Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

Mwanamitindo nguli Flaviana Matata hatimae amekiri kutalikiana na aliyekuwa mume wake

ndoa zina kanuni constant milele,hakuna namna inaweza kubadilisha hiyo asili.

watu maarufu na wenye kipato huwa wanajichanganya na kuja na kanuni nyingine kwenye ndoa zao,wanapoteza kimoja wapo.

umeolewa usiku uko kwenye event za kibiashara na watu wengine.
umeolewa jamaa anakula peke yake mgahawani au home peke yake.
umeolewa watoto na mume wanahudumiwa na wasaidizi wa kazi.

kuwa mke wa mtu ni fani nyingine ambayo inahitaji muda maalum kwenye maisha ya mwanamke sio sehem tu ya muda wake.
Bonge la comment yenye ujazo wake! 💪💪
 
Yaani sijui kwa nini watu kwenye ndoa waki achana wanawake ndio hulalamika, ila wanaume kimya na unaweza kuta hawana kosa hata kidogo ila wameamua kuya hifadhi.
Nani sasa kalalamika!!
Nenda mmu uone wanaoongoza kwa kulalamika.
 
Vijana wa humu kwa kuhukumu wameshindikana. Na hapo wanaandika mengi sababu tu wanaona Flavy sio level yao. Vijana wa JF wana tatizo na pisi kali na wadada celebrities. Yani ukishakua maarufu tu tayari we una shida

Hii issue inashangaza, Flavy hajawahi kuongelea hii issue na aliiweka private sana kiasi kwamba watu hawakuwahi kujua kama ndoa yake imeisha, Tofauti na celebrities wengine

watu wanamuongelea negatively kwa sababu zipi maana binafsi naona ame_handle hii issue kwa kiwango kikubwa cha maturity.. Watu wana issues kwa famous and successful people indeed
 
Hii issue inashangaza, Flavy hajawahi kuongelea hii issue na aliiweka private sana kiasi kwamba watu hawakuwahi kujua kama ndoa yake imeisha, Tofauti na celebrities wengine

watu wanamuongelea negatively kwa sababu zipi maana binafsi naona ame_handle hii issue kwa kiwango kikubwa cha maturity.. Watu wana issues kwa famous and successful people indeed
Si ndio hapo sasa!! Its like watu wanachukulia experience za failure zao wanamuunganisha na Flavy humo humo.
 
Wewe umetekwa kama ulivyosema mwenyewe, sasa walio kuteka WAMEKUFANYA VIBAYA na ndio maana ukasema mwenyewe bora mgao wa maji kuliko kutekana.

Naona babycare hujaipenda nitakuletea Ile Kali zaidi.
 
Naona babycare hujaipenda nitakuletea Ile Kali zaidi.


Mimi nina chojua ulicho kiandika ww kwamba ulitekwa, ukawekwa ndani, itakuwa UMEFANYWA vibaya ndio maana kwako bora mgao wa maji kuliko kutekana.
 
ndoa zina kanuni constant milele,hakuna namna inaweza kubadilisha hiyo asili.

watu maarufu na wenye kipato huwa wanajichanganya na kuja na kanuni nyingine kwenye ndoa zao,wanapoteza kimoja wapo.

umeolewa usiku uko kwenye event za kibiashara na watu wengine.
umeolewa jamaa anakula peke yake mgahawani au home peke yake.
umeolewa watoto na mume wanahudumiwa na wasaidizi wa kazi.

kuwa mke wa mtu ni fani nyingine ambayo inahitaji muda maalum kwenye maisha ya mwanamke sio sehem tu ya muda wake.
Dah mkuu umeongea madin sana.
Baada ya miaka almost 10 ya ndoa yangu nimeanza kuona changes kwa wife
 
Hakuna mtu anayeingiaga kwenye ndoa ili baadae ivunjike.
Kwahiyo elewa kila kuvunjika kwa ndoa kuna maumivu makubwa kwa aliyeingia kwenye ndoa hiyo kwa nia njema
Na hayo maumivu yapo kwa wanawake tu sio? Wanaume wala hauwaumii eeh!!?!.
Yan katika kipind nataman hata kuvunja ndoa ni hiki..
Acha tu niendelee kukaza mpaka nirud kwenye peak yangu..
 
Kumbe huyu mwanamke akiolewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
W
Na hayo maumivu yapo kwa wanawake tu sio? Wanaume wala hauwaumii eeh!!?!.
Yan katika kipind nataman hata kuvunja ndoa ni hiki..
Acha tu niendelee kukaza mpaka nirud kwenye peak yangu..

Wote wanaumia...... ila kuna wengi wa wale wanaoumia na kuishia kuongea; na wale wanaoumia na kuishia kujiua na kuua kwa gunia2 za mkaa
 
Back
Top Bottom