Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Ngoja na me nitoe my confession.

Nikiwa ndio naanza form one katika shule fulani hivi ya boarding nilikutana na bro fulani nae alikuwa ni mgeni pale shule. Basi room tuliyokuwa tunakaa tulikuwa wageni wote yaanicnew comer.

Katika stories mbili tatu huyu bro alikuwa smart sana nakumbuka aliniambia wanangu katika maisha haya kuwa kauzu usitabirike kabisa kuwa na mambo yako tu.
Basi nikiwa ndio nipo form one hata sketi sijui basi nikaapply hiyo kitu na for sure ilikuwa inaendana na haiba yangu.
Duh basi wanafunzi wa kike nilikuwa sibongi nao kabisa. Hata girlfriend niliodate nao shule nilitongoza mmoja tu hao wengine nilikuta wanakuja kwangu ila sikuwapa kipaumbele hadi leo.
First lover tulikuwa mikondo tofauti alikuwa hajui ya ndani kunihusu kabisa
Nakumbuka nikiwa form two ndio alikuja kujua ya kuwa me ninabonda mitihani kinyama. Alibaki mdomo wazi baada ya tokeo kubandikwa.

Nilimaliza ile shule huku nikijulikana kwa walimu wanne tu nao kijuu juu walikuwa wanaonaga maksi zangu ila muhuni hawamjui.
Advance nilisoma mpk namaliza sijawahi ongea na mtoto yeyote wa kike. (nina sababu zangu na iliniepusha na mengi).
Chuo sikuwa naeleweka mambo yangu kbsa.
By the way nilipanga nitoke na clean sheet kabisa yaani nisidate na mwanamke yeyote kwa miaka yote ya chuo.
Ah nikajikuta kuna mdada wa huko uchagani ninamkula kimasihara. Tulizoeana kiduchu. Kiujumla mimi hall za chuo nilikuww sibadilishi seat ya kukaa. Nilikuwa nakaaga palepale na walikuwa wanaheshimu sana. So huyo mchaga alikuwa anakujaga kukaa na me. Karibia kufunga nikamuambia kesho njoo geto akaja.
Nikamuambia vua nguo akavua. Lala akalala. Nikampanda. Baadae akaja juu. Akakalia. Kanogewa akasema hivi utakuja kunisaliti? Nikachekaaa. Nikamkalia buyu.
Nyie mnasemaga wachaga wabovu kitandani. Sio kwa yule alikuwa anajituma huku me rohoni nacheka.
Mwingine ni hostel mate. Mtoto wa mbeya.
Me na yeye ni salamu tu. Bado siku mbili niondoke nirudi home. Akashangaa namuita getho anipangie nguo. Akanipangia. nikamuambia leo nalala kwako. Sawa akajibu. Wakati ananipangia nguo nashangaa ananiletea singlendi mpya. Nikambikiri usiku ule. Akaanza lalamika ohh nilikuwa nakupenda kitambo ila huna habari oh we handsome (kimoyomoyo nasema handsome wa nyoko).
Nikakaaga kimya hadi leo.

Nikiwa field nilikuwa busy muda wa mapumziko me na earphone .kuna mwanamke fulani hivi alikuwa anatamani kuniingilia lakini sikumruhusu kabisa. Of course nilimkatili kihisia. Siwezi date na kila mtu bhna.
siku ya kuagwa kuna vidada vinataka namba yangu.
Sikutaka kuharibu kazi na heshima angu h kozi nilijiwekea mipaka watu gani nitadate nao maishani. (wake za watu me siwezi hata iweje)
Kamoja kakanitongoza oh kananipenda me sijibu kitu. Kananiuliza maswali mengiiiii me sijibu. Nilivomaliza field kakataka kuja nilikopanga. Hako kakaja. Paao sebuleni kakanikalia.

