TANZIA MwanaJF Saint Anne, amefiwa na baba yake mzazi leo

TANZIA MwanaJF Saint Anne, amefiwa na baba yake mzazi leo

Asante sana Glenn kwa upendo na kujali, tayari tuna uzi mwingine kama huu japo jukwaa tofauti[emoji1545][emoji1545][emoji1545]

 
Tunaombea picha ya saint Anne
Sawa

giphy.gif
 
Jah awape faraja na uvumilivu wafiwa ktk kipindi hiki kigumu kwao, kwa kuondokewa na mpendwa wao.

Mpendwa baba ampumzike mahala salama huko alipo.

Raha ya milele umpe eeh bwana, na mwanga wa milele umuangazie,
Mpendwa wetu astarehe kwa amani, AMEEEEEEN [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom