Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Mwanamke akikosa attention anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi​

ATTENTION:TUKO KWENYE ZAMA ZA 50% KWA 50%, WABADIRIKE WAACHANE NA ATTENTION ZA KIJINGA JINGA.
KUPATIKANA KIRAHISI: BIDHAA INAYOPATIKANA KWA URAISI BEI YAKE SIKU ZOTE IKO CHINI..
 
Amekuona huna maana ndo mana akatoka na mwingine, miezi 3 hujala mzigo ilhali yeye anahitaji unafikiri nini? pole

kama kutokuwa na maana ni kutokumtomba basi wanawake hawaeleweki, kumbe ningemweka siku ya pili tu aisee hahaha
Wee jamaa unafeli sana asee mwanamke akishakukubalia pale unapomtongoza basi anakua kashakubali kusex nawe muda wowote tu kama nafasi ipo yaani wewe tu umwambie na hatakushangaa coz wote wanajua universal/Prime purpose ya mwanamke kwa mwanaume ni kusex. Sasa wewe unakaa 3months unategemea huyo mwanamke atakuonaje?? Lazima atafute mwingine anayejua kazi ya mwanamke kwa mwanaume.

Usimuonee huruma mwanamke kwenye swala la mapenzi 🚶🚶🚶
 
Wee jamaa unafeli sana asee mwanamke akishakukubalia pale unapomtongoza basi anakua kashakubali kusex nawe muda wowote tu kama nafasi ipo yaani wewe tu umwambie na hatakushangaa coz wote wanajua universal/Prime purpose ya mwanamke kwa mwanaume ni kusex. Sasa wewe unakaa 3months unategemea huyo mwanamke atakuonaje?? Lazima atafute mwingine anayejua kazi ya mwanamke kwa mwanaume.

Usimuonee huruma mwanamke kwenye swala la mapenzi 🚶🚶🚶
KUDOS..
 
Ndiyo, katika mavazi bila kujali jinsia kila mtu anavaa aonekane kapendeza, ndio maana haununui nguo za aina moja tu hata kama unafanya kazi ofisini, yani ununue mashati 100 meupe, na suruali 50 za rangi moja labda dark blue. We dress to impress.
Ukipendeza tu lazima utake kutoka nje...
Nakupinga.
Me nguo zangu zote ni black tupu sionag shida kabisa. Hata zikifanana huwa sioni shida na huwa wananionaga wa tofauti awa viumbe
 
Ngoja na me nitoe my confession.

Nikiwa ndio naanza form one katika shule fulani hivi ya boarding nilikutana na bro fulani nae alikuwa ni mgeni pale shule. Basi room tuliyokuwa tunakaa tulikuwa wageni wote yaanicnew comer.

Katika stories mbili tatu huyu bro alikuwa smart sana nakumbuka aliniambia wanangu katika maisha haya kuwa kauzu usitabirike kabisa kuwa na mambo yako tu.
Basi nikiwa ndio nipo form one hata sketi sijui basi nikaapply hiyo kitu na for sure ilikuwa inaendana na haiba yangu.
Duh basi wanafunzi wa kike nilikuwa sibongi nao kabisa. Hata girlfriend niliodate nao shule nilitongoza mmoja tu hao wengine nilikuta wanakuja kwangu ila sikuwapa kipaumbele hadi leo.
First lover tulikuwa mikondo tofauti alikuwa hajui ya ndani kunihusu kabisa
Nakumbuka nikiwa form two ndio alikuja kujua ya kuwa me ninabonda mitihani kinyama. Alibaki mdomo wazi baada ya tokeo kubandikwa.

Nilimaliza ile shule huku nikijulikana kwa walimu wanne tu nao kijuu juu walikuwa wanaonaga maksi zangu ila muhuni hawamjui.
Advance nilisoma mpk namaliza sijawahi ongea na mtoto yeyote wa kike. (nina sababu zangu na iliniepusha na mengi).
Chuo sikuwa naeleweka mambo yangu kbsa.
By the way nilipanga nitoke na clean sheet kabisa yaani nisidate na mwanamke yeyote kwa miaka yote ya chuo.
Ah nikajikuta kuna mdada wa huko uchagani ninamkula kimasihara. Tulizoeana kiduchu. Kiujumla mimi hall za chuo nilikuww sibadilishi seat ya kukaa. Nilikuwa nakaaga palepale na walikuwa wanaheshimu sana. So huyo mchaga alikuwa anakujaga kukaa na me. Karibia kufunga nikamuambia kesho njoo geto akaja.
Nikamuambia vua nguo akavua. Lala akalala. Nikampanda. Baadae akaja juu. Akakalia. Kanogewa akasema hivi utakuja kunisaliti? Nikachekaaa. Nikamkalia buyu.
Nyie mnasemaga wachaga wabovu kitandani. Sio kwa yule alikuwa anajituma huku me rohoni nacheka.
Mwingine ni hostel mate. Mtoto wa mbeya.
Me na yeye ni salamu tu. Bado siku mbili niondoke nirudi home. Akashangaa namuita getho anipangie nguo. Akanipangia. nikamuambia leo nalala kwako. Sawa akajibu. Wakati ananipangia nguo nashangaa ananiletea singlendi mpya. Nikambikiri usiku ule. Akaanza lalamika ohh nilikuwa nakupenda kitambo ila huna habari oh we handsome (kimoyomoyo nasema handsome wa nyoko).
Nikakaaga kimya hadi leo.

