Mwanajeshi ajinyonga, aandika ujumbe kwa mke wake "Naomba uwatunze watoto nimejitahidi nimeshindwa"

secret behind.
 
Ukiona mambo magumu kabla ya kujiua nenda pahala ukiwa peke yako na pasiwe na watu, ongea na Mungu kwa sauti kinachokusibu, eleza unavyojisikia na unachotaka kufanya.God is real
 
Hapo kitu cha kwanza ni kuangalia kama mwandiko ni wake au lah. Cha pili ni kufuatilia simu yake na tatu kumchukua maelezo mkewe kuhusu tabia na mwenendo wake na alikuwa anasumbuliwa na nini
 
Pole kwa Marehemu, wafiwa, wazazi, mke wa Marehemu, watoto wa Marehemu, ndugu, Jamaa, marafiki na taifa kwa ujumla

R.I.P William Chacha Giriago

Mwanga wa Milele umpe
Ee Bwana
Astaarehe kwa Amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…