Kalikuwa kabikra afu kazuri hatari. Niko nako hadi leo. Ni pisi kali kuliko zote nimepata date. Ila hakaishi kunidodosa lakini ugumu nakawekea hadi leo.
Kuna siku kanasema ulivyokuwa pale field nisingekuwa makini rafiki angu angeniwahi.
Moyoni nacheeeka.
Mkesha wa pasaka kuna kadada kako mbele yangu ile wengine wanapiga makofi mixer vigelegele. By the way me nikiwaga church nakuwaga kimya naimbaga kimoyomoyo. Yule mwanamke akshangaa afu akawa anafosi na me nipige makofi na ninese kucheza kama wao. Me hata sereact chochote. Muda wa kutoka hanioni.
Kesho yake Pasaka kaja kukaa nilipokaa. Nikaona hii kero. Nikamfukuza hakatoki. Kuna muda nikakapima. Nikatabasamu kiduchu na kupiga kofi moja. Kakafurahii weee. Nje tunatoka kakawa kanajitambulisha wee kanauliza jina langu. Nikakaambia. Kakasema nitakupataje sasa. Simu ninayo ila nikachukua kijiti nikaandikia namba chini. Nikaondoka. Baadaye kakani txt.

MTOA MADA UKO SAHIHI 100%.
UKIACHANA NA HII KUWA NA PRIVACY inasaidia hata kwa maisha binafsi sana ukiachana na kuvutia wanawake ila hata life la kawaida inasaidia pakubwa.

Sipendagi mtu mwenye maneno mengi mimi.
Mama angu mwenyewe huwa anaongea sana sipendagi kabsa. Ongea kidogo maongezi yaishe.
Comrade 👏🏽👏🏽.
 
* ndio ningependa kuwa center of attraction kwa mwanaume tuliyependana
So unakubaliana na main topic yangu ipo sahihi japo 70%
  • hapana hiyo haipelekei mimi kutaka kuchukua mamlaka yake, labda unachoona ni mahangaiko ya mwanamke kurudisha attention ya mwanaume wake kwake
  • nafikiri wanavaa suruali hasa za kubana ili kuonyesha maungo yao Ili wawavutie na sio kutaka kuonekana kiume, labda wale wavaa suti/nguo za kiume sehemu za kazini nafikiri wanavaa kiume Ili kucheza na saikolojia ya wanaume ofisini Ili wasiwadharau. Pia wengi wanafanya mambo kufwata mkumbo/fashion sidhani hata kama wanawaza kwann wanafanya wanachofanya zaidi ya kuwa "ni fashion"
Kwanini wanaume hatuendi na fasheni ya kuvaa gauni na blauzi barabarani?? (Mwanaume halisi sio hormonal imbalance)
* Waenda kwa waganga nayo wanachohangaikia ni attention ya mwanaume sio mamlaka yake. Kupata attention yake haimaanishi una mamlaka juu yake, ukichunguza ni mwanamke anatafuta tu security yake na wanae, kwamba rasilimali za mwanaume zisiende kwingine, hasa akigundua mwanaume wake kapata mwingine
Wengi hufanya ili kumkontrol mwanaume Kwamba kila anachosema atelekeze (Commanding) kama sisi wanaume tunavyowakontrol
* Mimi nilikuwa mdau wa haki sawa mpaka nilivyopata ujauzito nikaumwa kufa, jumlisha na complications za kujifungua ndo nikasema no mwanaume ni mwanaume na mwanamke ni mwanamke hatufanani. Na haya matukio ya ukatili wa wadada wa kazi kwa watoto na mmomonyoko wa maadili ndo yanazidi kudhihirisha hili, watoto na familia zinaangamia maana majukumu ya mwanamke na mwanaume ya asili yamevurugwa.

