MwanaHalisi: Deni la Taifa lakadiriwa kuongezeka na kufikia Trilioni 104

MwanaHalisi: Deni la Taifa lakadiriwa kuongezeka na kufikia Trilioni 104

Kumbe mama ana power. Sikufahamu kama ana uwezo wa kumtemesha mtu uspika.

Alivunja katiba kwenye hilo?
Kama wewe ni mwanamke uliyezaa, hivi hauna uchungu na watoto watanzania wajao na vizazi vyao!!? Unaweza kufanya dhihaka au kutetea hali hii Dada/Mama yangu!!?
 
Kama wewe ni mwanamke uliyezaa, hivi hauna uchungu na watoto watanzania wajao na vizazi vyao!!? Unaweza kufanya dhihaka au kutetea hali hii Dada/Mama yangu!!?
Vizazi vya sasa hivi visisome? Visile, visitibiwe, visisafiri?

Hivyo vizazi vijavyo ndivyo vinafanyiwa sasa hivi visije vyenyewwe vikakopa.
 
Back
Top Bottom