Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Haya ni mapya [emoji28][emoji28]

Kwa hiyo nikivaa kinguo changu kinachoniweka comfortable ni Kwa ajili ya mtu [emoji1787][emoji1787]
Ndiyo, katika mavazi bila kujali jinsia kila mtu anavaa aonekane kapendeza, ndio maana haununui nguo za aina moja tu hata kama unafanya kazi ofisini, yani ununue mashati 100 meupe, na suruali 50 za rangi moja labda dark blue. We dress to impress.
Ukipendeza tu lazima utake kutoka nje...
 
Mtoa mada sehemu kubwa yuko sawa, ukisoma kwa makini kuna interplay ya ugumu/ukimya kwa wakati wake na uchangamfu kwa wakati wake ili ipate mizania mujarab.
Ukikaza sana unapoteza, unaweza onekana pastor or saint on the making.
Imagine unakuwa mkimya then ikija katika general issues au common kabisa unaongea pumba!!
 
Kama humu tu unakuta unamfuata fuata mdada kila uzi, pm hukatiki. mwambie tu unamwelewa angalia welekeo wake then sepa.
Ndio uanaume bwana..😉
Mwanamke mmoja ivi nimpuuz sana(sio mzuri sana wakawaida, ila anatako kinoma) tupo kwenye relationship nae kama miez mitatu ila sijamla bado, so naweza sema ni kama hii relationship haijaanza bado..nikifast foward kidogo akapata kazi mkoa mwingine kule kakutana na baharia mmoja(mme wa mtu) kajichanganya kamla nimejua kila kitu nikamwambia asijali we can start over akasema sawa, haikunidisturb sana sababu me sijamla bado so ni kama mimi na yeye hatujaanza bado(I claim somebody is trully mine nikishamtomba, so basically ni kama bado namfukuzia, na nnauhakika ningekuwa nlishamla asingefanya huo upuuz)...anyways nafastfoward tena sasa anazingua kinoma, chenga zimekuwa nyingi, hajisomi haelew kama anantaka mimi au the other guy, usipo mtafuta, hakutafuti, yes yupo busy sana na kazi sikatai, simu anapiga au kutext juma tatu hadi alhamis alafu ni jion tu, hatubong sana atasema anataka kupumzika kesho awah job(yeah she has an excuse si ni siku za kazi), nikasema labda siku za weekend atakuwa ananicheki waapi! hapo sasa ndio anakausha kbsa, saikolojia yangu inaniambia akiwa free she is busy na majamaa wengine anaogopa akinitafuta i'll keep her busy na atashtukiwa so technically she has good reason kuntafuta zile siku za kazi tu ambazo atakuwa na excuse nyingine pia ya naomba tuchekiane kesho and all that bla-bla, na alivyo mjinga anadhani sijui huo mchezo anavyoucheza.

Huyu mwanamke hajui kama i have Eidetic memory, yan kila anachofanya nakiweka kama kilivyo na hajui kama mimi ndio mastermind wa michezo anayofanya. Sasa saivi simtafuti mpaka anitafute akinitafuta i act a fool, become a good guy and act like everything is normal, siku akijichanganya nitamla alafu nimwache bila kumwambia, kaniudh sana yan nimemwonyesha mapenz moto moto ye kaenda kuliwa huko, anyways najua nikimla atakuwa mtumwa yeye sababu kitombo atachopokea hataamini macho yake, na hili nna uhakika nalo sababu hakuna mwanamke aliwah niacha baada ya kumla labda nimpotezee mimi, napo huwa wanakaa hata miaka miwili wakikumbuka wananiletea...
 
Queen I'm aware, ndio maana nasema Mwanaume inatakiwa uwe hatua kumi mbele ya mwanamke.
Ni kweli women are complex creatures but kama nilivyosema mwanzo inatakiwa mtu unayekua naye ujue attitude, personality nk
Yah ni kweli
 
Wa humu Wanaweka picha za ku-download as a profile picture, basi wanawarusha roho ile mbaya. 😂
 