* mwanaume unakuwaje submissive, sema unalelewa na mkeo, hamna mwanaume anayehudumia familia aliye submissive, au mwanamke anayelelewa aliye dominant, hakuna
Pole kwa madhira yaliyokupata. Me na Ke hawezi kua sawa kamwe dunia na mifumo yake imekaa kiume. Kutaka kuibalnce ni kwenda kinyume na law of nature/ Mpango wa Mungu.
* Me napenda "mende kafa" tu, hii mingine ni kuwaridhisha nyie hata hainogi, mingine ni maumivu tu, safi sana hiyo Haram kumbe imeandikwa kabisa. mwanamke anayejituma akiwa juu pia anataka akuridhishe attention ibaki kwake, usimuone mshamba hajui mambo, na sio anataka kuwa dominant.
Hiyo ndio style rasmi aliyoweka Mungu🤣
Kwanza mnakua mnatazamana man to man/live. Kunakua na connection and feelings fulani hivi ambayo unajisikia kweli you're a Human hasa wote mkiwa mnapendana.
* Hatutaki wanaume gaidi, tafadhali, tunapenda mwanaume awe juu yetu, kweli kabisa tunahisi salama hivyo, na mara nyingi uwe juu kiakili, Sasa mwanamke akishakuwa juu yako kivyovyote vile, kiakili, kiuchumi nk afya ya hayo mahusiano itawategemea nyie wenyewe na akili zenu na juhudi zenu na uvumilivu wenu na upendo wenu
Ahsante kwa majibu yako with maturity and smartness inside. There's only one person anayeweza jibu hivi😘

Swali la nyongeza, Je unapenda ubwabwa??🏃🏃
 
coz wanawake wanataka wanaume magaidi and Dominant to them coz wanajiona salama zaidi kua na mwanaume mkali na mkorofi kuliko kua na mwanaume mpole anayemuachia kufanya yale anayoyapenda.
Mwanzo umesema mwanaume anapenda apate attention ya mwanaume na anapenda mwanaume ambaye yeye mwanamke atamtawala mwanaume huyo.

Kwa mantiki hiyo ni kuwa tuseme mwanaume ili apendwe na mwanamke anatakiwa ampe yale ambayo mwanamke anayahitaji kama vile attention na ampe authority,

Sasa kwa nini mkuu unakuja kusema kwamba mwanamke anapenda mwanaume mkorofi na mtata wakati sifa hizo zote mwamamke havutiwi nazo ?
 
Uzi murua sana huu, hongera sana brother maana kuna mambo mengi nimejifunza.
Ila kuna jambo namimi kidogo nichangie, mimi kiujumla huwa c muongeaji sana huwa najihisi comfotable napokuwa peke yangu kuliko kujichanganya na watu hiyo ni tabia yangu natural na siwez ibadilisha. Na pia huwa sina time na mtu huwa nipo bize na my own business.

Kuna kipindi alitokea manzi mmoja jirani ni mzuri sana pisi kali ya kwenda sasa yule manzi alitokea kushobokewa sana na watu kitaa halafu mimi kama kawaida yangu sikuwa na time nae bac dem akawa anajiuliza sana why mimi simshobokei na salamu simpi bac akawa ananiangalia sana bac siku moja akajiingiza kwenye 18 zangu sikulaza dam nikamtongoza bac yule dem alifurah sana bac akanipenda balaa kila wakat cm na anataka nimsindikize kila pahali bac bwana kwa bahati mbaya namimi nikatokea kumuelewa yule dem nikajikuta nimeacha ile misingi yangu,

Bwanawee sasa yule manzi baada ya kugundua nishanasa bac kibao kikageuka akaanza kunipuuzia, cm apokei wala anitafut mwisho wa siku akanidump na pia akahama mkoa aisee niliumia sana na nlijua ni wapi nimekosea, kwahivyo mtoa mada upo sahihi 98% .

Sasa tatizo lingine linalonisumbua kwasasa ni kwamba nimekuwa bad boy kupitiliza yani nimekuwa kauzu sana kiac ambacho hata kutongoza mwanamke naona kama najishusha kwa upande mwingine naona pia ni tatzo yani nimekuwa serious muda wote kiac ambacho naogopwa na jamii nimkuwa sichek wala kuzungumza sana na watu, kiac ambacho wanawake wa hapa home napokaa wameanza kunijadili why awajawahi niona na mwanamke kokote iwe nyumbani au mtaani, kiukweli napenda kuzichakata hizi mbususu ila kumtongoza mwanamke naona kama najishusha hapo ndio tatzo lilipo ebu nipeni ushaur?
 
