenda kimasikini sana, serikali zingine mwaliko wa Kiataifa inakwenda cabinet yote.
Ndege 10 mpaka 20 na zaidi. Mpaka magari ya Raisa huwa yanaenda kwa ndege. Tanzania kwenda mawaziri 9 mnalalamika, badilikeni, hii nchi haitafunguka mkiwa na mawazo ya kimasikini.
Think big to be big.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji1787][emoji1787]CCM ni mashetani wakubwa.
Yaani iwe jua au mvua hilo deni haliwezi kulipika milele, litazidi kuongezeka maradufu na lazima rasimali zetu ziwekwe rehani kuweza kufidia. Kwa kifupi sana watanzania tumeuzwa kiujumla jumla.
CCM ilaaniwe.
Nchi iliyoendelea ipi niliyoitaja?Serikali gan masikin inafanya huo upumbavu. Unaifananisha Tanzania na nchi zilizoendelea? Pumbavu kabisa. No Wonder mkaona na Steve nae aende.
Kumbaff nyamaweeTunaendesha nchi
Tanzania inasonga mbele
Mama KeepGoing. NoExcuse
Next Tour Brazil @kawaze%fikra mpya
Then Nigeria + urusi
Sasa unataka tufikiri kwa akili zakoKumbaff nyamawee
Mradi hatujavuka viwango vya kukopeshwa ni pesa ndogo sana kwa uchumi unavyokuwa kwa kasi.