Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #121
Itafahamika tuHao ni wasindikizaji tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itafahamika tuHao ni wasindikizaji tu!
Seen but not available..Cheki last seen yake
Wewe utaachia uongozi wa kampuni yako binafsi? Akipata mrithi kutoka kwenye familia yake atamrithisha uenyekiti.Mbowe anaachia lini uwenyekiti?
Hatakiwi na akina nani ??!Hilo liko wazi huo ni mwanzo tu mbona watamalizana na kupoteana sa100 hatakiwi ndo maana anatoa rushwa huko misikitini na makanisani
Mtaweweseka sana Wajinga nyie!Wewe utaachia uongozi wa kampuni yako binafsi? Akipata mrithi kutoka kwenye familia yake atamrithisha uenyekiti.
Huwa tunapotea sana kugandisha 'medula oblongata' na kubweteka kiasi hicho!Hayupo wa kushindana na mama,I wish her all the best
Kwani ni akina nani hao wanataka kugombea ??!Kwa nini mtoe form moja? Wengine hawana haki ya kugombea?
Duh 🙄 !Kivipi, kwa njia ipi?!
Kwa taarifa yako machawa wapo tayari hata kuua ili awe
ao watatu ni akina nani ??!Hao wanaCCM watatu huenda kwa kushawishiwa au kwa ukaidi wao wenyewe wameamua kupuuza hatari ya kutaka kumtikisa mwenyekiti wa CCM ambaye bado muda wake haujaisha. CCM itashughulika nao wakivuka mstari wa ustaarabu.
Aruhusu form zaidi ya moja aone atakavyogaragazwa hadi apate kiharusiHayupo wa kushindana na mama,I wish her all the best
Sio Marope,Pena na Madeluu kweli!!?H
ao watatu ni akina nani ??!
Labda ! 😅Sio Marope,Pena na Madeluu kweli!!?
nafikiri katiba yao inawaruhusu kuchukua fomu na kugombea,ccm achen uoga wa panziHao wanaCCM watatu huenda kwa kushawishiwa au kwa ukaidi wao wenyewe wameamua kupuuza hatari ya kutaka kumtikisa mwenyekiti wa CCM ambaye bado muda wake haujaisha. CCM itashughulika nao wakivuka mstari wa ustaarabu.
mbona mapema sana meanzakuwa wapole hadi hurumaMwacheni Mama amalize ungwe yake ...
mbona mapema sana meanzakuwa wapole hadi hurumaa
Watajengewa makazi ya kudumu hapa Dar es Salaam na kurejeshwa kwenye kile kilinge cha wazee washauri utaona. Ila upinzani upo pale pale.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba huko ccm maji yamekorogeka, Tayari Wagombea wa Urais 2025 wameanza kujitokeza.
Habari zaidi zinadokeza kwamba Uwashike Wazee au usiwashike hakutakuwa na Mswalie Mtume
Wanaotaka kugombea ndio waoga 🙄nafikiri katiba yao inawaruhusu kuchukua fomu na kugombea,ccm achen uoga wa panzi
Wewe mlamba matakoh maskini ,hohehahe uliyesahaulika wenzio wanapata kitu. Wewe unaishia kubemendwah tu mara na Kafulilah mara na Makondah. Hakuna mgombea rahisi kumwangusha kwenye uchaguzi huru kama samia.CHADEMA mnahangaika sana na kuteseka kama wagonjwa .Mnamuogopa Sana Rais Samia maana mnajuwa kuwa hamna ubavu wala uwezo wa kushindana naye katika sanduku la kura hapo mwakani.
Fomu ya Urais ndani ya CCM ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.View attachment 3139486