Si mnajua mwanamke akiPlot mipango yake kutenda kitu hata shetani mwenyewe anakaa chini kuigilizia mbinu….Ukitaka kujua moja ya mbinu zao za kuwinda attention angalia picha zao za Fb, Insta na video zao za Tiktok.
Muda mwingine shetani anaonewa
 
Kila kiumbe duniani akiwepo Mungu pia wote tunapenda kua Appreciated kwa lile tulilofanya. Kwa Mwanaume tunapenda kuambiwa ahsante kutoka kwa wanawake wetu..Na Mwanamke anapenda kusifiwa kwa vile alivyo.

Kuna tukio Yesu aliponya watu 10 wakaondoka kwa furaha kuu ila akarudi mtu mmoja kumwambia aahsante juu ya uponyaji aliopewa, Yesu alifurahi na kumsifu akamzawadia Kusamehewa dhambi zake zote. Umeona nguvu ya kuAppreciate yale tunayofanyiwa/tunayofanya??

Mwanamke anapenda kusikia matendo na Mwanaume anapenda kuona mtendo. Ukimiliki sikio la mwanamke vyema basi utafaidi mambo matamu kutoka kwake. Vivyo hovyo ukimili amcho ya mwanaume utafaidi.

Sasa kama mume anashimdwa kumiliki sikio la mke wake na kumpongeza pale anapotokelezea basi mume huyo hafai na amekosa kitu kikubwa kwenye maisha ya mapenzi.

Mwanaume asiyesifia mpenzi wake ni kama mboga isiyo na chumvi, hailiki kabisa. Kusifia ni kinogesho kikubwa mno cha mapenzi kwa mwanamke

#Kama hutajali naweza kujitolea katika hilo mkuu kama hutajali, sorry lakini I'm not taking advantage of you 🙈🙈🏃🏃
Au ukute umetupia umependeza unatoka nje miluz mingi, unasifiwa mpaka kero afu mume wako ndani hajakusifia, yaani inaboaaa[emoji21][emoji21]

Sasa kumsifia mke wako sh ngapi?

Hapana inaboa , tunapenda kusifiwa hasa na waume/wapenzi, ukiniambia tu umependeza mke wangu aah mm burudaaani[emoji28][emoji28]
 
Uzi murua sana huu, hongera sana brother maana kuna mambo mengi nimejifunza.
Ila kuna jambo namimi kidogo nichangie, mimi kiujumla huwa c muongeaji sana huwa najihisi comfotable napokuwa peke
Pamaoja sana kiongozi. Kuna vitu vinashusha sana heshima kwa mwanaume mojawaoo ndio hivyo kuzoeqna na watu bila sababu
 
* Mimi nilikuwa mdau wa haki sawa mpaka nilivyopata ujauzito nikaumwa kufa, jumlisha na complications za kujifungua ndo nikasema no mwanaume ni mwanaume na mwanamke ni mwanamke hatufanani. Na haya matukio ya ukatili wa wadada wa kazi kwa watoto na mmomonyoko wa maadili ndo yanazidi kudhihirisha hili, watoto na familia zinaangamia maana majukumu ya mwanamke na mwanaume ya asili yamevurugwa.
Umeongea kitu cha msingi kweli.
Safi sana na hongera sana kwa mabadiliko ya kimtazamo
 
