Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada kutoka kwa Yasser ArafatNayo imekopeshwa?
Bigot!Huyo Bibi ampishe Mpango kwenye kiti,Samia ni mweupe.Hivi tunataka tufikie hatua ya Ugiriki kufilisika kabisa ndiyo tujue hatuna Rais?
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kwanini mwaka 2021 lilikuwa Tsh ngapi? Lazima kuwe na historia ili tufahamu vizuri! Je ruzuku ya mafuta ya petroli inatoka wapi?Lakadiriwa kufikia takribani Trilioni 104
Ni ongezeko la zaidi ya bilioni 600 kwa mwezi
Kila Mtanzania anadaiwa karibu milioni 1.7
View attachment 2779419
Hatari sn
Kwan deni la taifa ni siri mkuuWamiliki wa gazeti hili wajiandae kufungiwa
Wala hakuna shida,deni linaliowa hata lingefika Trilioni 900 kinaendelea kulipwa.Lakadiriwa kufikia takribani Trilioni 104
Ni ongezeko la zaidi ya bilioni 600 kwa mwezi
Kila Mtanzania anadaiwa karibu milioni 1.7
View attachment 2779419
Acha propoganda nyepesi, viwango vya kukopa na kukopeshwa kwa nchi huwa vinaamuliwa na wanasiasa tu.Mradi hatujavuka viwango vya kukopeshwa ni pesa ndogo sana kwa uchumi unavyokuwa kwa kasi.
Mbona kaenda kimasikini sana, serikali zingine mwaliko wa Kiataifa inakwenda cabinet yote.
Ndege 10 mpaka 20 na zaidi. Mpaka magari ya Raisa huwa yanaenda kwa ndege. Tanzania kwenda mawaziri 9 mnalalamika, badilikeni, hii nchi haitafunguka mkiwa na mawazo ya kimasikini.
Think big to be big.
Huwezi kupunguza mikopo wakati bado hauna vyanzo vya kutosha vya kuiingizia nchi pesa.
Hii nchi iliwekewa misingi mibovu sana ya kiuchumi toka awamu ya kwanza. Mwinyi Mkapa na Kikwete walijitahidi sana, kila mmoja kivyake kuweka mambo sawa, yakaanza kuelekea kuwa vizuri sana, akaja mwendazake, kafumua fumuwa na kuharibu kila kitu, ndani ya muda mfupi sana.
Sasa japo tunaona mama Samia anajitahidi kuiweka sawa mifumo iliyofumuliwa. Tutegemee mema, lakini kuhusu madeni ni lazima tukitaka tusitake, hatuwezi kuyaepuka kwa sasa.
Lilikuwa trilioni 72Magufuli mpaka anakata moto deni la taifa lilikuwaje? Mama keshaongeza trilioni ngapi tangu aingie madarakani?
Ukumo wa madeni ya kimataifa huwa unaamuliwa na wanasiasa, pia wapo watu wanaweza kukukopesha kwa makusudi kabisa wakijua hutaweza kulipa huo mkopo.Wala hakuna shida,deni linaliowa hata lingefika Trilioni 900 kinaendelea kulipwa.
Cha muhimu hakuna mtu atakukopesha kama huna uwezo wa kulipa.
Mwisho Deni lenyewe ukilinganisha na GDP ratio hata 50% Bado ilhali Ukomo ni 75% na Kuna Nchi deni lao ni zaidi ya 100% ya GDP na maisha yanasonga.Deni la Nchi sio sawa na deni la mtu au taasisi
Wakifungiwa deni linapungua? Ccm wanaipukutisha Nchi huku Watz wakiwa kwenye usingizi wa pono.Wamiliki wa gazeti hili wajiandae kufungiwa
Enzi za magu walikua kimyaaaaaa
Mkuu ili tuwe na uelewa wa pamoja ungeweka takwimu ya kila mwaka kutoka 2011 hadi 2023 ukiambatanisha matumizi yake.
Kwa namna ulivyo weka taarifa yako ni rahisi wengi wetu kudhani kuwa deni lote hilo limeongezeka katika awamu ya 6 tu. Jambo ambalo sio sahihi.
Ukianisha mkopo na matumizi yake kwa kila mwaka tutaweza kuonana ni wapi kasi ilianza kujitokeza kwa kulinganisha matumizi yake.
Kwa kufanya hivyo tutaweza kutoa fair judgment!
Huna akili....
Deni lilotajwa ni la toka TUPATE UHURU.....
Lilianza wakati huu wa awamu ya 6?!!![emoji44][emoji44]
Kalaghabaho
Lifike tu, si mnapinga uwekezaji! maendeleo mnayataka lakini njia ya kuyafikia hamuitaki! msaidiweje?