Nikiwa field nilikuwa busy muda wa mapumziko me na earphone .kuna mwanamke fulani hivi alikuwa anatamani kuniingilia lakini sikumruhusu kabisa. Of course nilimkatili kihisia. Siwezi date na kila mtu bhna.
siku ya kuagwa kuna vidada vinataka namba yangu.
Sikutaka kuharibu kazi na heshima angu h kozi nilijiwekea mipaka watu gani nitadate nao maishani. (wake za watu me siwezi hata iweje)
Kamoja kakanitongoza oh kananipenda me sijibu kitu. Kananiuliza maswali mengiiiii me sijibu. Nilivomaliza field kakataka kuja nilikopanga. Hako kakaja. Paao sebuleni kakanikalia.

Kalikuwa kabikra afu kazuri hatari. Niko nako hadi leo. Ni pisi kali kuliko zote nimepata date. Ila hakaishi kunidodosa lakini ugumu nakawekea hadi leo.
Kuna siku kanasema ulivyokuwa pale field nisingekuwa makini rafiki angu angeniwahi.
Moyoni nacheeeka.
Mkesha wa pasaka kuna kadada kako mbele yangu ile wengine wanapiga makofi mixer vigelegele. By the way me nikiwaga church nakuwaga kimya naimbaga kimoyomoyo. Yule mwanamke akshangaa afu akawa anafosi na me nipige makofi na ninese kucheza kama wao. Me hata sereact chochote. Muda wa kutoka hanioni.
Kesho yake Pasaka kaja kukaa nilipokaa. Nikaona hii kero. Nikamfukuza hakatoki. Kuna muda nikakapima. Nikatabasamu kiduchu na kupiga kofi moja. Kakafurahii weee. Nje tunatoka kakawa kanajitambulisha wee kanauliza jina langu. Nikakaambia. Kakasema nitakupataje sasa. Simu ninayo ila nikachukua kijiti nikaandikia namba chini. Nikaondoka. Baadaye kakani txt.

MTOA MADA UKO SAHIHI 100%.
UKIACHANA NA HII KUWA NA PRIVACY inasaidia hata kwa maisha binafsi sana ukiachana na kuvutia wanawake ila hata life la kawaida inasaidia pakubwa.

Sipendagi mtu mwenye maneno mengi mimi.
Mama angu mwenyewe huwa anaongea sana sipendagi kabsa. Ongea kidogo maongezi yaishe.
 
Huo wivu unaounenea ndio kama upi
Kuna wivu fulani ni mzuri kuuonyesha kwa mpenzi wako na mwanamke hujisikia proud akikuona nao anajua unampenda kweli...ila ukiwa na wivu wa kumfuatilia kila anachofanya atakachokufanya utapenda
 
Dawlia nataka maoni yako juu ya hili kama nitakua sahihi au la. You'll judge me opinion.

As i pitched that mwanamke anapenda kuona yeye ndio center of attraction ya mwanaume fulani twbia hiyo hupelekea pia mwanamke kutamani kuchukua mamlaka aliyonayo Mwanaume ndio maana utaona mwanamke anavaa suruali,Anajiweka kiume, ananyoa kiume, anatafuta dawa ili kumshika akili mwanaume, anataka haki sawa na mwanaume etc. Hiyo yote ili tu amfanye mwanaume kua submissive na yeye kua Dominant (Kwenye dini ya kiislam ni haram mwanamke kufanya mapenzi akiwa juu ya Mwanaume/Riding coz inamfanya Mwanaume kuongozwa na mwanamke wakati wa kufanya tendo Kisai safuher utanirekebisha hapa)

Cha ajabu sasa ikiwa mwanaume fulani akawa hana Voice of Command kwa mwanamke yaani anamuachia mwanamke kua na sauti kufanya yale ayapendayo mwanamke huyo huyo ataanza kumdaharau Mwanaume wake na kuona si mwanaume kamili, coz wanawake wanataka wanaume magaidi and Dominant to them coz wanajiona salama zaidi kua na mwanaume mkali na mkorofi kuliko kua na mwanaume mpole anayemuachia kufanya yale anayoyapenda.