Huu uzi ni ukweli 100%.
Kuna workshop fulani niliwahi kufanya kazi, sehemu ambayo watu walitembeza vitu mbalimbali kuuza. Kuna manzi moja kama 22yrs alikuwa anauza juisi mida ya mchana kila siku.
Yule manzi alikuwa mzuri wa sura, umbo, sauti, na kila siku alipendeza tofauti, mtu muongeaji na wa kujichanganya na watu. Kwa kuwa pale workshop wafanyakazi wengi tulikuwa wanaume tena bachelors, wanawake walivalia namna ambavyo waliamini watateka attention ya wanaume ili kurahisisha biashara na udangaji.
Ikawa kila yule manzi muuza juisi anapofika masela wanachanganyikiwa balaa, wataanza kumwita kwa jina, kila mmoja anataka kuwa wa kwanza kuhudumiwa juisi, mwingine hata change hadai, kila mtu anataka amsemeshe yaani shobo mwanzo mwisho.

Lakini Mimi nilimuona wa kawaida tu, wala sikuwahi kupata hamu ya kununua juisi yake. Baada ya muda alishtuka watu wote pale workshop walishawahi kununua juisi kwake na kumshobokea isipokuwa Mimi tu(wengine hawakugundua).
Mara siku moja baada ya kuuzia wengine akaja sehemu nilipokuwa;
Yeye: Kaka mambo?
Mimi: Shwari,
Yeye: juisi?
Mimi: Asante.
Ikawa kila siku lazima ajipitishe mbele yangu kunisalimia na kuuliza kama nahitaji juisi lakini tofauti na salamu pamoja na asante ya kukataaa juisi sikuwa na story ya pili na yeye. Kilichomvuruga zaidi mara kibao amewahi kunikuta na wanawake wengine. Ilifika mahali akimaliza kuuza juisi anakaa sehemu ya mbali kidogo ananipiga chabo halafu kama ana mawazo.

Wanawake ni viumbe wa ajabu sana, ukiwaheshimu wanakudharau na ukiwadharau wanakuheshimu. Hata mkeo ukimuona kama celebrity yeye atakuona kama shabiki. Kanuni ni kuwachokonoa self esteem. Bila kubabaishwa na kiwango chake cha uzuri, mchukulie kama vile .......... Then utaona response yake kwako.
😂😂😂

Umenichekesha sana hapo kwenye kinyume chake. Eti ukiwaheshimu wanakudharau
 
Mwanamke mmoja ivi nimpuuz sana(sio mzuri sana wakawaida, ila anatako kinoma) tupo kwenye relationship nae kama miez mitatu ila sijamla bado, so naweza sema ni kama hii relationship haijaanza bado..nikifast foward kidogo akapata kazi mkoa mwingine kule kakutana na baharia mmoja(mme wa mtu) kajichanganya kamla nimejua kila kitu nikamwambia asijali we can start over akasema sawa, haikunidisturb sana sababu me sijamla bado so ni kama mimi na yeye hatujaanza bado(I claim somebody is trully mine nikishamtomba, so basically ni kama bado namfukuzia, na nnauhakika ningekuwa nlishamla asingefanya huo upuuz)...anyways nafastfoward tena sasa anazingua kinoma, chenga zimekuwa nyingi, hajisomi haelew kama anantaka mimi au the other guy, usipo mtafuta, hakutafuti, yes yupo busy sana na kazi sikatai, simu anapiga au kutext juma tatu hadi alhamis alafu ni jion tu, hatubong sana atasema anataka kupumzika kesho awah job(yeah she has an excuse si ni siku za kazi), nikasema labda siku za weekend atakuwa ananicheki waapi! hapo sasa ndio anakausha kbsa, saikolojia yangu inaniambia akiwa free she is busy na majamaa wengine anaogopa akinitafuta i'll keep her busy na atashtukiwa so technically she has good reason kuntafuta zile siku za kazi tu ambazo atakuwa na excuse nyingine pia ya naomba tuchekiane kesho and all that bla-bla, na alivyo mjinga anadhani sijui huo mchezo anavyoucheza.

