JPM aliujuwa huu mtandao alikuwa anataka kuwamaliza kabisa hawa lakini kuna watu waliomba msamaha yaishe ndio Nape akaenda kutoa siri zote ikulu ndio kusamehewa, Mama akaja akasema tuanze upya akawasamehe shughuli yake akaiona, kaambiwa Mama hawa watakumaliza, lazima mjuwe CCM kuna ujasusi wa hali ya juu huwezi kufanya jambo lisijulikane. Tofauti tu JPM alikuwa hana mswalie mtume Mama akaona niwe mpole ila ameshaambiwa hawa hawafai kawapiga chini, Mnaona kimyaa chao kina Nape na Makamba, sio bure wanajuwa wako chini ya Radar na wameambiwa kaa kimyaa au utapotea kisiasa. Sasa mwakani ndio utaona watu wana roho mbaya likija suala la siasa ndani ya CCM na fitna, hakuna huruma.