Mwanamke mmoja ivi nimpuuz sana(sio mzuri sana wakawaida, ila anatako kinoma) tupo kwenye relationship nae kama miez mitatu ila sijamla bado, so naweza sema ni kama hii relationship haijaanza bado..nikifast foward kidogo akapata kazi mkoa mwingine kule kakutana na baharia mmoja(mme wa mtu) kajichanganya kamla nimejua kila kitu nikamwambia asijali we can start over akasema sawa, haikunidisturb sana sababu me sijamla bado so ni kama mimi na yeye hatujaanza bado(I claim somebody is trully mine nikishamtomba, so basically ni kama bado namfukuzia, na nnauhakika ningekuwa nlishamla asingefanya huo upuuz)...anyways nafastfoward tena sasa anazingua kinoma, chenga zimekuwa nyingi, hajisomi haelew kama anantaka mimi au the other guy, usipo mtafuta, hakutafuti, yes yupo busy sana na kazi sikatai, simu anapiga au kutext juma tatu hadi alhamis alafu ni jion tu, hatubong sana atasema anataka kupumzika kesho awah job(yeah she has an excuse si ni siku za kazi), nikasema labda siku za weekend atakuwa ananicheki waapi! hapo sasa ndio anakausha kbsa, saikolojia yangu inaniambia akiwa free she is busy na majamaa wengine anaogopa akinitafuta i'll keep her busy na atashtukiwa so technically she has good reason kuntafuta zile siku za kazi tu ambazo atakuwa na excuse nyingine pia ya naomba tuchekiane kesho and all that bla-bla, na alivyo mjinga anadhani sijui huo mchezo anavyoucheza.

Huyu mwanamke hajui kama i have Eidetic memory, yan kila anachofanya nakiweka kama kilivyo na hajui kama mimi ndio mastermind wa michezo anayofanya. Sasa saivi simtafuti mpaka anitafute akinitafuta i act a fool, become a good guy and act like everything is normal, siku akijichanganya nitamla alafu nimwache bila kumwambia, kaniudh sana yan nimemwonyesha mapenz moto moto ye kaenda kuliwa huko, anyways najua nikimla atakuwa mtumwa yeye sababu kitombo atachopokea hataamini macho yake, na hili nna uhakika nalo sababu hakuna mwanamke aliwah niacha baada ya kumla labda nimpotezee mimi, napo huwa wanakaa hata miaka miwili wakikumbuka wananiletea...

Sawa mpenzi mtazamaji
 
Ngoja na me nitoe my confession.

Nikiwa ndio naanza form one katika shule fulani hivi ya boarding nilikutana na bro fulani nae alikuwa ni mgeni pale shule. Basi room tuliyokuwa tunakaa tulikuwa wageni wote yaanicnew comer.

Katika stories mbili tatu huyu bro alikuwa smart sana nakumbuka aliniambia wanangu katika maisha haya kuwa kauzu usitabirike kabisa kuwa na mambo yako tu.
Basi nikiwa ndio nipo form one hata sketi sijui basi nikaapply hiyo kitu na for sure ilikuwa inaendana na haiba yangu.
Duh basi wanafunzi wa kike nilikuwa sibongi nao kabisa. Hata girlfriend niliodate nao shule nilitongoza mmoja tu hao wengine nilikuta wanakuja kwangu ila sikuwapa kipaumbele hadi leo.
First lover tulikuwa mikondo tofauti alikuwa hajui ya ndani kunihusu kabisa
Nakumbuka nikiwa form two ndio alikuja kujua ya kuwa me ninabonda mitihani kinyama. Alibaki mdomo wazi baada ya tokeo kubandikwa.

Nilimaliza ile shule huku nikijulikana kwa walimu wanne tu nao kijuu juu walikuwa wanaonaga maksi zangu ila muhuni hawamjui.
Advance nilisoma mpk namaliza sijawahi ongea na mtoto yeyote wa kike. (nina sababu zangu na iliniepusha na mengi).
Chuo sikuwa naeleweka mambo yangu kbsa.
By the way nilipanga nitoke na clean sheet kabisa yaani nisidate na mwanamke yeyote kwa miaka yote ya chuo.
Ah nikajikuta kuna mdada wa huko uchagani ninamkula kimasihara. Tulizoeana kiduchu. Kiujumla mimi hall za chuo nilikuww sibadilishi seat ya kukaa. Nilikuwa nakaaga palepale na walikuwa wanaheshimu sana. So huyo mchaga alikuwa anakujaga kukaa na me. Karibia kufunga nikamuambia kesho njoo geto akaja.
Nikamuambia vua nguo akavua. Lala akalala. Nikampanda. Baadae akaja juu. Akakalia. Kanogewa akasema hivi utakuja kunisaliti? Nikachekaaa. Nikamkalia buyu.
Nyie mnasemaga wachaga wabovu kitandani. Sio kwa yule alikuwa anajituma huku me rohoni nacheka.
Mwingine ni hostel mate. Mtoto wa mbeya.
Me na yeye ni salamu tu. Bado siku mbili niondoke nirudi home. Akashangaa namuita getho anipangie nguo. Akanipangia. nikamuambia leo nalala kwako. Sawa akajibu. Wakati ananipangia nguo nashangaa ananiletea singlendi mpya. Nikambikiri usiku ule. Akaanza lalamika ohh nilikuwa nakupenda kitambo ila huna habari oh we handsome (kimoyomoyo nasema handsome wa nyoko).
Nikakaaga kimya hadi leo.