Huyu mwanamke hajui kama i have Eidetic memory, yan kila anachofanya nakiweka kama kilivyo na hajui kama mimi ndio mastermind wa michezo anayofanya. Sasa saivi simtafuti mpaka anitafute akinitafuta i act a fool, become a good guy and act like everything is normal, siku akijichanganya nitamla alafu nimwache bila kumwambia, kaniudh sana yan nimemwonyesha mapenz moto moto ye kaenda kuliwa huko, anyways najua nikimla atakuwa mtumwa yeye sababu kitombo atachopokea hataamini macho yake, na hili nna uhakika nalo sababu hakuna mwanamke aliwah niacha baada ya kumla labda nimpotezee mimi, napo huwa wanakaa hata miaka miwili wakikumbuka wananiletea...
Mwamba unazingua unakaaje miezi 3 bila ya kufaidi mambo mzuri hadi anaondoka. No wonder anakuchunia coz aliona yaliyomo hayamo. Mpotezee kama alivyokupotezea coz uliyataka mweyewe
 
Mwanamke mmoja ivi nimpuuz sana(sio mzuri sana wakawaida, ila anatako kinoma) tupo kwenye relationship nae kama miez mitatu ila sijamla bado, so naweza sema ni kama hii relationship haijaanza bado..nikifast foward kidogo akapata kazi mkoa mwingine kule kakutana na baharia mmoja(mme wa mtu) kajichanganya kamla nimejua kila kitu nikamwambia asijali we can start over akasema sawa, haikunidisturb sana sababu me sijamla bado so ni kama mimi na yeye hatujaanza bado(I claim somebody is trully mine nikishamtomba, so basically ni kama bado namfukuzia, na nnauhakika ningekuwa nlishamla asingefanya huo upuuz)...anyways nafastfoward tena sasa anazingua kinoma, chenga zimekuwa nyingi, hajisomi haelew kama anantaka mimi au the other guy, usipo mtafuta, hakutafuti, yes yupo busy sana na kazi sikatai, simu anapiga au kutext juma tatu hadi alhamis alafu ni jion tu, hatubong sana atasema anataka kupumzika kesho awah job(yeah she has an excuse si ni siku za kazi), nikasema labda siku za weekend atakuwa ananicheki waapi! hapo sasa ndio anakausha kbsa, saikolojia yangu inaniambia akiwa free she is busy na majamaa wengine anaogopa akinitafuta i'll keep her busy na atashtukiwa so technically she has good reason kuntafuta zile siku za kazi tu ambazo atakuwa na excuse nyingine pia ya naomba tuchekiane kesho and all that bla-bla, na alivyo mjinga anadhani sijui huo mchezo anavyoucheza.

Huyu mwanamke hajui kama i have Eidetic memory, yan kila anachofanya nakiweka kama kilivyo na hajui kama mimi ndio mastermind wa michezo anayofanya. Sasa saivi simtafuti mpaka anitafute akinitafuta i act a fool, become a good guy and act like everything is normal, siku akijichanganya nitamla alafu nimwache bila kumwambia, kaniudh sana yan nimemwonyesha mapenz moto moto ye kaenda kuliwa huko, anyways najua nikimla atakuwa mtumwa yeye sababu kitombo atachopokea hataamini macho yake, na hili nna uhakika nalo sababu hakuna mwanamke aliwah niacha baada ya kumla labda nimpotezee mimi, napo huwa wanakaa hata miaka miwili wakikumbuka wananiletea...
Pole sanaaa.
Mwanaume wa kweli hupotezea Mazima ishu za namna hiyo, chief ukitaka haya maisha uishi bila stress jifunze pia namna ya kuacha wale wasioendana na wewe waende bila ugomvi wala maumivu.

Ilitokea 10 years,nilipenda kupita maelezo,pia visenti nilikuwa navyo,nilijitahidi kutunza kulingana na uwezo wangu,Ila alinichukulia poa sanaaa.
Huwa napata nafasi ya kupata busara za wazee,nikashilikisha hii ishu,nikaambiwa kijana usiumie,hapo hujapoteza,bali umewekeza,ACHANA NAE KISTAARABU.

Kweli nikafuata ushauri kibishii,sikumtafuta na nikaji-disconect nae totally. Maisha yakaendelea,after one week,alikuja na kelele nyiiingi,ooh umenitenga,au ndio umeniachaa?!
Nikamwambia,nina maisha mengine kwa sasaa kwahiyo endelea na huyo unaempa attention.

Now nimeoa,ila hajawahi nisahau kwenye maisha yake,sitaki nisema sanaaa eneo hilo Ila namuelewa vilivyo mtoa mada, chief muache aende, wazuri bado wapo weengi, naamini utapata mzuri na mwema kuliko huyo,usiruhusu tamaa/kisasi kiondoe UTU WEMA ULIONDANI YAKO.
Nimeona niseme kitu, hope utaipokea positive.
 
