Mwanajeshi ajinyonga, aandika ujumbe kwa mke wake "Naomba uwatunze watoto nimejitahidi nimeshindwa"

R. I . P soldier. Mimi kwa haraka haraka nahisi atakuwa alipima akakuta ameathirika na ngoma ( HIV)
 
Unakuta wanamwaga damu zisizo na hatia
 
Mama Derrick kama unasoma ujumbe huu pole kwa msiba njoo PM tuwalee watoto wa poti mwenzangu.
 
Polisi stress zao nasikia zipo kwenye njaa ya hela,nasikia wana njaa hao.[emoji23]
 
Ujumbe ndio uniaminishe kuwa kajinyonga mimi ntakua mtu wa mwisho mpaka pale uchunguzi wa kina utakapoleta majibu huko makazini pana mambo mengi sana...wahuni kusikia ndoa zinavunjika sana wametumia huo mwanya kumpa kesi mama mjane...
 
Ukiona mambo magumu kabla ya kujiua nenda pahala ukiwa peke yako na pasiwe na watu, ongea na Mungu kwa sauti kinachokusibu, eleza unavyojisikia na unachotaka kufanya.God is real
Upo sahihi, Mimi nimeona nguvu za Mungu kabisa ukiongea nae kama baba, na sio kumpigia kelele na kulia lia.
 
Kuna watu huwa wanaandikishwa ujumbe na wosia wa mali zao at gun point, na wanasheria njaa kama yule wa Klynn wanapewa mgao na kugonga mhuri. Nothing should be taken for granted, wachunguze hasa
Bahati mbaya kabisa hatujafikia kufanya uchunguzi wa akili kubwa kiasi hicho, very sad!
 
Hakuna watu wanaishi kwa stress kama Hawa,Tena wale wa vyeo vya vya chini,jeshini Kuna dhuluma sana,unadhulumiwa stahiki zako,huwezi kubisha maana wakubwa wanatumia amri za kijeshi,basi unaumia ndani kwa ndani!
Huyu angeenda kuwalipua ccm kifo chake kingekuwa poa.
 
Awa watu wanalitiaga stress kubwa sana aisee uyu nae kajinyonga...wenyewe wanasema amekufa kiboya na Mizinga ya heshima hatopigiwa wala hatoagwa kijeshi
Na mbinguni Sir God ana kesi naye pia... Kiufupi kakosa bara na Pwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…