Mada gani mpuuzi wewe? una sifia ujinga tupu, waache kupewa PhD za heshima akina Biden, Netanyahau, Ramaphosa, Xi Jinping, Emmanuel Macron apewe bibi tozo kwa kukata umeme, maji, kukosekana dola, petrol kupanda kwa gharama za maisha n.k, hivi huwa mnatumia akili kweli nyie? umesema Nyerere hakupewa PhD ya heshima, Mwl hakupenda sifa za kipuuzi ndiyo maana hakuwai kuitwa Mhe wala Dr alipenda kuitwa Mwl au Ndugu. Nyerere alichukia rushwa kwa vitendo ndiyo maana hata familia yake hakutaka kuipendelea kwa chochote, sahivi nchi inaongozwa na Abdul