Pole sanaaa.
Mwanaume wa kweli hupotezea Mazima ishu za namna hiyo, chief ukitaka haya maisha uishi bila stress jifunze pia namna ya kuacha wale wasioendana na wewe waende bila ugomvi wala maumivu.

Ilitokea 10 years,nilipenda kupita maelezo,pia visenti nilikuwa navyo,nilijitahidi kutunza kulingana na uwezo wangu,Ila alinichukulia poa sanaaa.
Huwa napata nafasi ya kupata busara za wazee,nikashilikisha hii ishu,nikaambiwa kijana usiumie,hapo hujapoteza,bali umewekeza,ACHANA NAE KISTAARABU.

Kweli nikafuata ushauri kibishii,sikumtafuta na nikaji-disconect nae totally. Maisha yakaendelea,after one week,alikuja na kelele nyiiingi,ooh umenitenga,au ndio umeniachaa?!
Nikamwambia,nina maisha mengine kwa sasaa kwahiyo endelea na huyo unaempa attention.

Now nimeoa,ila hajawahi nisahau kwenye maisha yake,sitaki nisema sanaaa eneo hilo Ila namuelewa vilivyo mtoa mada, chief muache aende, wazuri bado wapo weengi, naamini utapata mzuri na mwema kuliko huyo,usiruhusu tamaa/kisasi kiondoe UTU WEMA ULIONDANI YAKO.
Nimeona niseme kitu, hope utaipokea positive.
Mzee thank you, ngoja nimwache nikae kimya..thank you so much man.....
 
Mwamba unazingua unakaaje miezi 3 bila ya kufaidi mambo mzuri hadi anaondoka. No wonder anakuchunia coz aliona yaliyomo hayamo. Mpotezee kama alivyokupotezea coz uliyataka mweyewe
Mzee sikuwa na haraka nae hata kidogo...labda nlikosea lakin i believe i did the right thing...ngoja nikaushe nione, ila najua kesho jion atapiga simu sitapokea pia..
 
Mzee sikuwa na haraka nae hata kidogo...labda nlikosea lakin i believe i did the right thing...ngoja nikaushe nione, ila najua kesho jion atapiga simu sitapokea pia..
Unafeli kuweka matarajio mazuri.

Unatamiwa useme kwamba huyu dada hanitafuti wiki nzima na mimi simtafuti.

Ukisema unajua kesho atakupogia anaweza asikupigie then ukaumia unaanza mumtafuta wewe😄😄
 
Unafeli kuweka matarajio mazuri.

Unatamiwa useme kwamba huyu dada hanitafuti wiki nzima na mimi simtafuti.

Ukisema unajua kesho atakupogia anaweza asikupigie then ukaumia unaanza mumtafuta wewe😄😄
siwez mkuu, siwez kumtafuta..hiyo ya kupiga simu ndio stail yake ya kujisafisha..
 
Mtoa mada sehemu kubwa yuko sawa, ukisoma kwa makini kuna interplay ya ugumu/ukimya kwa wakati wake na uchangamfu kwa wakati wake ili ipate mizania mujarab.
Ukikaza sana unapoteza, unaweza onekana pastor or saint on the making.
Imagine unakuwa mkimya then ikija katika general issues au common kabisa unaongea pumba!!

Halafu mkuu kama umejua vile maana hua wananiona mlokole fulani naitwaga paroko🤣🤣🤣 Navyochukia ulokole sasa
 
Eid Mubarak y’all…

Napenda kuomba radhi kwanza kwa maneno makali/yasiyo na staha niliyotumia katika katika mada hii, I failed to put it together. Samahanini kwa wote amabo andiko hili litaSound vibaya kwenu.

I’m not something of an expert and these sorts of things it's kinda not my area of expertise, but I will try to address this matter accordingly byto explaining the obvious-superbly.