Nikiwa field nilikuwa busy muda wa mapumziko me na earphone .kuna mwanamke fulani hivi alikuwa anatamani kuniingilia lakini sikumruhusu kabisa. Of course nilimkatili kihisia. Siwezi date na kila mtu bhna.
siku ya kuagwa kuna vidada vinataka namba yangu.
Sikutaka kuharibu kazi na heshima angu h kozi nilijiwekea mipaka watu gani nitadate nao maishani. (wake za watu me siwezi hata iweje)
Kamoja kakanitongoza oh kananipenda me sijibu kitu. Kananiuliza maswali mengiiiii me sijibu. Nilivomaliza field kakataka kuja nilikopanga. Hako kakaja. Paao sebuleni kakanikalia.

Kalikuwa kabikra afu kazuri hatari. Niko nako hadi leo. Ni pisi kali kuliko zote nimepata date. Ila hakaishi kunidodosa lakini ugumu nakawekea hadi leo.
Kuna siku kanasema ulivyokuwa pale field nisingekuwa makini rafiki angu angeniwahi.
Moyoni nacheeeka.
Mkesha wa pasaka kuna kadada kako mbele yangu ile wengine wanapiga makofi mixer vigelegele. By the way me nikiwaga church nakuwaga kimya naimbaga kimoyomoyo. Yule mwanamke akshangaa afu akawa anafosi na me nipige makofi na ninese kucheza kama wao. Me hata sereact chochote. Muda wa kutoka hanioni.
Kesho yake Pasaka kaja kukaa nilipokaa. Nikaona hii kero. Nikamfukuza hakatoki. Kuna muda nikakapima. Nikatabasamu kiduchu na kupiga kofi moja. Kakafurahii weee. Nje tunatoka kakawa kanajitambulisha wee kanauliza jina langu. Nikakaambia. Kakasema nitakupataje sasa. Simu ninayo ila nikachukua kijiti nikaandikia namba chini. Nikaondoka. Baadaye kakani txt.

MTOA MADA UKO SAHIHI 100%.
UKIACHANA NA HII KUWA NA PRIVACY inasaidia hata kwa maisha binafsi sana ukiachana na kuvutia wanawake ila hata life la kawaida inasaidia pakubwa.

Sipendagi mtu mwenye maneno mengi mimi.
Mama angu mwenyewe huwa anaongea sana sipendagi kabsa. Ongea kidogo maongezi yaishe.

Mkuu upo kama mimi,nilikaa kwenye nyumba ya kupanga na wanawake kibao miaka mitano siwajui hata majina hata namba zao sikuwahi kuwa nazo ila walikuwa wanatamani sana hata kusikia sauti yangu lakini wapi!
 
Hao wengine ndio watashoboka mimi never ever kujipendekeza au kushoboka kwa mwanamke. Dakika moja Nakupenda nyingine sikutaki na namba zako nafuta fresh tu. Dunia hii ni mtu mmoja tu ndio naweza kujipendekeza na kuumia ajili yake. Wengine wote nawaona kambale.
Nobody can hurt me [emoji85][emoji85]
"dunia hii ni mmoja tu ndio naweza kujipendekeza"

Nani huyo?
 
Back
Top Bottom