Kuna alert ilikuja kichwani,I am worried about this lady. I hope she will be okay after going through the most difficult time in her life of losing a parent. Alianza kunyongβonyea mara baada ya kujua Baba yake ni mgonjwa.
Maumivu ni makali mno[emoji119].Dear Saint Anne, I am really sorry for your loss. I truly know what you are going through, it's never easy to lose a parent. Stay strong dear.
Sending you prayers and comfort.
Pole Saint AnneKuna alert ilikuja kichwani,
Kila nikitaka nipuuzie naona inagonga.
Kila nikijaribu kumsihi Mungu abadilishe maamuzi ilishindikana,
Nikahisi ananitania,ila akafanya kweli.
Mungu huyu[emoji24],
Hakutaka japo kunisikia masikini mimi.
Binti mdogo namna hii nampoteza mzazi[emoji119]
Prayers and Comfort to you st Anne..May allah give you courage to overcome.....
Pole sana Saint Anne
Weka picha yake, pole sana wafiwa
Pole mdau St Anne
Mungu akawe mfariji wako dia Saint Anne
Pole sana
Mungu akupe nguvu katika kipindi hichi Saint Anne.
Pole sana
Mtakatifu pole mama..Mungu awatie nguvu.Roho ya baba yetu iendelee kupumzika kwa Amani.
Pole mwana familia mwenzetu kwa msiba mzito
Poleniana sana mtakatifu Saint Anne na bazazi mla nyama za wachuchu Mshana Jr
Mungu awafanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu kwenu
Namwomba Mungu amrehemu mzazi wetu. Amen
Pole sana Saint Anne ,Mungu awatie nguvu katika wakati huu mgumu
Pole sana madam mungu akutie nguvu ktk kipindi hk kigumu amen
Inna lilahi...pole Anne
Pumzika kwa amani mzee wetu...pole kwa wanafamilia wote
Pole kwa wafiwa wote
Tujitahidi tuchangie chochote hata 2000/= kwa wingi wetu zitasaidia pahala.
Jah awape faraja na uvumilivu wafiwa ktk kipindi hiki kigumu kwao, kwa kuondokewa na mpendwa wao.
Mpendwa baba ampumzike mahala salama huko alipo.
Raha ya milele umpe eeh bwana, na mwanga wa milele umuangazie,
Mpendwa wetu astarehe kwa amani, AMEEEEEEN [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Poleni sana Ndugu Jamaa na marafiki waliondokewa na Mzee..
My heartfelt condolences Dear Saint Anne ...May God's peace and love lift you and your family from sorrow.
Pole sana Saint Anne
Pole sana Saint Anne
Pole sana St. Anne na familia nzima. Rest in eternal Peace Baba St. Anne.
Aisee.. pole nyingi kwako na kwa familia nzima..... Mungu awavushe ktk kipindi hiki kigumu cha majonzi
Pole Sana,Tunamuombea mzee wetu apumzike kwa amani
Pole sana mdugu
pole sana ndugu yetu.
apunzike kwa amani mzee wetu.
Pole sana Anna, Mungu awe mfariji wako/wenu my dear
Pole sana bidada...mzee apumzike kwa amani[emoji120]
Pole zimfikie katika kipindi chote hichi kigumu anachopitia.[emoji120]
Pole sana wafiwa wote.
Let him Rest Peacefully in Paradise.
Huu uzi sikuuona.
Mungu amtie nguvu swahiba wetu.
Mungu amtie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Pole kwake kwa kumpoteza baba
R.I.P
Pole sana Saint Anne ...
Amen Amen[emoji24][emoji24].Stay strong, Anne
Tunakupenda mtumishi mwenzetu
Pole sna SaintAnne.
Pole sana mtakatifu Anne kwa kuondokewa na mzee wako.
Mwenyezi Mungu akutie nguvu.
Pole sana Saint Anne kwa msiba
Amen[emoji24]Pole sana [emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Mungu akutie nguvu SA. I pray for YouAmen Amen[emoji24][emoji24].
Ameenda[emoji120]
Yaani Mungu amenihuzunisha[emoji24]Pole sana Saint Anne
Mungu ashukuriwe kwaajili ya zawadi ya uhai wa baba hapa duniani na kwenye maisha yako; amemaliza kazi yake sasa amepumzika Paradiso
"usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu." - [Isaya 41:10]
"Maskini na wahitaji wanatafuta maji, wala hapana; ndimi zao zimekauka kwa kiu; mimi, Bwana, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha." - [Isaya 41:17]
"Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtu Hata milele. Maana ajapomhuzunisha atamrehemu, Kwa kadiri ya wingi wa huruma zake. Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu. Wala kuwahuzunisha. "[Maombolezo 3:31-33]
Pole sanaYaani Mungu amenihuzunisha[emoji24]
Nilimsihi sana sana lakini hata hajataka kunisikia.