Well, on default mode kichwani mwa mwanamke anaelewa kwamba yeye ndio center of attention and attraction kwa mwanaume, yaani hakuna anayeweza kumpagawisha mwanaume zaidi ya yeye mwanamke. Kwakulitambua kila mwanamke hutazama ni kitu gani hasa kajaliwa mwilini mwake ambacho anadhani kinaweza kuvuta attention ya mwanaume yoyote kama vile sauti, umbo anavyotembea, macho, tako, nyonyo, mapaja, nk akishaona kipi hasa kapendelewa basi atanza kukifanyia madoido na maonyesho ili wanaume wampe attention. Mfano, kama ana tako na shepu basi ataanza kuvaa nguo zinazochora na kuonyesha umbo lake vyema,kama ni macho mazuri basi ndio kila mda atakuangalia kwa kukurembulia au kuyatoa yawe makubwa kama mpira wa pooltable, kama ni nyonyo basi atavaa nguo zinazoonysha nyonyo vyema same applied to miguu ya bia,mapaja, kiuno nk nk.

Kwa sababu hiyo hapo juu ndio maana wenzetu hawa hutumia muda mwingi na ghalama kubwa kujipamba na kuiremba ili tu kuweza kukamata attention ya mwanaume. Sasa ikitokea mwanamke katumia muda na ghalama zake kujiremba halafu akatembea umbali maybe wa saa nzima kwenda na kurudi halafu ikatokea hakuna mwanaume yoyote hata anayegeuka kumtazama, kumpigia mluzi, kumuita au kufanya kitu chochote ambacho mwanaume ataonekana kawa attracted na huyo mwanamke basi Psychologically atakua Disturbed na akirudi nyumbani lazima ajichunguze wapi kakosea au ana kasoro gani hasa kwanini ‘kavunja kabati’ halafu nobody noticed her in any form of expression.

Anakua psychologically disturbed kisa tu no one noticed like a smoke in a the dark because kama nlivyosema wanawake wote duniani wanaelewa wao ndio center of attention and attraction kwa wanaume so ikiwa hatapata attention aliyodhania kwamba anayo na lazima aipate kutoka kwa mwanaume lazima imuume na kumtesa kiakili.

kwanini watu Hardcore Guys/ wasiojali wala kushobokea wanawake na watu wakimya ndio wanaongoza kwa kuwala/kuWin mioyo ya wanawake wengi zaidi?

Kama nilivyoeleza huko juuu mwanamke siku zote hufunya kila kitu kuwinda attention ya mwanaume yaani aonekane kwamba Fulani Yule pale anapita na apate confirmination feedback kwamba wamemuona. Mwanaume ukiwa haushobokei mwanamke yaani labda mwanamke Fulani kwenye group lenu labda darasani,mtaani,ofisini nk akiwa anajiona yeye ni mrembo/pisi kali wanaume wakiwa wanamshobokea halafu wewe ukawa hujali chochote kuhusu yeye yaani kama humuoni au unamchukulia kama kambale tu , lazima mwanamke huyo ajiulize kwanini wewe humshobokei na itamtesa kwa kweli akilini mwake. Ataanza kutafuta njia na sababu yoyote kua karibu nawe ili tu ajue “what special about you” mpaka hujali kuhusu yeye.

Sasa katika kutafuta attention hiyo kwako mwisho wa siku anajikuta Tunda liinaliwa mockery. Same applied to Quite Guy, wanaume wakimya kwasababu hawana muda wa kupiga stori na wadada wao wanajai mambo yao tu yaliyowapeleka sehemu hiyo. Wanawake wakiona mtu huyo yupo tu na mambo yake yeye ni salam basi hana stori nao basi lazima waanze kutaka kujua what special about the guy hadi anakua hana stori nao. Watatumia njia yoyote hata kwa kukuletea chakula, vizawadi, hata kukuongelesha ongelesha ilimradi tu uwape attention yako. Katika kufanya hivyo ndio wanajikuta pia tunda limeliwa Mockery.

Unajua On universal law mwanaume anakua defined mbele ya jamii kwamba yeye ni nani kwa matendo yake na si maneno, ila kwa wenzetu hawa Mwanaume anakua defined kwa Maneno na Expression yake. Yaani anaongea nini na ana haiba gani, mwanamke anataka apate attention ya mwanaume kwa kuambiwa maneno mazuri mazuri kutegemea na jinsi alivyoumbika, pia anategemea mwanaume atampa attention kwa kumfuata-fuata.

