MwanaHalisi: Deni la Taifa lakadiriwa kuongezeka na kufikia Trilioni 104

MwanaHalisi: Deni la Taifa lakadiriwa kuongezeka na kufikia Trilioni 104

Mi sijui mwesho wa haya mambo utakuwaje! Tuna lundo la madeni lkn ukiuliza nini tumefanyie hizo hela huwezi pewa jawabu.

Una deni gani wewe, ungekuwa na madeni ungekaa unapiga porojo, kubwabwaja na kuhororoja hovyo JF?
 
Kubahatisha nini Bombay wakati Bombay kaenda kwa mwaliko wa Kitaifa na mizinga 21 kapigiwa?

Na tuzo ya shahada ya heshima kapewa Honoris Causa, ambayo imevunja rekodi ya Nyerere. Nyerere ilichukuwa miaka 24 kuonekana, mama imechukuwa miaka miwili na nusu tu.

Mama anaupiga kuliko messi ikija kwenye uongozi uliotukuka.
tuzo za kuruhusu wizi wa Tanzanite
 
Nimeanza kulisoma gazeti hili nikiwa shule ya sekondari na kujifunza kitu:

✓Kila serikali inapokuwa na ziara za nje wao hutoa takwimu za deni la nje rejea safari za nje za utawala wa awamu ya 4....hapa namaizi Jambo kuwa ni WAZUA TAHARUKI NA NI WAGOMBANISHI.

✓Kila serikali inapopiga hatua za kiuwekezaji wao huja na ngonjera tofauti na kuibua malalamiko.....

Deni la nje linatokana na kukopa kwa ajili ya miradi ya MAENDELEO....Tanzania hatujafika CAP* ya kutotakiwa kukopa kwa kuwa na kiwango cha DOLA chini ya 1% ya hifadhi yake......

Mathalani taifa kubwa DUNIANI linaongoza duniani kwa kuwa na madeni makubwa ya nje....

#Samia na 4R's[emoji7]
Marekani inaweza kopa milele bila shida kwa kuwa wanakopa kwa currency yao , huku yunakopa ba dollar tukitumia shillingi , kasome economics kabla ya kuandika utopolo .
UK ,South africa nk wanapitia debt distress na tujifanye haiwezi tufikia ????
 
Mwanahalisi waelewe haya mambo.....

✓Unapokopa unawekeza katika miradi inayozalisha zaidi kuliko ile gharama ya kukopa(cost of borrowing).

Ukiangalia takwimu kutoka DESEMBA 2011 tulikuwa na deni la Chini (dola milioni 2469 hivi) na JULAI 2023 yaani miaka 12 baadaye (dola Milioni 30533 hivi)....

Tusisahau riba ya mikopo hiyo(interests rates)....

Kwa siku za karibuni tuna MIRADI MIKUBWA ambayo bado haijaanza KUTUREJESHEA FAIDA (SGR , BWAWA LA MWALIMU JKN,etc).

#SiempreJMT[emoji120]
Umeangalia lini mwisho interest rates za FED ???walikopa at 0 -0.50 % ,saizi ipo 5 -7 % as per socereign debt na ukichunguza keenly risk portfolio ye2 ipo juu kidogo kwa hyo rates zitakuwa juu kiasi kama nchi zote afrika.
Hyo liberal thinking eti as long as cost of borrowing ipo chini itastimulate economy in the long run ni false narrative ambayo nchi kama argentina , sri lanka inetufunza nayo . Deni ni deni tu lazima ilipwe in foreign currencies ambazo hatuna .
 
Marekani inaweza kopa milele bila shida kwa kuwa wanakopa kwa currency yao , huku yunakopa ba dollar tukitumia shillingi , kasome economics kabla ya kuandika utopolo .
UK ,South africa nk wanapitia debt distress na tujifanye haiwezi tufikia ????
EU kila raia anadaiwa DOLA 31,100....
 
Kubahatisha nini Bombay wakati Bombay kaenda kwa mwaliko wa Kitaifa na mizinga 21 kapigiwa?

Na tuzo ya shahada ya heshima kapewa Honoris Causa, ambayo imevunja rekodi ya Nyerere. Nyerere ilichukuwa miaka 24 kuonekana, mama imechukuwa miaka miwili na nusu tu.

Mama anaupiga kuliko messi ikija kwenye uongozi uliotukuka.
Ujinga wako hauwezi kukoma mpk uingie kabulini.ni hasara kwa wazazi na familia yako
 
Nimeanza kulisoma gazeti hili nikiwa shule ya sekondari na kujifunza kitu:

✓Kila serikali inapokuwa na ziara za nje wao hutoa takwimu za deni la nje rejea safari za nje za utawala wa awamu ya 4....hapa namaizi Jambo kuwa ni WAZUA TAHARUKI NA NI WAGOMBANISHI.

✓Kila serikali inapopiga hatua za kiuwekezaji wao huja na ngonjera tofauti na kuibua malalamiko.....

Deni la nje linatokana na kukopa kwa ajili ya miradi ya MAENDELEO....Tanzania hatujafika CAP* ya kutotakiwa kukopa kwa kuwa na kiwango cha DOLA chini ya 1% ya hifadhi yake......

Mathalani taifa kubwa DUNIANI linaongoza duniani kwa kuwa na madeni makubwa ya nje....

#Samia na 4R's[emoji7]
Kwa hiyo unataka kusemaje?,
 
poverty-in-Tanzania-530x352.jpg

Na hawa Watanzania wanadaiwa 3.4 Milions?.
 
Back
Top Bottom