Sina nini? Hao wanaotoa sijui nini ndio huwa wanajinuonga,ndio huwa wanalia wanawake ma ndio huwa wanavurugika maisha wakiachwa..
Mtu kama mimi napenda kuwa peke yangu mda mwingi na aidha kukaa na simu au kusafiri for adventure ndio furaha yangu kwa hiyo upuuzi wowote kwangu sivumiliagi..
Binafsi naishi na mwanamke kwa ajili ya kulea watoto tuu na si vinginevyo..