Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Kakuta miradi ya mikopo....Acha kutetea ujinga. Deni la mama Samiah ni Trilioni 30. Alikuta Deni Trilioni 70.
1)SGR
2)BWAWA LA MWALIMU NYERERE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakuta miradi ya mikopo....Acha kutetea ujinga. Deni la mama Samiah ni Trilioni 30. Alikuta Deni Trilioni 70.
Mi sijui mwesho wa haya mambo utakuwaje! Tuna lundo la madeni lkn ukiuliza nini tumefanyie hizo hela huwezi pewa jawabu.
Jirani...
[emoji1787][emoji1787]Una deni gani wewe, ungekuwa na madeni ungekaa unapiga porojo, kubwabwaja na kuhororoja hovyo JF?
Yes matajiri kweli, siyo utani. Hilo nakubaliana mwendazake na nilikuwa nalisea miaka mingi sana kabla ya jiwe.
Bila kuwa tajiri hukopeshwi pesa zote hizo. Huelewi mifumo ya fedha inavyofanya kazi wewe.MwanaHalisi: Deni la Taifa lakadiriwa kuongezeka na kufikia Trilioni 104
Now TZ milion 60+ After 20year Tutakuwa milioni 120+ Sasa lazima tuandae mazingira yajayo.www.jamiiforums.com
tuzo za kuruhusu wizi wa TanzaniteKubahatisha nini Bombay wakati Bombay kaenda kwa mwaliko wa Kitaifa na mizinga 21 kapigiwa?
Na tuzo ya shahada ya heshima kapewa Honoris Causa, ambayo imevunja rekodi ya Nyerere. Nyerere ilichukuwa miaka 24 kuonekana, mama imechukuwa miaka miwili na nusu tu.
Mama anaupiga kuliko messi ikija kwenye uongozi uliotukuka.
Marekani inaweza kopa milele bila shida kwa kuwa wanakopa kwa currency yao , huku yunakopa ba dollar tukitumia shillingi , kasome economics kabla ya kuandika utopolo .Nimeanza kulisoma gazeti hili nikiwa shule ya sekondari na kujifunza kitu:
✓Kila serikali inapokuwa na ziara za nje wao hutoa takwimu za deni la nje rejea safari za nje za utawala wa awamu ya 4....hapa namaizi Jambo kuwa ni WAZUA TAHARUKI NA NI WAGOMBANISHI.
✓Kila serikali inapopiga hatua za kiuwekezaji wao huja na ngonjera tofauti na kuibua malalamiko.....
Deni la nje linatokana na kukopa kwa ajili ya miradi ya MAENDELEO....Tanzania hatujafika CAP* ya kutotakiwa kukopa kwa kuwa na kiwango cha DOLA chini ya 1% ya hifadhi yake......
Mathalani taifa kubwa DUNIANI linaongoza duniani kwa kuwa na madeni makubwa ya nje....
#Samia na 4R's[emoji7]
Umeangalia lini mwisho interest rates za FED ???walikopa at 0 -0.50 % ,saizi ipo 5 -7 % as per socereign debt na ukichunguza keenly risk portfolio ye2 ipo juu kidogo kwa hyo rates zitakuwa juu kiasi kama nchi zote afrika.Mwanahalisi waelewe haya mambo.....
✓Unapokopa unawekeza katika miradi inayozalisha zaidi kuliko ile gharama ya kukopa(cost of borrowing).
Ukiangalia takwimu kutoka DESEMBA 2011 tulikuwa na deni la Chini (dola milioni 2469 hivi) na JULAI 2023 yaani miaka 12 baadaye (dola Milioni 30533 hivi)....
Tusisahau riba ya mikopo hiyo(interests rates)....
Kwa siku za karibuni tuna MIRADI MIKUBWA ambayo bado haijaanza KUTUREJESHEA FAIDA (SGR , BWAWA LA MWALIMU JKN,etc).
#SiempreJMT[emoji120]
EU kila raia anadaiwa DOLA 31,100....Marekani inaweza kopa milele bila shida kwa kuwa wanakopa kwa currency yao , huku yunakopa ba dollar tukitumia shillingi , kasome economics kabla ya kuandika utopolo .
UK ,South africa nk wanapitia debt distress na tujifanye haiwezi tufikia ????
Ujinga wako hauwezi kukoma mpk uingie kabulini.ni hasara kwa wazazi na familia yakoKubahatisha nini Bombay wakati Bombay kaenda kwa mwaliko wa Kitaifa na mizinga 21 kapigiwa?
Na tuzo ya shahada ya heshima kapewa Honoris Causa, ambayo imevunja rekodi ya Nyerere. Nyerere ilichukuwa miaka 24 kuonekana, mama imechukuwa miaka miwili na nusu tu.
Mama anaupiga kuliko messi ikija kwenye uongozi uliotukuka.
Kwa hiyo unataka kusemaje?,Nimeanza kulisoma gazeti hili nikiwa shule ya sekondari na kujifunza kitu:
✓Kila serikali inapokuwa na ziara za nje wao hutoa takwimu za deni la nje rejea safari za nje za utawala wa awamu ya 4....hapa namaizi Jambo kuwa ni WAZUA TAHARUKI NA NI WAGOMBANISHI.
✓Kila serikali inapopiga hatua za kiuwekezaji wao huja na ngonjera tofauti na kuibua malalamiko.....
Deni la nje linatokana na kukopa kwa ajili ya miradi ya MAENDELEO....Tanzania hatujafika CAP* ya kutotakiwa kukopa kwa kuwa na kiwango cha DOLA chini ya 1% ya hifadhi yake......
Mathalani taifa kubwa DUNIANI linaongoza duniani kwa kuwa na madeni makubwa ya nje....
#Samia na 4R's[emoji7]
.....2+2= 4Kwa hiyo unataka kusemaje?,
Uzuri deni linalipwa so hakuna shidaLakadiriwa kufikia takribani Trilioni 104
Ni ongezeko la zaidi ya bilioni 600 kwa mwezi
Kila Mtanzania anadaiwa karibu milioni 1.7
View attachment 2779419
Tena namshauri mama
Dubai ni sehemu poa sana kupumzika.
Katente huko Mpanda.....Mkuu