Sasa Je ni kweli wanawake wana tendency hiyo ya kupenda Uanaume au ni sipo sahihi??
Lakini pia kwanini mkiachiwa hiyo nafasi na wanaume mnawaona si wanaume kamili tena! Mwataka nini hasa ninyi viumbe?? Yaani hamueleweki
 
MTOA MADA UKO SAHIHI 100%.
UKIACHANA NA HII KUWA NA PRIVACY inasaidia hata kwa maisha binafsi sana ukiachana na kuvutia wanawake ila hata life la kawaida inasaidia pakubwa.
Naona tunafanana kiasi mimi hua mkimya kiasi hua naona aibu kuongea mbele za watu so mara nyingi nakua mwenyewe tu siongei pa bila sababu ya msingi japo kua watu nikiwa nao naongea kama nimekula pilipili. Halafu ni mtu fulani gaidi hivi yaani hakuna mwanamke anaweza kunibabaisha hisia zangu eti nianze kujipendekeza kwake zamani nilijua labda nina psychological problem ajili ya swala hili yaani nipende usinipende utajijua yaani sijali lolote kuhusu wanawake na sikuwahi tongoza maishani mwangu. Nikakutana na mbabe humuhumu mbona napata tabu sana🤣🤣 kweli hata uwe mjanja kuna mjanja zaidi yako...Yaani nisipoona hata comment yake nachanganyikiwa😞 Hata siamini kama ni gaidi mimi nimekua hivi, you know to how it hurts to love someone ambae hutakujampata eeh
Sipendagi mtu mwenye maneno mengi mimi.
Mama angu mwenyewe huwa anaongea sana sipendagi kabsa. Ongea kidogo maongezi yaishe.
Binafsi ili uwe na ukaribu nami basi usiwe muongeaji sana coz sipendi fujo au maneno mengi. Sipend mtu ajue mambo yangu never hata hapo kwenye paragraph najisikia vibaya kueleza hayo niliyoandika... Napenda sana kua mtu kaksi ila sura yagu hua inanifelisha maana muda wote niko kama nataka kucheka/natabasam. Sijawahi kua Serious usoni hata siku moja labda nikowa napiga picha tu..Hii inasababisha watu kunizoea haraka ila najiweka mbali nao coz sitaki kujuana juana na Watu.

Kuna faida nyingi sana maishani ukiwa si mtu wa kuongea na kuzoeana na watu hovyohovyo
 
Biblia imeandika hivi baada ya kosa pale eden ambapo kila mmoja alipewa adhabu yake. Kwa wanaume inaeleweka ila wanawake kuzaa kwa uchungu na tamaa zake zitamuelekea mumewe nae atamtawala. "
Hiyo tamaa ndio attraction kuelekea mwanaume.
Sijajua upande wa. Waislamu huko.
Msimbishie mtoa mada
 
Naona tunafanana kiasi mimi hua mkimya kiasi hua naona aibu kuongea mbele za watu so mara nyingi nakua mwenyewe tu siongei pa bila sababu ya msingi japo kua watu nikiwa nao naongea kama nimekula pilipili. Halafu ni mtu fulani gaidi hivi yaani hakuna mwanamke anaweza kunibabaisha hisia zangu eti nianze kujipendekeza kwake zamani nilijua labda nina psychological problem ajili ya swala hili yaani nipende usinipende utajijua yaani sijali lolote kuhusu wanawake na sikuwahi tongoza maishani mwangu. Nikakutana na mbabe humuhumu mbona napata tabu sana🤣🤣 kweli hata uwe mjanja kuna mjanja zaidi yako...Yaani nisipoona hata comment yake nachanganyikiwa😞 Hata siamini kama ni gaidi mimi nimekua hivi, you know to how it hurts to love someone ambae hutakujampata eeh

Binafsi ili uwe na ukaribu nami basi usiwe muongeaji sana coz sipendi fujo au maneno mengi. Sipend mtu ajue mambo yangu never hata hapo kwenye paragraph najisikia vibaya kueleza hayo niliyoandika... Napenda sana kua mtu kaksi ila sura yagu hua inanifelisha maana muda wote niko kama nataka kucheka/natabasam. Sijawahi kua Serious usoni hata siku moja labda nikowa napiga picha tu..Hii inasababisha watu kunizoea haraka ila najiweka mbali nao coz sitaki kujuana juana na Watu.