Ila mwenyewe atajua namna ya kunitoa huku.
Mungu ampe nguvu mwanajamii yetu.
Poleni sana Anne
Poleni sana familia Mungu ndiye mfaridi wetu daima tumtegemee yeye.
Pole sana ade......
Amen Amen,[emoji24]Pole MUNGU atakupa nguvu utashinda
Hawezi kukupitisha kwenye hayo mapito alafu akakuacha
Nktajaribu tena kujibu.Amen,Aisee labda kulijifunga bahati mbaya kwa kweli sina sababu ya kufunga pm.
Hata mimi najua ila kuyapokea haya imekuwa vigumu mno[emoji24]Pole sana, I know what you are going through.
Ila kumbuka kila jambo hutokea kwa sababu.
Amen[emoji24][emoji120]Ndaga mwakupikila uchala akupe amaka ya kusumuka na abhape ulugano pa kaja
Maana umwene nyumba ingatala gwo patatenganite pakuja pakafu sana
Uchala abhape ulwangalo mwi bhana wa mfimba mweshi
Ndaga uchala akusaje
Yaani dada ,Endelea kuomba Mungu ampe uzima huyo baba.Yaani anne niliogopa as na mm nauguliwa na baba ..nilipiga picha.mpk leo haijaja! ..sitak kujua hizo experience...! Nikimkumbuka najipooza na wine kwanza...!
Nakuomba ujipe moyo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]!
Nb..ile namba haikua yako .nilipga akapokea men[emoji19]! Pole mdogo wangu!
pole kwake.Wapendwa wana JF, mwenzetu Saint Anne, amefiwa na baba yake leo. Ninaomba tu kila mmoja wetu kwa Imani yake; amuweke Anne na familia nzima kwenye maombi. Mungu akawafariji, akawatie nguvu na kuwavusha salama katika kipindi hiki kigumu sana na chenye majonzi kwao. BWANA Alitoa, na BWANA Ametwaa, Jina la BWANA na libarikiwe.
Baba marehemu alikwenda Mbozi kusalimia, akiwa huko aliugua ghafla na kulazwa, bahati mbaya umauti ukamkuta. So bado taratibu nyingine za kifamilia zinaendelea, ila msiba na kila kitu kitamalizikia huko Undali.
NB: kama kutakuwa na taarifa yoyote zaidi tutajulishana hapa
Updates kwa yeyote atakayejisikia kwa namna yoyote ile kumshika mwenzetu mkono number ni 0756 865 385 Abel Kahava hapa
Amen[emoji120]Nimempenda sana Saint Anne japo ametoka kufiwa na mtu wa karibu sana ila nae amekuwa muungwana mno wa kujibu hizi pole zetu
Hii kitu unaweza kuona ni jambo dogo sana kuifanya kwakuwa humu wala hatujuani, ila kwa kwa kujibu tu hizi pole ni wazi itamsaidia sana kupunguza huzuni haraka bila yeye kujua.
Kwa uzoefu wangu maranyingi unapokuwa na shida au tatizo na ukawa unaliongea au walau kupata mtu wa kuongea nae inasaidia kutua mzigo wa lile tatizo au kupunguza huzuni wa line tatizo.
Pole sana na Credit zikufikie pia Mshana kwa kutambua hili tukio, maana sisi wengine wala hatujuani humu na kuna wakati kuna member wanafariki na wala hatujui kwa kuwa humu wengi hatutumii majina halisi.
Kua na amani madamNahisi naota ila siyo ndoto.
Kweli baba hayupo[emoji24]
Akhsanteni,
Mungu awabariki.
πππππππYaani dada ,Endelea kuomba Mungu ampe mzima huyo baba.
Mimi pamoja na kuomba kwangu kote ila ikashindikana[emoji24],,maumivu yake hayabebeki[emoji119][emoji119]Ukizingatia Mimi ndiye mtoto pekee niliyebakia nyumbani.
Namba ni ya ndugu yangu,si yangu.
Bahati mbaya hakuna aliyefanikiwa kuongea na mimi hadi Sasa,,siwezi kustahimili kuongea na simu kwa Sasa.
Hadi akili itakapokaa sawa ndio nitaweza pokea simu.
Sijui maisha yatakuwaje.Pole Saint Anne
Mungu ana mizungu mingi, maisha yataendelea hata usijue yaendaje...
Mshukuru Mungu umeweza kuishi na baba hadi umri huo uko nao, kuna watu wanapoteza wazazi wao huku wakiishia kuwajua kwa kusimuliwa tu...
Pole mwaya, Mungu azidi kukupa nguvuAmen[emoji24][emoji120]
Mungu huwa hakosei.
Ila ameniumiza mno,,hakutaja japo kunusikiliza maombi yangu[emoji24]