Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Nakupinga.
Me nguo zangu zote ni black tupu sionag shida kabisa. Hata zikifanana huwa sioni shida na huwa wananionaga wa tofauti awa viumbe

Zinatofautiana design na designers ukiondoa rangi,SS,shati jeusi suruali nyeusi Jana kama Leo. Inawezekana kwa kuamua na kujizoesha kwa tabu.
 
PESA, FWEDHA, HELA, SHILINGI, MAVUMBA, MPUNGA e.tc....
 
Hilo siyo haramu kisichotakiwa ni kumuingia kinyume na maumbile. Ila tumeruhusiwa kuwaingilia wake tunavyopenda wakafananishwa na "Konde (Shamba)" tuwaingilie tunavyopenda kwa maana ya style, akae juu, abinuke alale kiubavu haina shida ils haramu kumuingilia kwenye tupu ya nyuma.
 
Mada yako umeandika kuhusu mwanamke anayetafuta attention ya wanaume, Mimi nimeandika kuhusu mwanamke anayetafuta attention ya mume wake. Tunaongelea watu wawili tofauti. Mf. kuna wanawake hutowaona wamevaa nguo za kubana nje, lkn yupo mwanaume anayemuona nazo

* wanaume siku hizi wanahangaikia sana muonekano, kwanza ana dressing table halafu Ina makorokoro kuliko dressing table ya mwanamke, sijui ni kukosa kazi za kufanya. Lkn moja ya sababu ni mitandao na biashara za watu, leo imegundulika wave unapaka, kesho imetoka scrub unaenda, keshokutwa kutengeneza kucha na miguu nk. Ni wahanga wa utandawazi

* sasa hao wanaotaka kumfanya mume msukule/zezeta wengine ni wagonjwa wa akili, kwanza kitendo tu cha kumuendea mtu kwa mganga inaonyesha kuna shida kwenye medula, hata kiroho pia una shida

* Yes napenda wali, unalima mpunga??
 
Yaani huko juu ulianza vizuri ila ulivomalizia sasa ndo nimechoka
 
Hakuna mwanamke anaechoka kusifiwa hata kama ni mara mia kwa siku, tena ukimsifia mwanamke wako wakati mwingine atafanya vizur zaidi ila kama anachofanya huoneshi kuappreciate anakata tamaa anaanza kukuona hauko romantic au humpendi
Ok soo unatakiwa kumwambia bby napenda muonekano wa tako lako ukivaa leggings.....jamani bby i love it wen u smile.
 
Nahisi hili andiko nililisoma sehemu na likihusiana na Dini yenu. Ngoja nimwalike FaizaFoxy anipe ilmu juu ya hili
 
Sasa sii ndio unipe connection za huko

Nenda kachek totozzz
 
Hamshindi mwenye uhitaj wa ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…