TANZIA MwanaJF Saint Anne, amefiwa na baba yake mzazi leo

Pole sana Saint Anne ...
 
Nashindwa nianzie wapi kuongea[emoji24][emoji24][emoji119]..
Bado naendelea na ratiba za maombolezo.

Niwieni radhi nimecheelewa kuwajibu.
Ratiba bado imenibana, nikitulia vizuri nitarudi hapa.

Mungu awabariki wana jamiiforum,
Upendo mliouonyesha kwangu nashangaa kabisa,sijawahi kuupata katika mitandao mingine.
 
Poleeeh sana cc, kazi ya mola haina kosa, Jah awape nguvu na uvumilivu mkuu ktk kipindi hiki kigumu kwenu,
Mpendwa wetu astarehe kwa Amani, Ameeeeeeeen.
 
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Pole sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
 
Pole Sana Mkuu

Tunapambanaga humu kisa ubikira.

Lakini Kwa hili naungana na wewe kumuombolezea Mzee wetu.
Mungu amtie nguvu katika kipindi hiki
Pole kwake! Mungu awe mfariji wake mkuu.
Mungu amtie nguvu
Pole sana Saint Anne na familia

Mungu awape imani na utulivu kipindi hiki kigumu
Pumziko La Amani apate Mwendazake.....Pole kwa Wafiwa.
Pole mpenzi Saint Anne.

Mkuu Mshana Jr tukikutana mazikoni itakuwa njema
Pole Madam.
Mungu akutie nguvu Saint Anne
Pole sana Anne
Pole kwako madam mama wa likes
Apumzike kwa amani baba
Anne poleni sanaa na msiba wa Baba.


Mshana ingekuwa vyema ukaeleza msiba upo wapi ili watakaopata wasaa waweze kufika kuifariji familia. Poleni tena
Mungu awape faraja kuu wafiwa, na roho ya marehemu ipumzishwe pema peponi!
Pole sana kwake mwenyezi Mungu amfanyie wepes katka kipindi hiki kigumu inshaallah
Pole sana kwake.
Amen
Akhsante.

Maumivu ni Makali mno ila namshukuru Mungu. [emoji24]

Mungu awabariki.
 
Amen
Akhsante.

Maumivu ni Makali mno ila namshukuru Mungu. [emoji24]

Mungu awabariki.

Pole sana Saint Anne

Mungu ashukuriwe kwaajili ya zawadi ya uhai wa baba hapa duniani na kwenye maisha yako; amemaliza kazi yake sasa amepumzika Paradiso

"usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu." - [Isaya 41:10]

"Maskini na wahitaji wanatafuta maji, wala hapana; ndimi zao zimekauka kwa kiu; mimi, Bwana, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha." - [Isaya 41:17]

"Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtu Hata milele. Maana ajapomhuzunisha atamrehemu, Kwa kadiri ya wingi wa huruma zake. Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu. Wala kuwahuzunisha. "[Maombolezo 3:31-33]
 
Pole mama D
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…