Wanawake wana tabia moja naiita "Show and Tell", kwamba wakiwa kwenye maongezi yao wanapenda kumchambua mwanaume mmoja mmoja, kama nilivyosema wanawake wanapenda zaidi maneno. Ikitokea mwanamke akamuongelea mwanaume Fulani maneno mazuri basi hao wengine wote wote wataanza kuvutiwa na mwanaume huyo. Utakua unapita mtaani tu unaona wanaku-Admire na kukuchekea kumbe File lako washalipata.

Wakimsema mwanaume Fulani ni mkimya au anajisikia sana basi wengine wote wataanza kumfuatilia mwanaume huyo wajue kwanini anajisikia sana, Deepdown sio kwamba mwanaume anakua hajiioni bali ni kwamba He doesn’t give a fvck about them-chicks , he’s just minding his own business . hiyo inawaumiza kweli kichwa wanawake and bumming them out.

Mwanamke akikosa attention ya mwanaume anachanganyikiwa na akianza kuwinda attention ya mwanaume atatumia kila mbinu anayoijua kuipata. Si mnajua mwanamke akiPlot mipango yake kutenda kitu hata shetani mwenyewe anakaa chini kuigilizia mbinu….Ukitaka kujua moja ya mbinu zao za kuwinda attention angalia picha zao za Fb, Insta na video zao za Tiktok.

[NB: Kocha hutoa maelekezo akiwa nje ya Uwanja😉😉]

[Naombeni radhi nyote mliyochukizwa na mada hii, halikua kusudia langu kuwachukiza]

Vinci…
Umetisha bonge la desa bonge la simbi bonge la kizenga
 
Inategemea una nini wanawake wa siku hizi mbwa hawana muda wa kuvumbua liganga na mchuchuma ukiwa na mfupa au mchuzi au harufu ya nyama bila hivo utajiju
 
Mwanamke mmoja ivi nimpuuz sana(sio mzuri sana wakawaida, ila anatako kinoma) tupo kwenye relationship nae kama miez mitatu ila sijamla bado, so naweza sema ni kama hii relationship haijaanza bado..nikifast foward kidogo akapata kazi mkoa mwingine kule kakutana na baharia mmoja(mme wa mtu) kajichanganya kamla nimejua kila kitu nikamwambia asijali we can start over akasema sawa, haikunidisturb sana sababu me sijamla bado so ni kama mimi na yeye hatujaanza bado(I claim somebody is trully mine nikishamtomba, so basically ni kama bado namfukuzia, na nnauhakika ningekuwa nlishamla asingefanya huo upuuz)...anyways nafastfoward tena sasa anazingua kinoma, chenga zimekuwa nyingi, hajisomi haelew kama anantaka mimi au the other guy, usipo mtafuta, hakutafuti, yes yupo busy sana na kazi sikatai, simu anapiga au kutext juma tatu hadi alhamis alafu ni jion tu, hatubong sana atasema anataka kupumzika kesho awah job(yeah she has an excuse si ni siku za kazi), nikasema labda siku za weekend atakuwa ananicheki waapi! hapo sasa ndio anakausha kbsa, saikolojia yangu inaniambia akiwa free she is busy na majamaa wengine anaogopa akinitafuta i'll keep her busy na atashtukiwa so technically she has good reason kuntafuta zile siku za kazi tu ambazo atakuwa na excuse nyingine pia ya naomba tuchekiane kesho and all that bla-bla, na alivyo mjinga anadhani sijui huo mchezo anavyoucheza.

Huyu mwanamke hajui kama i have Eidetic memory, yan kila anachofanya nakiweka kama kilivyo na hajui kama mimi ndio mastermind wa michezo anayofanya. Sasa saivi simtafuti mpaka anitafute akinitafuta i act a fool, become a good guy and act like everything is normal, siku akijichanganya nitamla alafu nimwache bila kumwambia, kaniudh sana yan nimemwonyesha mapenz moto moto ye kaenda kuliwa huko, anyways najua nikimla atakuwa mtumwa yeye sababu kitombo atachopokea hataamini macho yake, na hili nna uhakika nalo sababu hakuna mwanamke aliwah niacha baada ya kumla labda nimpotezee mimi, napo huwa wanakaa hata miaka miwili wakikumbuka wananiletea...
Teh teh teh, hizi mitandao zinachekesha kweli kweli
 
Back
Top Bottom