Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi


Haya ni mapya [emoji28][emoji28]

Kwa hiyo nikivaa kinguo changu kinachoniweka comfortable ni Kwa ajili ya mtu [emoji1787][emoji1787]
 
Inauma sana mtoto anapokuwa hakuelewi sema tunajikaza kiume tu! Yani kuna pigo ukifanyiwa unaona kabisa mtoto hajawaka na mimi ila kwa msela mwingine mtoto anaenda resi kinyama.

Full greenlight...
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hii binafsi nimeona nilipokua chuo
Hostel wanawake walikua wanasema naringa nikabaki najiuliza kivp na salam huwa nawapa
Baada ya kuanza kunywa nao bia na kuwashika viuno wakaanza tena kumbe ww sio mtu mzuri 🤣🤣🤣
Hakuna mtu atakaye hitimu course ya kuwajua wanawake sababu wenyewe ni dynamic, wanabadilika kulingana na wakati pamoja na mazingira.
Lakini kuna kanuni zitabakia hadi milele ikiwemo hii iliyoelezewa na mtoa mada.
Wanawake ukiwapuuza ndivyo watakavyozidi kujilengesha kwenye macho yako ili wapate attention yako.
Manzi mkali ukimchukulia poa atafanya juu chini kukuonesha yeye ni wa tofauti atafanya kila awezalo ikiwemo kukulengeshea K ili kupata validation yako. Me cha kufanya muda wote ni kumuweka sehemu yake, hakikisha anajua kwamba yeye siyo priority kwako.
 
Uliza waillipfuata fuata inbox kusema wametuelewa wakasepa,nn kilifuata?
Hata sisi tunapiga kimya vzr sana tu!
Kila mmoja anaendekea na maisha take yaani
Mimi simo huko aisee, kwanza naogopa kweli kumfuata mtu pm.
Ndugu tembelea mitandao ya kijamii ujionee. Wewe ni hofu tu ya Mungu inakufanya usipige picha za namna hiyo
 
We ndo utaleta complication sasa..!
 
That's it, huo ndio ukweli mate.
Cha msingi ni ku Analyse their common patterns na kuzifanyia kazi. Humu wanajifanya wabishi tu nawachora tu coz hata one of the beautiful and smartest woman I know aliwahi kuniambia kitu hiki nilichoeleza. and she's a quite a woman not pisikali au binti
 
Ni watu wa madrama, wanaficha uhalisia wao kwa kutumia drama.
Ni kama wana mental software ya kuziua ukweli.
Ukitaka kujua nature yao wajifunze hao hao hasa wasichana wenye miaka 17-22, wapo easy kufichua nature yao.
 
Kuna wanawake wengine yaani hata kuwaangalia tu ni shida......utakuta wamejichubua, wananuka makwapa na midomo chupi ndiyo kabisaaa. Utakuyta mtu kama huyu anajipitisha kwako kutaka atongonzwe for what? Si kila mwanamme anataka mwanamke wa aina hii.
 
Kuna wanawake wengine yaani hata kuwaangalia tu ni shida......utakuta wamejichubua, wananuka makwapa na midomo chupi ndiyo kabisaaa. Utakuyta mtu kama huyu anajipitisha kwako kutaka atongonzwe for what? Si kila mwanamme anataka mwanamke wa aina hii.
Jamaa Mbona unawaongelea mbovu wanawake zetu hawa. Have a bit of respct
 
Jamaa Mbona unawaongelea mbovu wanawake zetu hawa. Have a bit of respct
No way, utakuta demu hana hata sura nzuri, ana kijitako basi yeye anaona lile tako ndiyo mali.....atapita mtaani akijitikisa na kujifanya anaongea kwa sauti kubwa ili watu wamuone tu. Mtu anashindwa kujiuliza kwanini jamaa hawanishitukii, kwa kweli wanawake wanaojichubua, wanaonuka harufu ya uozo mwilini, harufu ya mdomo kunuka kama mavi, wanawake wenye ndevu kwa ajili ya kujichubua, kwangu hawana mvuto hata kidogo na wakinisalimia siwasalimu back, I have no time for them.
 
Ww bwana mbn wengine hatuna majukumu na hatufanyi huo utoto kwa wanauame wote!Nadhan mtu anayetoka home na kujipamba ili kupata attention ya mwanaume basi she find source of income.
Otherwise utoto na kuseek attention kutafanyika kwa mpenzi wako .
 