Kuna faida nyingi sana maishani ukiwa si mtu wa kuongea na kuzoeana na watu hovyohovyo
Mkuu me. Nilikuwa na mmoja au wawili walinitesa afu cha ajabu hao ndio niliopata kuwatongoza. Aiiii nililia kabisa ila baada ya kujua am alpha male nikasema nyambafu wameumbwa kwa ajili yetu acha nifanye issue nyingine.
 
Dawlia nataka maoni yako juu ya hili kama nitakua sahihi au la. You'll judge me opinion.

As i pitched that mwanamke anapenda kuona yeye ndio center of attraction ya mwanaume fulani twbia hiyo hupelekea pia mwanamke kutamani kuchukua mamlaka aliyonayo Mwanaume ndio maana utaona mwanamke anavaa suruali,Anajiweka kiume, ananyoa kiume, anatafuta dawa ili kumshika akili mwanaume, anataka haki sawa na mwanaume etc. Hiyo yote ili tu amfanye mwanaume kua submissive na yeye kua Dominant (Kwenye dini ya kiislam ni haram mwanamke kufanya mapenzi akiwa juu ya Mwanaume/Riding coz inamfanya Mwanaume kuongozwa na mwanamke wakati wa kufanya tendo Kisai safuher utanirekebisha hapa)

Cha ajabu sasa ikiwa mwanaume fulani akawa hana Voice of Command kwa mwanamke yaani anamuachia mwanamke kua na sauti kufanya yale ayapendayo mwanamke huyo huyo ataanza kumdaharau Mwanaume wake na kuona si mwanaume kamili, coz wanawake wanataka wanaume magaidi and Dominant to them coz wanajiona salama zaidi kua na mwanaume mkali na mkorofi kuliko kua na mwanaume mpole anayemuachia kufanya yale anayoyapenda.

Sasa Je ni kweli wanawake wana tendency hiyo ya kupenda Uanaume au ni sipo sahihi??
Lakini pia kwanini mkiachiwa hiyo nafasi na wanaume mnawaona si wanaume kamili tena! Mwataka nini hasa ninyi viumbe?? Yaani hamueleweki

* ndio ningependa kuwa center of attraction kwa mwanaume tuliyependana

* hapana hiyo haipelekei mimi kutaka kuchukua mamlaka yake, labda unachoona ni mahangaiko ya mwanamke kurudisha attention ya mwanaume wake kwake

* nafikiri wanavaa suruali hasa za kubana ili kuonyesha maungo yao Ili wawavutie na sio kutaka kuonekana kiume, labda wale wavaa suti/nguo za kiume sehemu za kazini nafikiri wanavaa kiume Ili kucheza na saikolojia ya wanaume ofisini Ili wasiwadharau. Pia wengi wanafanya mambo kufwata mkumbo/fashion sidhani hata kama wanawaza kwann wanafanya wanachofanya zaidi ya kuwa "ni fashion"

* Waenda kwa waganga nayo wanachohangaikia ni attention ya mwanaume sio mamlaka yake. Kupata attention yake haimaanishi una mamlaka juu yake, ukichunguza ni mwanamke anatafuta tu security yake na wanae, kwamba rasilimali za mwanaume zisiende kwingine, hasa akigundua mwanaume wake kapata mwingine

* Mimi nilikuwa mdau wa haki sawa mpaka nilivyopata ujauzito nikaumwa kufa, jumlisha na complications za kujifungua ndo nikasema no mwanaume ni mwanaume na mwanamke ni mwanamke hatufanani. Na haya matukio ya ukatili wa wadada wa kazi kwa watoto na mmomonyoko wa maadili ndo yanazidi kudhihirisha hili, watoto na familia zinaangamia maana majukumu ya mwanamke na mwanaume ya asili yamevurugwa.

* mwanaume unakuwaje submissive, sema unalelewa na mkeo, hamna mwanaume anayehudumia familia aliye submissive, au mwanamke anayelelewa aliye dominant, hakuna

* Me napenda "mende kafa" tu, hii mingine ni kuwaridhisha nyie hata hainogi, mingine ni maumivu tu, safi sana hiyo Haram kumbe imeandikwa kabisa. mwanamke anayejituma akiwa juu pia anataka akuridhishe attention ibaki kwake, usimuone mshamba hajui mambo, na sio anataka kuwa dominant.

* Hatutaki wanaume gaidi, tafadhali, tunapenda mwanaume awe juu yetu, kweli kabisa tunahisi salama hivyo, na mara nyingi uwe juu kiakili, Sasa mwanamke akishakuwa juu yako kivyovyote vile, kiakili, kiuchumi nk afya ya hayo mahusiano itawategemea nyie wenyewe na akili zenu na juhudi zenu na uvumilivu wenu na upendo wenu
 
Back
Top Bottom