Ww bwana mbn wengine hatuna majukumu na hatufanyi huo utoto kwa wanauame wote!Nadhan mtu anayetoka home na kujipamba ili kupata attention ya mwanaume basi she find source of income.
Otherwise utoto na kuseek attention kutafanyika kwa mpenzi wako .
Joline utoto naouzungumzia kwenye hiyo comment sio wakujiremba. Unaelewa nini naposema "Watu hua tunakua miili na Experience tu ila ndani yetu bado hua tupo vilevile sawa"?? I wish to know you so I could prove you wrong. Can you let me?
 
Daah mleta uzi nakubali 100%, Kuna vitu nlikuw cjapata majibu kuwahusu wanawake ila nimevipata Sasa,

man uliyoyaandika tunayashuhudia Sana kitaa ukiwa mkimya wanakujadil eti upo siriaz Sana afu unakuta kila mmoja kwenye kundi lao anajileta anazungumza wakivokujadili japo kwa namna yake [emoji28][emoji28] na unawapelekea moto karbu wte,

Pia hii kutaka attention wakipendeza ukawapotezea wanakosa Sana amani n wanajiuliza maswali kukuhusu wanajikuta wamejileta wenyew

Mkuu endelea kutupatia nondo kuhusu Hawa viumbe
 
Nimesoma maoni yenu nimegundua kua wanaume wote wanajua kua mpo hivyo kama nilivyoeleza kwenye mada na wengine wametoa simulizi za mambo waliyokutana nayo kuthibitisha Ukweli wa mada yangu ila wanawake karibu wote wamenipinga.

Wala hata haijanishanga maana kwenye psychology kuna Kitu napenda kukiita Mind illusion projection, Kwamba kuna mambo fulani tunakua nayo either kwenyye miili yetu au Mazingira ila Ubongo wetu unatudanganya kua jambo hilo halipo.

Mfano.
Ukiwa unaangalia kawaida huwezi kuliona pua mpaka utulie uangalie kwa umakini au kufumba jicho moja ndio utaliona pua. Kwanini? Macho yanaliona pua ila Mind yako inalipuuza (ignoring) pua lako ili lisikuzibe kuona mbele yako.. hii inasaidia watu wenye mapua makubwa tuone vizuri, Kwa umbali uliopo Kati ya pua na Macho na pua lilivyokaa basi tusingeweza kuona mbele.

Pua linaonekana hasa ncha yake, ila kidevu hakionekani kwa sababu macho yanaona kwa nyuzi 120°. Macho na kidevu yapo kwenye nyuzi sawa 0° ndio maana hayawezi kuona kidevu. Angalia macho yako na kidevu kama havipo usawa mmoja. So akili hupuuza tu kuliona pua lako na sio kwamba halionekani na macho.

Same applies to Women, wanawake wote wanapinga jambo nililoeleza hapa kwakua wao ndio watendaji na Ubongo wao maybe umeIgnore hicho kitendo na kuona kwamba ni jambo la kawaida na hawafanyi kwa ajili yetu. Na sisi wanaume tunaowaona ndio tunajua kwamba ni kweli wanafanya ajili yetu ndio maana kuna shuhuda nyingi toka kwa wanaume.

Ni kama vile tabia zako huwezi kujua kama una tabia mbaya hasa wale wanaokuona ndio wanajua tabia zako vizuri.

So nahitimisha kusema kwamba hili swala lipo ila ni wanaume ndio tunaliona hasa kwa wanawake ila wao wanaona si kweli hawafanyi ajili yetu kwakua Ubongo wao upo Coded wasione hilo jambo.
Alpha males food

Labda ndo walivyoumbwa.

Mkuu sikuwahi kuwaza hii hali kitaalamu inaitwaje ?


Uzi mzuri,
Tatizo umeanzisha mada ndani ya mada

Ndio. Wengi wanapenda kua hivyo

Teh teh teh teh nimecheka sana.

Sawa kabisa. Na wanapenda kusifiwa. Akivaa vizuri usipomsifia inakuwa kesi!

Aisee🤔

Uliyoyaandika hayana uhalisia kwangu!


Si naiachia Plan B yangu 😊😊😊

LIFE IS SIMPLE

Ngoja waje kutoa shuhuda zao...

Da'vinc
I miss your former avatar

Kaangalie documentary za sex life of lions au soma article kama hz

.

So anzeni kujadili sifa za mwanaume ambae ni mwanaume Kama hazijui.

Maybe anauwingi wa testosterone ktk mwili wake!.

Wengine watajiju

Ni kweli hujakosea

Nimeshangaa mpaka basi[emoji28]
 
Joline utoto naouzungumzia kwenye hiyo comment sio wakujiremba. Unaelewa nini naposema "Watu hua tunakua miili na Experience tu ila ndani yetu bado hua tupo vilevile sawa"?? I wish to know you so I could prove you wrong. Can you let me?
What do you want to know about me!?[emoji1745]
 

kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…